Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tukana unavyotaka ila mimi Castr ninasema Arsenal ana vibonde viwili man u na chelsea.

Hilo nimelisema hata kabla hatujacheza na everton. Usifikiri ni kwaajili ya ushindi
Unaposema ni vibonde inabidi uwe narecord. Haya leta record ni mechi ngapi zimechezwa baina yao na yupi kashinda/kapoteza mechi nyingi?
 
Hongereni. Kocha katuuza. Hii mechi haiku ngumu hivi.
James hakpaswa kucheza. Hayuko fiti bado.
Giroud alipaswa kuanza. Tammy kakosa magoli menig kama kawaida yake
Kovacic alipaswa kupumzika kabla ya nusu ya mchezo
Jorginho siyo mpiga penati. Kocha anamwonea tu. Awapo Mount au Werner

Alamsiki!
 
Tusiende mbali, Drogba mwaka wake wa kwanza na wa pili Chelsea alikuwa akifunga magoli lakini ana makosa debe tena ya kuudhi. Baada ya kuzoea ligi ndio alikuja kutrulia. Nakumbuka tena Drogba alikuwa hawezi kufunga kwa miguu alikuwa akifunga kwa vichwa zaidi ila baada ya kuzoea ligi kwenye mwaka wake wa pili au wa tatu alikuwa kuwa hot cake akifunga kwa miguu na vichwa. Bado naamini Abraham akizoea EPL anaweza asiwe kama Drogba lakini atakuwa akifun ga magoli 20+ kwenye msimu mmoja EPL tu
Mtetezi mkuu wa Tammy utopolo, Tammy + Lampard OUT, watetee tena kwa uchafu uliofanyika leo dhidi ya Arse8

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Wavulana wa London mpira unamatokeo matatu

Lakin wanaume leo walikuja na matokeo ya aina moja tu. Ushindi
 
Arsenal wideman Bukayo Saka to BBC Sport: "I saw him off his line so I thought I could chip him. [Really?] Yeah!

"We feel that we are a good team who have been unlucky with results and red cards but this is a big one for our confidence. It's been tricky, tough, but we have come out of it and we are trying our best.

"We grew up with each other, the young players all want to play and have the passion for this club. We want to make the fans happy."
 
Haya maneno yalikuwa wapi mda wote ya alonso
Kitu cha kujua hkuna mchezaji anaeweza cheza game zote kwa kiwango kile kile
Chilwel leo hajacheza vizur same to reece james wameshindwa kuendana na kasi ya kina martinel/bellerin na saka

Kiungo cha kante,kova na mount kilipotena leo
Mount kacheza vizor, Kante kakaba vizor. Kovacic hakuwa kwenye form. Alipaswa kupumzishwa Leo. Chilwell amejitahidi sana. James hakuwa fiti.

Lampard kauza time 🙂
 
Hongereni. Kocha katuuza. Hii mechi haiku ngumu hivi.
James hakpaswa kucheza. Hayuko fiti bado.
Giroud alipaswa kuanza. Tammy kakosa magoli menig kama kawaida yake
Kovacic alipaswa kupumzika kabla ya nusu ya mchezo
Jorginho siyo mpiga penati. Kocha anamwonea tu. Awapo Mount au Werner

Alamsiki!
Baada ya Waingereza kumzingua Abramovich naona ni kama ameisusa team. Roman ninayemjua Mimi Angekuwa keshamtimua Lampard muda mrefu. Hana uwezo wa kufundisha team kubwa kama Chelsea unampaje coach team kama Chelsea hajawahi hata kufundisha team ya Premier league? ILA Kwenye swala la Joginho kupiga penalty namtetea Lampard kwa Wachezaji wote waliopo Chelsea Yeye ndo mwenye record nzuri ya kufunga penalty kuliko mchezaji yeyote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom