Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Man shit yenyewe ni underdog au ni kwamba hufahamu??
Mimi siwezi bishana na kichaa ,kwa sababu anajua kupayuka tu bila sababu ...


Chelsea ni underdog kwa city ,mfano mzuri itakuwa jmoss ..


Final uefa ,Chelsea vs city ,Chelsea ni underdog tu
 
Roho iniume wakati mi mwenyewe nina janga langu linanisubiri.
Nilikwambia mkija na huo mfumo wenu wa 4+3+3 mtakufa vibaya sn. Ni bora mngerudi ktk 3+5+2 kidogo mlikuwa solid. Lkn hii 4+3+3 mlikuwa ktk hatari ya kufungwa ata kumi. Kai peke yake kakosa mbili za wazi. Moja kipa wenu kasave ingine kapiga kichwa ikagonga bomba la goli. Mount alikosa la wazi kabisa akapaisha juu. Kante na yeye kipa wenu akasave. Ziyench na yeye akajiangusha anataka penati lkn angekaza pale mlikua mnakufa.


Na bora kipindi cha kwanza Benzema alipiga ata mashuti mawili golini moja la kichwa na jingine la mguu Mendy aka save yote. Lkn kipindi cha pili Benzema alipotea kabisa uwanjani. Hazard ndio usieme kabisa. Vini Jr ndio kabisa alipotea. Asensio nae aliimgia kuruka ruka tu akapotea. Kroos na Casamiro ndio walishindwa kabisa hawajui wafanye nini. Modric alowekewa mariking kweli kila anapoenda walihakikisha anafuatwa maana huyo ndio mchezaji wenu Hatari. Ramos ndio alipotea kabisa maana alikuja anafikiri anacheza na Mohammed Salah. Amekutana na majerumani mawili huko mbele yamemkimbiza vibaya sn mpk kalala na viatu.


Nacho na Militao ndio walikua uchochoro tu. Wanawasindikiza watu kwa macho.

Mkiambiwa Chelsea ni unstable muwe mnasikia. Nilishawaambia kua haya makombe ya FA na UEFA yanazagaa zagaa tu hovyo hakuna wa kuyachukua sasa Ngoja Thomas Tuchel ayachukue yote ndio mtaifahamu Chelsea kuwa ni kiboko ya timu za Spain. Waulize Barca mwaka 2012 tuliwafanya nini huku tukiwa pungufu uwanjani? Muulize Diego Simeon na ATM yake ndani ya dk 90 hakua na shuti ata moja on tareget. Seuzi hii Madrid iliyo jichokea km mgonjwa wa kooona......

Tukutane Istanbul tarehe 29 uje ushuhudie tunavyo mduga City.....
 
Mimi siwezi bishana na kichaa ,kwa sababu anajua kupayuka tu bila sababu ...


Chelsea ni underdog kwa city ,mfano mzuri itakuwa jmoss ..


Final uefa ,Chelsea vs city ,Chelsea ni underdog tu
Chelsea imewahi kubeba kombe la UEFA man shit bado. Man shit anaingia km underground au armature... Kwahiyo usijidanganye kuongoza ligi ukajiona ktk UEFA wewe ni mbabe. Yaani wewe ni kibonde tu ktk UEFA na ndio sbbu baada ya kitinga fainali timu lako limeweka pati ya kufa mtu wakishangilia kuingia fainali km wamebeba ndoo. Maana kwao ni vitu vigeni na ndio mara ya kwanza.


Chelsea tumeingia fainali mara tatu. Mara moja tulipoteza mara ya pili tulibeba ndoo.


Nusu fainali tumeingia sn tu yaani Mara nyingi sn. Sasa kazi kwako kujishebedua.


Jmosi nakuja Etihad ndio biashara iliyopo mbele yangu ukijitahidi sn utapata sare.. Hao kina Stone na Diaz nawakabizi Kai ma Werner na Pulisic lazima wakalale na viatu.
 
Leo niwe wazi Jana Kai havert kacheza mpira alikuwa mkomavu (strong) kiufupi akicheza kiume sio yule legelege yeye ndio aliongoza kwa kukimbia KM nyingi kuliko mchezaji yoyote akifuatiwa na kante mtulivu akiwa na mpira brain nyingi.Combination ya Werner, mount na Kai havert pale mbele ilikuwa si ya mchezo namna walivyokuwa wanabadilishana position ilimfanya Ramos kushindwa kujua amkabe Nani.Lakini pia ukuta wa berlin wa christensen, Silva na Rudiger walifanya yao bila kumsahau mikono 100 Mendy.
 
Nilikwambia mkija na huo mfumo wenu wa 4+3+3 mtakufa vibaya sn. Ni bora mngerudi ktk 3+5+2 kidogo mlikuwa solid. Lkn hii 4+3+3 mlikuwa ktk hatari ya kufungwa ata kumi. Kai peke yake kakosa mbili za wazi. Moja kipa wenu kasave ingine kapiga kichwa ikagonga bomba la goli. Mount alikosa la wazi kabisa akapaisha juu. Kante na yeye kipa wenu akasave. Ziyench na yeye akajiangusha anataka penati lkn angekaza pale mlikua mnakufa.


Na bora kipindi cha kwanza Benzema alipiga ata mashuti mawili golini moja la kichwa na jingine la mguu Mendy aka save yote. Lkn kipindi cha pili Benzema alipotea kabisa uwanjani. Hazard ndio usieme kabisa. Vini Jr ndio kabisa alipotea. Asensio nae aliimgia kuruka ruka tu akapotea. Kroos na Casamiro ndio walishindwa kabisa hawajui wafanye nini. Modric alowekewa mariking kweli kila anapoenda walihakikisha anafuatwa maana huyo ndio mchezaji wenu Hatari. Ramos ndio alipotea kabisa maana alikuja anafikiri anacheza na Mohammed Salah. Amekutana na majerumani mawili huko mbele yamemkimbiza vibaya sn mpk kalala na viatu.


Nacho na Militao ndio walikua uchochoro tu. Wanawasindikiza watu kwa macho.

Mkiambiwa Chelsea ni unstable muwe mnasikia. Nilishawaambia kua haya makombe ya FA na UEFA yanazagaa zagaa tu hovyo hakuna wa kuyachukua sasa Ngoja Thomas Tuchel ayachukue yote ndio mtaifahamu Chelsea kuwa ni kiboko ya timu za Spain. Waulize Barca mwaka 2012 tuliwafanya nini huku tukiwa pungufu uwanjani? Muulize Diego Simeon na ATM yake ndani ya dk 90 hakua na shuti ata moja on tareget. Seuzi hii Madrid iliyo jichokea km mgonjwa wa kooona......

Tukutane Istanbul tarehe 29 uje ushuhudie tunavyo mduga City.....
Mbona jana Madrid karudia 3 5 2.

Ila haya ni maajabu nimeyaona juzi kwa Blackpool na Doncaster na jana. Yaani timu inamiliki mpira kwa zaidi ya 60% ila inazidiwa mashuti na inapigwa vyuma viwili
 
HONGERENI SANA THE BLUES KWA KUFUZU FAINALI.

Hongera kwa wachezaji na benchi la ufundi. Ilikuwa ni mechi ya jasho na damu na zaidi kimbinu zaidi.

Kila mchezaji alijitoa na kujituma kwa 100%, hongera za kipekee kwa Captain Azipu, katili Rudger, Kante, Kai & Mendy.

Kiukweli Madrid walilemewa, tumewapigia mpira mkubwa sana. Tunastahili kubeba hili kombe Mungu akipenda.

Next EPL match vs Man city let's go BLUES.

#Pride of London View attachment 1774897
Madogo wanaspeed balaaa, guardiola ajipange vizur kwenye ukuta
 
kilichotokea pale kitaalamu tunaita technical drawing total football system (t-t system) thomas tuchel in the fox mpira unazungushwa nyuzi 360 ili kutengeneza cycle kamili kisha unapigwa right angle kidogo unaji construction cycloid without using mathematics equipment unajitengeneza vertical line yenye nyuzi 180 ndicho walichokutana nacho Madrid pale Stanford bridge no modric no kroos
Kwako maalim Ng'olo abdallah kante
 
Mbona jana Madrid karudia 3 5 2.

Ila haya ni maajabu nimeyaona juzi kwa Blackpool na Doncaster na jana. Yaani timu inamiliki mpira kwa zaidi ya 60% ila inazidiwa mashuti na inapigwa vyuma viwili
Alirudi baada ya kuona yuko ktk hatari ya kufa nyingi baada ya kuona 4+3+3 inamletea madhara. Tena ata alivyorudi akachemka tu...
 
Chelsea Vs Laliga Giants

Sevila 0 vs Chelsea 0 1st leg

Chelsea 4 vs Sevila 1 2nd Leg

Chelsea 1 vs Atlentico Madrid 0 1st Leg

Atlentico Madrid 0 vs Chelsea 1 2nd leg

Real Madrid 1 vs Chelsea 1 1st Leg

Chelsea 2 vs Real Madrid 0 2nd Leg

Sevilla alifungwa 4-0
 
Pulisic anamsubiri dogo Mount..... Ha ha ha ha Thibaut kalala miguu chali
IMG_20210506_090818.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom