dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 959
ivi ni visa vya makusudi !
Kuwapa mods kazi zisizo na mpango.
Ivi ili jukwaa gani !
I nayo ni siasa kweli !
Inabidi kuwekwe sheria ukikosea kwa kusudi unapigwa bani kama siku 3 hivi
ivi ni visa vya makusudi !
Kuwapa mods kazi zisizo na mpango.
Ivi ili jukwaa gani !
I nayo ni siasa kweli !
Nilijua unajidai tu huwezi kulala!Hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nafurai chelsea kubeba.mungu kawakumbuka japo siwashabikii. Kikosi cha morinho drogba,tery,lampad,cole,czech,essien, kalou. Hii ni kizaz ya morinho
CONGRATULATIONS! You deserved it!And they are, off course the champions of Europe...
Here comes Blues, THE PRIDE OF LONDON!
Haya sasa,
Unatemgemea bibi harusi unaambulia kilio......
Kwa heri Bayern.....try next time!!
Nilijua unajidai tu huwezi kulala!
HONGERA SANA KONGOSHO
Hongera babu DC umeamka haya msalimie bibi
Am so happy!