Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mbona jana Madrid karudia 3 5 2.

Ila haya ni maajabu nimeyaona juzi kwa Blackpool na Doncaster na jana. Yaani timu inamiliki mpira kwa zaidi ya 60% ila inazidiwa mashuti na inapigwa vyuma viwili
Madrid alianza na 433
Nacho ramos militao mendy
Modric casemiro kroos
Vini benz hazard

Kaja kucheza 352 hali ishakuwa tete.
 
Kwa statistics Madrid elionekana nzuri na timu ya ushindani kweli kweli.

lakini ki halisia tulio tazama mpira Madrid alizidiwa kila nyanja na sehemu na angefungwa magoli zaidi ya tano.

kwanini hili lilikua hivi? naomba mtu wa kunichambulia mbinu za kitaalamu za huyu TT alizo tumia iwe hivi lembu Cash Money Forever
Screenshot_20210506-091145_Sports.jpg
 
Mimi siwezi bishana na kichaa ,kwa sababu anajua kupayuka tu bila sababu ...


Chelsea ni underdog kwa city ,mfano mzuri itakuwa jmoss ..


Final uefa ,Chelsea vs city ,Chelsea ni underdog tu
Utakuwa na akili mbovu kuita Chelsea underdog mbele ya city.

Chelsea Ni klabu kubwa Sana na yenye mafanikio kuliko hio city yako

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Kai dogo ana akili nyingi, ukimkaba kichwa kichwa unakula tobo, dogo ana enjoy sana kucheza mpira, anaurahisisha mpira, mbunifu na confidence ya hali ya juu kwenye umiliki wa mpira.
Yaani mbele kwa sasa ukiwaweka Mount, Kai na Pulisic mpira unafurahisha na wote wadogo, magoli yote jana yalipatikana kwa akili, Kai alivyomhadaa Courtois na Pulisic alivyompenyezea mpira Mount kwa goli la pili ni raha tupu
 
Yaani mbele kwa sasa ukiwaweka Mount, Kai na Pulisic mpira unafurahisha na wote wadogo, magoli yote jana yalipatikana kwa akili, Kai alivyomhadaa Courtois na Pulisic alivyompenyezea mpira Mount kwa goli la pili ni raha tupu
Mbona Timo humtaji? Ha ha ha ha ha... Jana Werner kaondoa nuksi kila mtu sasaivi anamuona Werner ni mtamu sn....
 
Mimi siwezi bishana na kichaa ,kwa sababu anajua kupayuka tu bila sababu ...


Chelsea ni underdog kwa city ,mfano mzuri itakuwa jmoss ..


Final uefa ,Chelsea vs city ,Chelsea ni underdog tu
Unajitahita sana uko peke yako kwenye page yetu
 
Match ya Chelsea Jana ni watu wanne walioipa ushindi
Silva, Rudiger, Kante na Kai
Kwa sasa chelsea wanakosa Finisher yule Timo ni kiungo zaidi kuliko mshambuliaji Jana angeanza giroud habari ingekuwa nyingine au chelsea wangekuwa na Aguero mechi ingeisha mapema tu
Sikuungi mkono kwa maoni yako haya ya kuwa wachezaji wanne tu ndio walioleta ushindi
Silva, Rudiger, Kante na Kai NO and big NO
Werner jana kacheza vizuri, Mount kacheza vizuri, Chilwell na Jorginho ndio kwa maon i yangu hawakucheza kwa level yao tunayojua

Mfano Mendy kaokoa magoli ya wazi kama matatu hivi
Silva kama kawaida yake alikuwa akiokoa mipira hatari
Rudiger alikuwa very agressive bila makosa ya kijinga
Hata Christesen alicheza vizuri sana
Azpi kidogo japo kacheza vizuri
 
Chelsea Player ratings vs Real Madrid on 5 May 2021 at Stamford Bridge Arena
  1. Edouard Mendy 9
  2. Cesar Azpilicueta 8
  3. Andreas Christensen 9
  4. Thiago Silva 9
  5. Antonio Rudiger 9
  6. Ben Chilwell 7
  7. Jorginho 7
  8. N’Golo Kante 9
  9. Mason Mount 9
  10. Timo Werner 8
  11. Kai Havertz 9
Substitutes
  1. Christian Pulisic (for Werner, 67’) 7
 
Mimi siwezi bishana na kichaa ,kwa sababu anajua kupayuka tu bila sababu ...


Chelsea ni underdog kwa city ,mfano mzuri itakuwa jmoss ..


Final uefa ,Chelsea vs city ,Chelsea ni underdog tu
Wewe hujui maana ya underdog
Underdog sio kama unavyofikiri wewe
Chelsea walivyocheza vizuri hadi kufika fainali na uzoefu walionao kwenye haya mashindano inatosha kutowafanya wao underdog mbele city
City hawajawai kufika nusu fainali wala fainali wala kubeba kombe hili,
Mbele ya Chelsea City ni underdog tu kwa sababu hawana uzoefu wowote na haya mashindano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom