Antonio Conte
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 1,089
- 1,748
Kwa matakoe ya jana ya WHU top four wasahau. Mpk kesho kutwa tukishinda Chelsea tutakua nafasi ya tatu. Na jmosi tunakutana na WHU hawa ndio wa kupiga vzr wakajifie huko na mbio za top four wasahau kabisa.Hiki kipindi nilishawahi kusema ni kipindi cha mwenzako akifungwa wewe tia maji
Westbrom na New Castle wanakufa na kila mtu anayekuja mbele yao, possibly na Fulam naye. Aliyekata tamaa ni Shefield United na inaweza kuwa matumaini yao ya kubaki EPL ni leo hii tu
Westham katundikwa 3-2 na Newcastle. Chelsea top 4 tushindwe wenyewe
Kuna kila sbbu na uwezo wa Chelsea kumaliza nafasi ya tatu juu Leicester city.... Dawa ni kukazana sn kila game tushinde.
Yaani iwe timu inakabia deep au inakuja kukabia kwa kina Rudiger golini kwetu dawa ni kuwachabanga kwa nguvu kabisa.
Yaani tuna game mbili za EPL kabla ya kukutana na Zidane hizi game tunatakiwa kuhakikisha tuko nafasi ya tatu ktk EPL.

