Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Aisee nikiiangalia Chelsea ..
Sioni namna gan mnaweza kutufunga nyie ...
Mechi zote za Chelsea vs man city ,chelsea huwa underdog na anaishia kipigo cha mbwa koko ....
Huwa tunavunja daraja LA hapo London kiulaini ...
Mmesahau zile goli 6 ? Hapo darajan ...!
Tunawatwanga fa ..
Sasa mjichanganya tukutana uefa final ,mtajuta kuingia uwanjan




Sioni namna gan mnaweza kutufunga nyie ...
Mechi zote za Chelsea vs man city ,chelsea huwa underdog na anaishia kipigo cha mbwa koko ....
Huwa tunavunja daraja LA hapo London kiulaini ...
Mmesahau zile goli 6 ? Hapo darajan ...!
Tunawatwanga fa ..
Sasa mjichanganya tukutana uefa final ,mtajuta kuingia uwanjan






