Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hahaha... nadhani zitakwenda penalties... wakati wanapiga penalty I was telling this guy ambaye tunaangalia wote kwamba Peter C. He is good with penalties! Wakienda penalties nadhani chelsick wanabeba ndoo hii
Yametimia! Subiri wenyewe wakusikie hapo kwenye red.
Mimi naiaminia Chelsea kwa penalties, lakini mpira ndio mpira, kila kitu kinawezekana.
Kila la Heri Chelsea!
 
Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom