Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Club yangu imegeuka charity organization

Baada ya kuwapa Everton a helping hand leo tumeendeleza tabia yetu

Hongera kwa Arsenal, mmekua the best team...truth be told

Mmeonesha courage, belief, fighting spirit...and, and...............................better tactics from a better coaching.

Looking forward to Villas at the bridge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu kwanini umeruhusu haya yatokee Chelsea kuwa na kocha kama Lampard? Why God why?
Eti timu ina kila aina ya wachezaji lakini Kocha ni 0 technically zaidi ya kukariri ball possession tu bila ya ushindi,

Lampard, OleSendeka, Aterta, ni akia Kishingo waliochangamka tu

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Screenshot_20201226-230848.jpg
 
Tumekalia kupiga cross tu, hatuna njia nyingine ya kutafuta goal

Kushinda game za top 6 itakuwa ngumu sana
Chelsea hadi dkk 65 no short on target afu tunapeana matumaini eti Lampard atatupeleka nchi ya asali na maziwa kweli? wakati mwingine bangi inatakiwa uvute ndipo umwone Lampard ni Kocha mzuri

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Mount kacheza vizor, Kante kakaba vizor. Kovacic hakuwa kwenye form. Alipaswa kupumzishwa Leo. Chilwell amejitahidi sana. James hakuwa fiti.

Lampard kauza time 🙂
Sio kwamba Lampard kauza timu ila kakutana na timu bora uwanjani na kila siku tukiwaambia London is red mnabisha sasa Leo mmekubali matokeo kila la heri chama tutafungwa na timu ndogo ila sio Man U na Chelsea.!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom