Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

City alichokosea ni kubadilika ktk mfumo wake ili aweze kufanya pressing ya juu hii ni mbaya sn na ndio sbbu alijikuta anatengeneza gape za wazi anakimbizwa na kutaka kufungwa.


Madrid wao kuwa ni wabishi. Wao huwa wanacheza mchezo wao ule ule wa 4+3+3 huu mfumo wa Madrid utaisaidia Chelsea kugengeneza mashambulizi na kuifunga Madrid. Mfumo wa 4+3+3 sio tishio kwa mfumo wa Chelsea na namna wanavyo switch hiyo formation ktk namna tofauti tofauti...


Naiona game ya Madrid kuwa ni nyepesi sn kuliko tunavyo fikiria maana kwanza sasaivi wachezaji wa Chelsea wameshazoea mfumo wao vzr na kuwa familiar na namna wanavyocheza.
 
Dalili ya Kocha mzuri ni kubeba makombe asubuhi, TT anaelekea huko
Yaani Man City ndio ilikua timu ngumu ktk hii FA.

Hawa Leicester City ata Soton tuliyo toka nayo sare tutawapiga vibaya sn


Yoyote yule aje tumtandike.


Yaani kombe la FA tayari tumeshalichukua hili...


Bado UEFA. Na Zidane anakiri wazi kabisa kuwa Chelsea ni timu nzuri na ngumu lkn ataenda kupambana hivo hivo...
 
TT adai Tammy ameachwa kwenye squad ya leo kwa sababu kakosa kujiamini kwenye siku za karibuni. Amedai yuko fit hana majeraha yeyote ila ni uamuzi mgumu kumuacha na ameamua kwenda na Werner na Kai Havertz huku Giroud akitokea benchi

"There isn’t much on Tammy [Abraham] but he’s lost a little bit of confidence recently and we’ve taken the hard decision to leave him out today," explained Tuchel to the Chelsea website.

"It was a tough decision but we decided to go with Timo [Werner], and with Kai [Havertz] and Oli Giroud from the bench. We have other injured players missing today, which would mean even more hard decisions."

Kwa amelezo haya ya kocha sidhani kama Tammy atabaki msimu ujao Chelsea
 
TT adai Tammy ameachwa kwenye squad ya leo kwa sababu kakosa kujiamini kwenye siku za karibuni. Amedai yuko fit hana majeraha yeyote ila ni uamuzi mgumu kumuacha na ameamua kwenda na Werner na Kai Havertz huku Giroud akitokea benchi

"There isn’t much on Tammy [Abraham] but he’s lost a little bit of confidence recently and we’ve taken the hard decision to leave him out today," explained Tuchel to the Chelsea website.

"It was a tough decision but we decided to go with Timo [Werner], and with Kai [Havertz] and Oli Giroud from the bench. We have other injured players missing today, which would mean even more hard decisions."

Kwa amelezo haya ya kocha sidhani kama Tammy atabaki msimu ujao Chelsea
Tammy anashindwa kupambana, hapa ndio ipo tofauti yake na wakina mount
Mount jinsi anavyojituma ndio inamfanya apate nafasi,

Apambane na kina timo,oli,kai,pulisic na ziyech apate hiyo nafasi tofauti na hivyo maisha yake ni mafupi sana kuwepo darajani chini ya tuchel,

Christensen alipopewa nafasi aliitumia ipasavyo
 
Chelsea player rating vs Man City

  1. Kepa Arrizabalga 7/10
  2. Cesar Azpilicueta 7/10
  3. Thiago Silva 8/10
  4. Antonio Rudiger 8/10
  5. Reece James 7/10
  6. Jorginho 8/10
  7. N'Golo Kante 7/10
  8. Ben Chilwell 7/10
  9. Mason Mount 8/10
  10. Hakim Ziyech 8/10
  11. Timo Werner 8/10
Comments kwa waliong'ara leo
  • Jorginho leo alimiliki katikati sana na kuwa mhimili mzuri wa Chelsea kutawala mpira kipindi cha kwanza na baada ya goli alisaidia pia sana kwenye kukaba. Kikubwa zaidi alimuweka KDB mfukoni kabisa
  • Silva leo alikuwa fundi wa kuzuia kisomi, usajili muhimu sana na wa maana FL aliufanya
  • Rudiger mnyama hakutaka masihara wala kuremba, tungemuacha Rudiger aondoke Chelsea tungelia
  • Mason Mount yeye huyu ni fundi kwel;i kweli na kila saa yeye anawaza kutendeneza nafasi za kufunga. Big up Mount
  • Ziyech leo alikuwa moto akiendelea hivi na Pulisic naye yuko moto basi UEFA, FA ni zetu na top 4 ya kwetu pia tena nafasi ya 3
  • Timo Werner hata asipofunga yeye ni threat na ni threat kwelikweli kwenye timu yeyote
 
Hakim Ziyech on his form
Asked by the BBC whether he is now at his top level after a slow start due to a lack of football heading into this summer,
Ziyech replied: "Not yet, not yet. I still have a lot to work on but I think I’m in a good way.”
 
TT mjanja bana. Aeleza kwa nini alichagua line-up ya leo, katikati aliwaweka Kante na Jorginho kwa sababu ya aina ya uchezaji wa Man City. Alitaka pasi ziwe nyingi katikati. na Mbele kawaweka Mount, Ziyech na Werner kwa sababu ya uchezaji wao na kweli hao watatu wameunagna vizuri. Move ya goli pasi nzuri ilianza kwa Mount kwenda kwa Werner aliyekimbia vizuri kwa kasi yake na kumpasia Ziyech

"Hakim is more of a dribbler, a passer, he turns in the pockets.
So sometimes with these decisions, they are never personal. We just go for the different characteristics of the players."
 
TT mjanja bana. Aeleza kwa nini alichagua line-up ya leo, katikati aliwaweka Kante na Jorginho kwa sababu ya aina ya uchezaji wa Man City. Alitaka pasi ziwe nyingi katikati. na Mbele kawaweka Mount, Ziyech na Werner kwa sababu ya uchezaji wao na kweli hao watatu wameunagna vizuri. Move ya goli pasi nzuri ilianza kwa Mount kwenda kwa Werner aliyekimbia vizuri kwa kasi yake na kumpasia Ziyech

"Hakim is more of a dribbler, a passer, he turns in the pockets.
So sometimes with these decisions, they are never personal. We just go for the different characteristics of the players."
Ni kweli middle field tuliitawala de Bruno alipoteya kabisa na pass zake zile zakupenya hatukuziona, Rahim sterling pia hakuweza kukokota mipira yake
 
TT mjanja bana. Aeleza kwa nini alichagua line-up ya leo, katikati aliwaweka Kante na Jorginho kwa sababu ya aina ya uchezaji wa Man City. Alitaka pasi ziwe nyingi katikati. na Mbele kawaweka Mount, Ziyech na Werner kwa sababu ya uchezaji wao na kweli hao watatu wameunagna vizuri. Move ya goli pasi nzuri ilianza kwa Mount kwenda kwa Werner aliyekimbia vizuri kwa kasi yake na kumpasia Ziyech

"Hakim is more of a dribbler, a passer, he turns in the pockets.
So sometimes with these decisions, they are never personal. We just go for the different characteristics of the players."
TT ni fundi anakupangia wachezaji kulingana na aina ya timu anayokutana nayo. Km timu inahitaji wakimbiaji na wakokota mpira sn km alivyo panga kwa Porto basi sawa km anahitaji wapiga pasi basi sawa. Na kz yake kubwa yeye anakwambia ni kuitafakari mbinu ya ushambuliaji kwa timu anayo kutana nayo maana km defense yeyewe ipo tu ni kuamua anakabia juu ktk mita 40 au wapi. TT mwalimu mzuri sn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom