Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mendy wa Madrid majerui hatoweza kuivaa Chelsea. Ramos Veran wote hawa majeruhi labda hapa sasa itabidi Marcelo apangwe. Ila Marcelo fundi nyie ni balaa
Nasikia huyu Mendy ni Causin wake na Mendy wetu

Edouard Mendy and former Olympique Lyonnais and current Real Madrid and France left-back Ferland Mendy are reportedly cousins.
 
Tactically mbio za nafasi ya 2-4 ni za timu nne, Manchester United wakiwa na asilimia kubwa ya kubaki top 4
Leicester City wako hatarini zaidi kutoka top 4 na atakayemuondoa rasmi top 4 ni Westbrom, Newcastle, Man United au Chelsea , Liverpool na Westham naona watagombea namba 4
1618742205598.png
 
Tactically mbio za nafasi ya 2-4 ni za timu nne, Manchester United wakiwa na asilimia kubwa ya kubaki top 4
Leicester City wako hatarini zaidi kutoka top 4 na atakayemuondoa rasmi top 4 ni Westbrom, Newcastle, Man United au Chelsea , Liverpool na Westham naona watagombea namba 4
View attachment 1755378
Chelsea mpk jumamosi km atashinda game zote mbili hizi yaani ya j4 na jmosi basi Chelsea atakua nafasi ya tatu...
 
Nasikia huyu Mendy ni Causin wake na Mendy wetu

Edouard Mendy and former Olympique Lyonnais and current Real Madrid and France left-back Ferland Mendy are reportedly cousins.
Ni kweli
 
UTABIRI UTATIMIA KWA CHELSEA BAADA YA MIAKA TISA?

Mara ya mwisho 2012 Chelsea anabeba ubingwa wa FA na UEFA, Barcelona alicheza fainali ya Copa del Rey dhidi ya Bilbao, mwaka huu tena imerudia

Chelsea anafanya makubwa 2012, mchezaji wake Mwandamizi na tegemeo ambaye ni beki wa kati anaumia Raundi ya 16 UEFA alikuwa ni John Terry, mwaka huu ameumia Thiago Silva

2012 wakati Chelsea anatwaa UEFA, nyota Lionel Messi anakosa penati kwenye hatua za mtoano UEFA, mwaka huu pia Lionel Messi amekosa penati dhidi ya PSG kwenye mtoano UEFA

Wakati wanabeba UEFA na FA 2012, golikipa alikuwa Petr Cech waliomnasa kutoka Rennes na alikuwa na miaka 29 wakati huo, Mendy nae kajiunga kutoka Rennes na kwasasa ana miaka 29 hiyo hiyo

Kocha alietupa ubingwa alikuwa amezaliwa tarehe 29 ya mwezi ambaye alikuwa Roberto Di Mateo, mwaka huu pia Thomas Tuchel amezaliwa tarehe 29 kama Mateo na anaelekea vyema kwenye mbio

Msimu wa 2011/12 Man United walipigwa 6-1 na alitolewa Mchezaji kwa kadi nyekundu, msimu huu pia imejirudia United wamepigwa 6-1 na Mchezaji wao alitoka kwa kadi nyekundu

Mara ya mwisho Chelsea tumekutana na Guardiola nusu fainali, tulishinda FA na UEFA, msimu huu pia katolewa Pep na City yake tumeenda fainali ya FA na tupo nusu UEFA

Kwenye huo msimu wa UEFA 2011/12 Didier Drogba alikuwa na mabao sita, mawili ya kichwa, matatu ya mguu wa kushoto na moja mguu wa kulia, msimu huu pia Oliver Giroud ana mabao sita na takwimu kama hizo

Nahodha wetu alikuwa John Terry msimu wa 2011/12 na alikuwa na miaka 31, kama ilivyo sasa kwa Cesar Azplicueta nae ana miaka yake 31 pia

Tulipangiwa timu ya Hispania hatua ya nusu fainali ilikuwa FC Barcelona kwenye UEFA na msimu huu tumepewa Real Madrid kwenye nusu fainali ya UEFA

Mara ya mwisho fainali ya FA kuchezwa kabla EPL kuisha ni 2012 na Chelsea alikuwa bingwa na msimu huu Fainali itapigwa kabla ya EPL kutamatika na Chelsea tupo fainali

TUPEWE UEFA NA FA KABISA?
 
UTABIRI UTATIMIA KWA CHELSEA BAADA YA MIAKA TISA?

Mara ya mwisho 2012 Chelsea anabeba ubingwa wa FA na UEFA, Barcelona alicheza fainali ya Copa del Rey dhidi ya Bilbao, mwaka huu tena imerudia

Chelsea anafanya makubwa 2012, mchezaji wake Mwandamizi na tegemeo ambaye ni beki wa kati anaumia Raundi ya 16 UEFA alikuwa ni John Terry, mwaka huu ameumia Thiago Silva

2012 wakati Chelsea anatwaa UEFA, nyota Lionel Messi anakosa penati kwenye hatua za mtoano UEFA, mwaka huu pia Lionel Messi amekosa penati dhidi ya PSG kwenye mtoano UEFA

Wakati wanabeba UEFA na FA 2012, golikipa alikuwa Petr Cech waliomnasa kutoka Rennes na alikuwa na miaka 29 wakati huo, Mendy nae kajiunga kutoka Rennes na kwasasa ana miaka 29 hiyo hiyo

Kocha alietupa ubingwa alikuwa amezaliwa tarehe 29 ya mwezi ambaye alikuwa Roberto Di Mateo, mwaka huu pia Thomas Tuchel amezaliwa tarehe 29 kama Mateo na anaelekea vyema kwenye mbio

Msimu wa 2011/12 Man United walipigwa 6-1 na alitolewa Mchezaji kwa kadi nyekundu, msimu huu pia imejirudia United wamepigwa 6-1 na Mchezaji wao alitoka kwa kadi nyekundu

Mara ya mwisho Chelsea tumekutana na Guardiola nusu fainali, tulishinda FA na UEFA, msimu huu pia katolewa Pep na City yake tumeenda fainali ya FA na tupo nusu UEFA

Kwenye huo msimu wa UEFA 2011/12 Didier Drogba alikuwa na mabao sita, mawili ya kichwa, matatu ya mguu wa kushoto na moja mguu wa kulia, msimu huu pia Oliver Giroud ana mabao sita na takwimu kama hizo

Nahodha wetu alikuwa John Terry msimu wa 2011/12 na alikuwa na miaka 31, kama ilivyo sasa kwa Cesar Azplicueta nae ana miaka yake 31 pia

Tulipangiwa timu ya Hispania hatua ya nusu fainali ilikuwa FC Barcelona kwenye UEFA na msimu huu tumepewa Real Madrid kwenye nusu fainali ya UEFA

Mara ya mwisho fainali ya FA kuchezwa kabla EPL kuisha ni 2012 na Chelsea alikuwa bingwa na msimu huu Fainali itapigwa kabla ya EPL kutamatika na Chelsea tupo fainali

TUPEWE UEFA NA FA KABISA?
Leo nimegundua kuwa kuna vilaza na viazi wengi sana chelsea ..

imagine mtu kama huyu anatumia historia kuwin UEFA ,kama sio kilaza level ya stg ni nani
 
Nyie man shity mtaishia kucheza tu nusu fainali UEFA
Leo nimegundua kuwa kuna vilaza na viazi wengi sana chelsea ..

imagine mtu kama huyu anatumia historia kuwin UEFA ,kama sio kilaza level ya stg ni nani
 
FAINALI UEFA NI PSG VS REAL MADRID
UTABIRI UTATIMIA KWA CHELSEA BAADA YA MIAKA TISA?

Mara ya mwisho 2012 Chelsea anabeba ubingwa wa FA na UEFA, Barcelona alicheza fainali ya Copa del Rey dhidi ya Bilbao, mwaka huu tena imerudia

Chelsea anafanya makubwa 2012, mchezaji wake Mwandamizi na tegemeo ambaye ni beki wa kati anaumia Raundi ya 16 UEFA alikuwa ni John Terry, mwaka huu ameumia Thiago Silva

2012 wakati Chelsea anatwaa UEFA, nyota Lionel Messi anakosa penati kwenye hatua za mtoano UEFA, mwaka huu pia Lionel Messi amekosa penati dhidi ya PSG kwenye mtoano UEFA

Wakati wanabeba UEFA na FA 2012, golikipa alikuwa Petr Cech waliomnasa kutoka Rennes na alikuwa na miaka 29 wakati huo, Mendy nae kajiunga kutoka Rennes na kwasasa ana miaka 29 hiyo hiyo

Kocha alietupa ubingwa alikuwa amezaliwa tarehe 29 ya mwezi ambaye alikuwa Roberto Di Mateo, mwaka huu pia Thomas Tuchel amezaliwa tarehe 29 kama Mateo na anaelekea vyema kwenye mbio

Msimu wa 2011/12 Man United walipigwa 6-1 na alitolewa Mchezaji kwa kadi nyekundu, msimu huu pia imejirudia United wamepigwa 6-1 na Mchezaji wao alitoka kwa kadi nyekundu

Mara ya mwisho Chelsea tumekutana na Guardiola nusu fainali, tulishinda FA na UEFA, msimu huu pia katolewa Pep na City yake tumeenda fainali ya FA na tupo nusu UEFA

Kwenye huo msimu wa UEFA 2011/12 Didier Drogba alikuwa na mabao sita, mawili ya kichwa, matatu ya mguu wa kushoto na moja mguu wa kulia, msimu huu pia Oliver Giroud ana mabao sita na takwimu kama hizo

Nahodha wetu alikuwa John Terry msimu wa 2011/12 na alikuwa na miaka 31, kama ilivyo sasa kwa Cesar Azplicueta nae ana miaka yake 31 pia

Tulipangiwa timu ya Hispania hatua ya nusu fainali ilikuwa FC Barcelona kwenye UEFA na msimu huu tumepewa Real Madrid kwenye nusu fainali ya UEFA

Mara ya mwisho fainali ya FA kuchezwa kabla EPL kuisha ni 2012 na Chelsea alikuwa bingwa na msimu huu Fainali itapigwa kabla ya EPL kutamatika na Chelsea tupo fainali

TUPEWE UEFA NA FA KABISA?
 
Leicester City wanashinda bao la dk ya 55 dhidi ya Soton
Chelsea anashinda kwa bao la dk ya 55 dhidi ya city. What a coincidence
 
Mchezo wa leo baina ya Leicester city na Southampton ni mbovu mbovu kwenda mbele. Kwenye fainal Leicester city wakicheza kama walivyocheza leo tunabeba kombe asubuhi na mapema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom