Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

lampard trying to explain how Mendy turned to kepa
1609019903733.jpg
 
Shangilieni kwa muda ila mwaka huu lazima mshuke Championship ndio saizi yenu
 
Chelshit za blausi naone pole pole mnarudi kwenye nafasi zenu nacheka saaaaana hahaha
 
Wachezaji hawa walikuwa hovyo kabisa jana. Ingekuwa sub ya 5 inakubalika hawa jana walitakiwa nje kabla ya HT
  1. Mateo Kovacic - alipooza kabisa
  2. Ngolo Kante - inefective labda kwa sababu ya kuwekwa pembeni
  3. Timo Werner - hakujua analolifanya
  4. Édouard Mendy - poor positioning kwa goli la pili na la tatu
  5. Reece James
  6. Jourginho - kachoka mbaya
 
Maiti kamung'ang'ania muoshaji. Daah. Ujinga wa lampard kuthamini machezaji yake ya Kiingereza ndo imetughalimu. Hata hivyo tunawapongeza mashabiki wa arsenal mno moyo wa chuma. Sio kwa maumivu haya.
 
Wazee hongereni sana kwa ushindi, maana mlinisikitisha kufungwa game 2 mfululizo mpaka imeibua kelele mtaani kutoka kwa Man Utd.

Jumamosi chapeni Arsenal, Leicester atajitahidi apate sare kwa Utd. Sisi tukimalizana na Utd nyie ndo mtakuwa namba 2. (Ila kumbukeni kwamba hamjamalizana na City na Leicester round hii).

Leicester City kafanya kazi yake kama nililivyomtuma.

Nyie mmeharibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom