NdasheneMbandu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 940
- 308
Chelsea wamezinduka kwa shambulizi kali lakini shuti la kalou linadakwa kirahisi
Buyern wanajibu shambulizi kali na kuwa kona
Asante sana. Tupo pamoja!
Chelsea wamezinduka kwa shambulizi kali lakini shuti la kalou linadakwa kirahisi
Buyern wanajibu shambulizi kali na kuwa kona
Chelsea wanaonekana kudorora kidogo, lakini akiingia Torres hali itabadilika.
Gang Chomba upo?
Usijali... wavu ukitikiswa utasikia tu kelele!! ... nje!
sidhani kama chelsea watashinda, naisi msimu ujao tutawakosa kwenye UEFA
ah wapi!bayern munic bingwa UEFA 2012
Yes midfield imetulia lakini nahisi wanahitaji mtu waku"spark off" mchezo wao. Kwa namna wanavyocheza hivi sasa, unless kuwepo na mchezo wa kushitukiza, wanaweza kupata tabu mbele ya BMünich.Mkuu .. unadhani Torres ni game changer!.. Chelsea leo midfield naona imetulia..