Hahaaa tupo wachache ktk kundi hili Simba na ChelseaKongole Chelsea, kazi nzuri imeonekana.
Ukiwa shabiki Ulaya Chelsea na Tanzania Simba SC, upo sehemu salama.
Siyo Madrid tena?Sina wasiwasi na timu kama chelsea ,underdog ..
Mpaka sasa uefa imeshatua city
Roho iniume wakati mi mwenyewe nina janga langu linanisubiri.Mtumie hata 5000 ya vocha kwa utabiri wake.naona roho inakuuma balaa
![]()
Nimekubali baba tawireNilisema Chelsea ataongoza goal 1 half time na imekuwa hivyo.Uko wapi Castr ?
Utakufa na roho mbayaSina wasiwasi na timu kama chelsea ,underdog ..
Mpaka sasa uefa imeshatua city
He is ball wizard nowKai Havertz a serious baller
Hatar sana ofsa
Jana nilikuwa nimekaaa na jamaaa yangu shabiki wa Madrid alisema kama kuna cku nimeangalia mpira nimeridhika ni leo ,ulaya hakuna timu hatar kama ChelseaHAZARD jana alikuwa mtalii uwanjani
Mpe ndoo ya mama yako abebe sasa
Chelsea walifanya usajili mzuri ila wakasahau kufanya usajiri mzuri wa kocha TT angeanza na hii timu tangu mwanzo msimu saa hizi city gape ya Epl isingekuwa hiviTumekiwashaa sasa timu ilikuwa haipewi nafsi kubwa sasa imefika final
Man city vibonde wetu![]()
Na tutalibeba.....Tuna imani na TTNa tulibebe
Match ya Chelsea Jana ni watu wanne walioipa ushindiJana nilikuwa naomba Mungu tuu Kante awe kwenye ubora wake kwa sababu Kroos na Modric walipania sana game, majamaa wamejuta kukutana na binadamu mwenye mapafu ya farasi![]()
Man shit yenyewe ni underdog au ni kwamba hufahamu??Sina wasiwasi na timu kama chelsea ,underdog ..
Mpaka sasa uefa imeshatua city
Umemsahau kijana mount aisee huyu ni mtu na nusuMatch ya Chelsea Jana ni watu wanne walioipa ushindi
Silva, Rudiger, Kante na Kai
Kwa sasa chelsea wanakosa Finisher yule Timo ni kiungo zaidi kuliko mshambuliaji Jana angeanza giroud habari ingekuwa nyingine au chelsea wangekuwa na Aguero mechi ingeisha mapema tu