Antonio Conte
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 1,089
- 1,748
Babu Azpilicueta Jana alichoka sn.Jana ilivyofanyika sub Madrid wakaingia madogo wakina Asensio halafu ukimwangalia Captain Azipu kashavuja jasho mpaka tone la mwisho nikajikuta napiga kelele TT INGIZA JAMESSSSSSSSSSS.
Unajua yeye ndio alikuwa anapanda mbele sn kusaidia mashambulizi kwsbbu upande wake ule wa Hazard haukuwa na madhara sn na Hazard hana kasi km dogo Vini Jr. Kwahiyo alichoka sn kupanda na kushuka. Ben Chilwell alikuwa anapanda mara moja moja sn. Na ndio sbbu Madrid walikuwa walipiga mipira mirefu kwa Vini Jr Ben alikuwa na yeye yupo kuzuia hatari.