BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,076
Come on Chelsea!
Rev. Mtashinda usijali..Bayern wakishinda pongezi pi.. ila wapigeni kamoja TU!!
Come on Chelsea!
huyu robben kwanini asivunjike mguu?
ndiyo mpira baba...bila terry,ivanovic,ramires,meireles unataka wachezeje? akili kumukichwa...!Kona ya kwanza chelsea! Kazi kweli
napenda soka lake sitamani hata aumie
Mpira ni magori punguza porojo. kufungwa twafungwa lakini chenga twawala haina tija kwenye soka.chelsea zinawababua tu
ndiyo mpira baba...bila terry,ivanovic,ramires,meireles unataka wachezeje? akili kumukichwa...!
Tumbo langu limejaa siju gesi imezidi au?