Lukaku Naona presha ya ligi itamshinda ..ni Bora Mara kumi clab ipambane kumvuta Halland ..huu sio wakati wa kujaribu Tena ..lazima tuhakikisha tunampata mtu Kama Salah au Kane anaeweza kukupa Holi 20+ kwenye ligiTammy huyo NI out of favour tiyari kwenye kikosi cha tuchel...msimu ujao huenda akaenda crystal palace au westham ....Lukaku wa misimu miwili iliyopita inter alikuwa ana kasheshe sana ana takwimu nzuri Sana za ufungaji na assist Labda utueleze unavyoona kwann asije Lukaku au kisa alifeli man u?
Haha Nigeria fan wengi Ni chelseaMashabiki wa Nigeria waamua kufanya shukurani kanisani - wonderful
This can only happen in Nigeria We held Thanksgiving Service in church today to celebrate last night victory
Wewe haupo serious adre silva? Kama ni hiv si Bora tu ubaki na Tammy AbrahamUsajili wa Kane kuja Chelsea ni kitu kisicho wezekana achaneni na hayo mawazo ya kupata saini yake. Levy hawezi kuwauzia Kane mkumbuke kuwa Spurs na Chelsea wana uhasama mkubwa mno.
Kama Chelsea wanahitaji straika basi wafanye usajili wa Andre Silva, Andre Silva ni kijana mdogo mwenye uwezo mzuri wa kufunga. Pia naona akiendana na mfumo wa Tuchel.
Achaneni na kina Halaand, Lewandowski na Lukaku ni sajili ngumu kufanyika
Wachezaji hawakubali swap na pesa ni udhalilishaji,swap ya mchezaji kwa mchezaji sawa,Hii ngoma ngumu city au team yoyote inayomtaka kane,halland kwa mwaka huu waandae euro 100+ na Barca ,madrid hawana cash ,utd ,psg,chelsea wanao uwezo kutoa mpunga ,city hawajawahi kufanya jaribio kubwa hata la pound 80 ,tuangalie watafanya niniCity wanataka kumnunua Kane
Jesus+70m Euro = Harry Kane
Kwenye maelezo yangu hapo juu ilitakiwa logic ifanye kazi zaidi as part of communicationMwenyewe nmejiuliza ila nikakausha
Nmekuelewa mzee wanguKwenye maelezo yangu hapo juu ilitakiwa logic ifanye kazi zaidi as part of communication
Logical equation ni
a) 10mX24
b) 10m/24
Jibu ni B
Huwezi pata mapato ya mil 95 halafu utumie mil 240, never
Sema Hawa wachezaji wa kuwika msimu mmoja nao sio wa kukimbilia ...tujifunze Kwa real Madrid na Luka jovicUsajili wa Kane kuja Chelsea ni kitu kisicho wezekana achaneni na hayo mawazo ya kupata saini yake. Levy hawezi kuwauzia Kane mkumbuke kuwa Spurs na Chelsea wana uhasama mkubwa mno.
Kama Chelsea wanahitaji straika basi wafanye usajili wa Andre Silva, Andre Silva ni kijana mdogo mwenye uwezo mzuri wa kufunga. Pia naona akiendana na mfumo wa Tuchel.
Achaneni na kina Halaand, Lewandowski na Lukaku ni sajili ngumu kufanyika