Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

#KTBFFH
Screenshot_20210506-004147_Twitter.jpg
 
Ila hapa tusisahau Frank Lampard. Aliichonga na kuisaidia sana timu kuvuka kabla ya kuanza kupata matokeo mabovu. So ni kuna watu wawili kwenye hili kombe, FL na TT
Nakuonaga unaakili kumbe kichwani mweupe kabisa. Huyo basha ako lampard hajasaidia chochote zaid y uwezo wa wachezaji.
 
Hongereni sana hii ndio maana ya kuitwa Big club pale kocha anapoleta mambo ya kishoga mnamtimua sio sisi kocha mambo yake ya kishoga mpaka sasa anamaliza msimu na hana dalili ya kuondoka next season
Pole sana mkulungwa, tuombee tu bahati ktk fainali ili tubebe kabisa ndoo huenda Arsenal FC itajifunza kitu kupitia sisi Chelsea FC.
 
Hahaha umempa za uso mpaka anaona kiza, yaani jitu limetumia paund karibu mil 200 then timu inashika nafasi10 linakimbizana na vibonde arsenal ndio tulikumbuke kweli?
Na alikua atushushe daraja, asa huyu kiarage sijui anaongea nini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom