Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Aisee nikiiangalia Chelsea ..


Sioni namna gan mnaweza kutufunga nyie ...

Mechi zote za Chelsea vs man city ,chelsea huwa underdog na anaishia kipigo cha mbwa koko ....

Huwa tunavunja daraja LA hapo London kiulaini ...

Mmesahau zile goli 6 ? Hapo darajan ...!

Tunawatwanga fa ..


Sasa mjichanganya tukutana uefa final ,mtajuta kuingia uwanjan
 
Aisee nikiiangalia Chelsea ..


Sioni namna gan mnaweza kutufunga nyie ...

Mechi zote za Chelsea vs man city ,chelsea huwa underdog na anaishia kipigo cha mbwa koko ....

Huwa tunavunja daraja LA hapo London kiulaini ...

Mmesahau zile goli 6 ? Hapo darajan ...!

Tunawatwanga fa ..


Sasa mjichanganya tukutana uefa final ,mtajuta kuingia uwanjan
Hiyo rekodi unayokuja nayo ni ile ya Lampard, sasa kocha ni Thomas Tuchel
Katika mechi 18 iliyopita all competitions ya Tuchel, Chelsea imefungwa mechi 2 na Man City 3
Chelsea tulishawafunga 6-0, 5-1
Chelsea vs Man City H2H mashindano yote tangu 1907, Total games 166

Games Won by Chelsea: 68
Games won by Man City: 59
Games drawn: 39
 
Hiyo rekodi unayokuja nayo ni ile ya Lampard, sasa kocha ni Thomas Tuchel
Katika mechi 18 iliyopita all competitions ya Tuchel, Chelsea imefungwa mechi 2 na Man City 3
Chelsea tulishawafunga 6-0, 5-1
Chelsea vs Man City H2H mashindano yote tangu 1907, Total games 166

Games Won by Chelsea: 68
Games won by Man City: 59
Games drawn drawn: 39
bravo umemaliza kila kitu
 
UEFA Ileeee.... 2011 again 2021 dah ..
Always London is Blue..
London is Chelsea..
London is Stamford Bridge..
London is nothing without Chelsea..
London is always fine under Chelsea..
London can not be 'prouded' Without Chelsea.
London is Chelsea and Blue is the Colour.
Keep the Blues Flag To Fly High
#CFC.
 
Mabadiliko ya magoli ya ugeninikwa mechi za UEFA
Kuanzia msimu ujao magoli ya ugenini yanayopatikana kwenye muda wa maongezi hazitahesabiwa tena. Ni yale magoli ya ugenini tu yaliyopatikana ndani ya dakika 90 ndizo zitakazohesabiwa kuwa na advantage ya magoli ya ugenini

Pia UEFA wanampango wa kuongeza timu hadi 36 kwenye mashindani ya UEFA na kufanya mechi kuwa 225 badala ya 125 ya sasa
 
Mabadiliko ya magoli ya ugeninikwa mechi za UEFA
Kuanzia msimu ujao magoli ya ugenini yanayopatikana kwenye muda wa maongezi hazitahesabiwa tena. Ni yale magoli ya ugenini tu yaliyopatikana ndani ya dakika 90 ndizo zitakazohesabiwa kuwa na advantage ya magoli ya ugenini

Pia UEFA wanampango wa kuongeza timu hadi 36 kwenye mashindani ya UEFA na kufanya mechi kuwa 225 badala ya 125 ya sasa
Hizo team nyingine zitapatikanaje?
 
Huyo jamaa mwongo, kwanza hakueleza kitu kinachoendana na news heading, pili kaboronga pale aliposema Alonso ni Defensive Wing-back na Chilwell ni Offensive wing-back. Kila mtu duniani hata asiyejua mpira anajua kuwa Alonso ni Offensive wing-back na Chilwell ni Defensive wing-back . Japo Odoi anatumika kama Offensive wing-back ila mimi nasem aOdoi is a winger more than a wing-back. Hata Reece James hafai sana kwenye defensive wing-back. Anafaa zaidi kwenye kushambulia. Mzuri kwenye defensive wing-back ni Azpilicueta japo kwenye formation ya 3-4-3 TT anamtumia zaidi kwenye CB role
 
Kwa nini Tuchel Anamng'ang'ania Jorginho abaki Chelsea

The CIES Football Observatory – through a ‘unique methodology comparing the performance of players irrespective of their position’ – ranked Jorginho third among all players from the 98 big-5 league clubs in the first three months of 2021. He was valued at 89.4 out of 100, behind Robert Lewandowski (89.5) and Lionel Messi (92.5).

Jorginho miscontrols the ball, on average, 0.46 times per game – far less than Kante (0.93) and Kovacic (1.01). This is the stat that best explains Jorginho’s worth.

Maelezo yanaendelea kwenye mjadala ulioendeshwa na BT Commentary kwamba Jorginho ni mchezaji mwenye uwezo wa kucontrol mpira hasa kwenye mazingira magumu na kuweza kupasia mwenzake hata kama kabanwa na wapinzani.

Udhaifu mkubwa wa Jorginho upo kwenye kupiga mashuti. Ukiondoa penalty, Jorginho yeye daima anawaza kumpasia mwenzake tu na hii ndio inamfanya kuwa mzuri kwenye midfield japo udhaifu mwingine wa Jorginho hana ubunifu kwenye Midfield kama viungo wengine

Jorginho huwezi kumlinganisha na Kante au Kovacic kwa sababu hawa wanacheza mpira tofauti kabisa hata kama wote wanacheza katikati

Mfano Kante ni mchezaji nadra duniani mwenye uwezo mkubwa wa kuusoma mpira na kuhakikisha yuko kila mahali panapohitajika kuwepo mpira, anayo mbavu na pumzi za kuwepo kila mahali na ni mzuri sana kwenye interceptions. Kovacic yeye ni Dribbling presser anaweza kuukokota mpira kutoka point A kwenda B bila kunyang'anywa au kupoteza control

TT anachofanya sasa kama mechi inamhitaji kiungo aina ya Kante na Kova anawaweka hao lakini kama mechi inamhitaji a good passer kama Jorginho ndio hapo utaona Jo anapewa kipaumbele

Kesho kwenye mechi na Man City Usishangae hata kama Kova asingekuwa majeruhi bado wangewekwa Jorginho na Kante kwa sababu ya aina ya uchezaji wa Man City inawahitaji viungo wa namna hiyo kwenye formation ya 3-4-2-1

Tutegeme pia kesho Pulisic na Werner wakicheza kwenye winga na Mount au Havertz akicheza kama false no. 9. Huku nyuma ofcourse itakuwa ni Rudiger, Silva na Azpilicueta na golini Mendy
 
Kwa nini Tuchel Anamng'ang'ania Jorginho abaki Chelsea

The CIES Football Observatory – through a ‘unique methodology comparing the performance of players irrespective of their position’ – ranked Jorginho third among all players from the 98 big-5 league clubs in the first three months of 2021. He was valued at 89.4 out of 100, behind Robert Lewandowski (89.5) and Lionel Messi (92.5).

Jorginho miscontrols the ball, on average, 0.46 times per game – far less than Kante (0.93) and Kovacic (1.01). This is the stat that best explains Jorginho’s worth.

Maelezo yanaendelea kwenye mjadala ulioendeshwa na BT Commentary kwamba Jorginho ni mchezaji mwenye uwezo wa kucontrol mpira hasa kwenye mazingira magumu na kuweza kupasia mwenzake hata kama kabanwa na wapinzani.

Udhaifu mkubwa wa Jorginho upo kwenye kupiga mashuti. Ukiondoa penalty, Jorginho yeye daima anawaza kumpasia mwenzake tu na hii ndio inamfanya kuwa mzuri kwenye midfield japo udhaifu mwingine wa Jorginho hana ubunifu kwenye Midfield kama viungo wengine

Jorginho huwezi kumlinganisha na Kante au Kovacic kwa sababu hawa wanacheza mpira tofauti kabisa hata kama wote wanacheza katikati

Mfano Kante ni mchezaji nadra duniani mwenye uwezo mkubwa wa kuusoma mpira na kuhakikisha yuko kila mahali panapohitajika kuwepo mpira, anayo mbavu na pumzi za kuwepo kila mahali na ni mzuri sana kwenye interceptions. Kovacic yeye ni Dribbling presser anaweza kuukokota mpira kutoka point A kwenda B bila kunyang'anywa au kupoteza control

TT anachofanya sasa kama mechi inamhitaji kiungo aina ya Kante na Kova anawaweka hao lakini kama mechi inamhitaji a good passer kama Jorginho ndio hapo utaona Jo anapewa kipaumbele

Kesho kwenye mechi na Man City Usishangae hata kama Kova asingekuwa majeruhi bado wangewekwa Jorginho na Kante kwa sababu ya aina ya uchezaji wa Man City inawahitaji viungo wa namna hiyo kwenye formation ya 3-4-2-1

Tutegeme pia kesho Pulisic na Werner wakicheza kwenye winga na Mount au Havertz akicheza kama false no. 9. Huku nyuma ofcourse itakuwa ni Rudiger, Silva na Azpilicueta na golini Mendy

Wener aendelee tu kubaki kwenye bench mpk pale Pulisic atakapoumia.
 
Tarehe 17 Man City vs Chelsea.


Tarehe 27 Madrid vs Chelsea.

Hizi game mbili kubwa ni kipimo kikubwa sn kwa Thomas Tuchel alafu zote ni game za nusu fainali.

Mpk kufikia hii hatua ni mafanikio makubwa sn Thomas Tuchel. Na pia km atafaulu kufika fainali ktk game zote mbili itakua poa sn

Hakika. Na tukibeba hata ka kikombe kimojawapo kati ya FA au UEFA au zote kwa pamoja.
 
Kesho tuwapige goli ngapi wazee..


Hatuna huruma msimu huu ,hatucheki na nyani...
 
Leo nilikuwa naperuzi video vya vichekesho kwenye football nikagundua kumbe kila jambo au tukio linalotokea uwanjani linaburudisha tena sana
Pia nikapata maswali mengi mojawapo ni iwapo refa kaumizwa akaanguka na muda huo huo mpira ukaendelea kuchezwa na hadi goli likafungwa kihalali. hivi maamuzi hapo yanakuwaje
 
Leo nilikuwa naperuzi video vya vichekesho kwenye football nikagundua kumbe kila jambo au tukio linalotokea uwanjani linaburudisha tena sana
Pia nikapata maswali mengi mojawapo ni iwapo refa kaumizwa akaanguka na muda huo huo mpira ukaendelea kuchezwa na hadi goli likafungwa kihalali. hivi maamuzi hapo yanakuwaje
Tatizo unaangalia shaulingi soka ya kichina unataka kuleta kwenye maisha halisi ya mpira
 
IMG-20210415-WA0042.jpg
IMG-20210416-WA0000.jpg
 
Tatizo unaangalia shaulingi soka ya kichina unataka kuleta kwenye maisha halisi ya mpira
Wahenga wa kicachina walisema "NO DATA NO TALK"
Nakupa homework ya kwenda kuangalia documentary za hizo video andika "Football Funny Moments". Kisha uje hapa ndio uongee tutakuelewa
Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom