Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Malengo makubwa matatu ambayo Chelsea inatakiwa kufikia hadi mwishoni mwa May 2021 ambazo ni
  1. Kushinda kombe la UEFA - Muhimu sana
  2. Kupigania kubaki kwenye top 4 ya EPL - Ya pili kwa umuhimu
  3. Kushinda kombe la FA - Ya tatu kwa umuhimu
Man City wao malengo yao ni manne
  1. Kushinda kombe la UEFA
  2. Kushinda kombe la EPL
  3. Kushinda kombe la FA
  4. Kushinda kombe la mbuzi - Karabao Cup
 
Malengo makubwa matatu ambayo Chelsea inatakiwa kufikia hadi mwishoni mwa May 2021 ambazo ni
  1. Kushinda kombe la UEFA - Muhimu sana
  2. Kupigania kubaki kwenye top 4 ya EPL - Ya pili kwa umuhimu
  3. Kushinda kombe la FA - Ya tatu kwa umuhimu
Man City wao malengo yao ni manne
  1. Kushinda kombe la UEFA
  2. Kushinda kombe la EPL
  3. Kushinda kombe la FA
  4. Kushinda kombe la mbuzi - Karabao Cup
Sisi man city tunataka epl na uefa ...


Fa na carabao tumewatuma kina sterling na jesus wachukue ...

Kama wakishindwa basii...


ila the cityzen tunataka UEFA na EPL.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki kipindi nilishawahi kusema ni kipindi cha mwenzako akifungwa wewe tia maji
Westbrom na New Castle wanakufa na kila mtu anayekuja mbele yao, possibly na Fulam naye. Aliyekata tamaa ni Shefield United na inaweza kuwa matumaini yao ya kubaki EPL ni leo hii tu
Westham katundikwa 3-2 na Newcastle. Chelsea top 4 tushindwe wenyewe
 
Makombe ya mbuzi/ng'ombe
1618670411320.png
 
Makombe yote kasoro Carabao hazina bingwa mtetezi
  1. EFL - Man City bado anapambana
  2. FA - Arsenal katolewa
  3. EPL - Liverpool yuko hoi bin taabani
  4. UEFA - Bayern Munich OUT
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom