Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Anachojua kichwani kwake ni:-

1. Pombe
2. Sigara
3. Wanawake
4. Ukocha kwa mbaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiView attachment 1659962

Sent using Jamii Forums mobile app
Chelsea fans msikate tamaa kirahisi hivi, jana mlikua na siku mbaya na Arteta alikiri endapo angepoteza jana timu ingekua ktk hali mbaya, kwaiyo jana ilikua lazima chelsea afe tu hamna namna

My opinion, lampard kocha mzuri ila apewe muda kujenga timu, ila yule Mendy jana karogwa si bure
 
Ushabiki wa maandazi timu ikifungwa ikiwa ya 15 kila msimu mnaama timu Mimi nimeshakuwa kwenye hii timu tangu mwàka 98 nipo form one mpaka nitakapoingia kaburini Mimi ni The Gunners always and forever!!
Nilikuwa sikuzungumzii wewe au una ma ID mengi, anyway kuna shabiki maandazi anajijua anaropoka la kumfurahisha hata lisilo na ushahidi.
 
Kuifunga man u haiwezi kua memory. Huo ni utamaduni. Memory ni kuchukua ligi bila kupoteza hata mechi moja.
Record Man u vs arsenal head to head mechi 234 zimeshachezwa. Man u won 97, arsenal won 85, draw 52. Na largest victory ni 8-2.Kwa record hizi ushamjua kibonde.

Timu kubwa huwa zinakuwa na memory ya kushinda uefa champions league.
 
Chelsea fans msikate tamaa kirahisi hivi, jana mlikua na siku mbaya na Arteta alikiri endapo angepoteza jana timu ingekua ktk hali mbaya, kwaiyo jana ilikua lazima chelsea afe tu hamna namna

My opinion, lampard kocha mzuri ila apewe muda kujenga timu, ila yule Mendy jana karogwa si bure
Toka nusu ya msimu uliopita umeona Lampard kaimprove nini ? Mara ngapi kafanya sub zenye +ve impacts, mara ngapi kafanya tactic switch kucounter ubora wa mpinzani? Yaani kuna mechi siikumbuki vizuri aliulizwa kwa nini Pulisic ulimuamisha upande mwingine jibu eti I was trying something different yaani bado anafanya experiments kwenye project za kusaka ubingwa
 
Record Man u vs arsenal head to head mechi 234 zimeshachezwa. Man u won 97, arsenal won 85, draw 52. Na largest victory ni 8-2.Kwa record hizi ushamjua kibonde.

Timu kubwa huwa zinakuwa na memory ya kushinda uefa champions league.
Memory ya UEFA au siyo? No timu kubwa hua haziendi uefa kisha zikashindwa kuifunga timu waliyotoka kuifunga tano na kujikuta europa na kwenda kukutana na aliyewapiga sita.
 
Tukana unavyotaka ila mimi Castr ninasema Arsenal ana vibonde viwili man u na chelsea.

Hilo nimelisema hata kabla hatujacheza na everton. Usifikiri ni kwaajili ya ushindi
Kibonde wako na kashakuchomeka goli 8 hebu tupunguze comedy..
 
Memory ya UEFA au siyo? No timu kubwa hua haziendi uefa kisha zikashindwa kuifunga timu waliyotoka kuifunga tano na kujikuta europa na kwenda kukutana na aliyewapiga sita.
Zungumzia timu yako acha kurukaruka kama popcorn
 
Memory ya UEFA au siyo? No timu kubwa hua haziendi uefa kisha zikashindwa kuifunga timu waliyotoka kuifunga tano na kujikuta europa na kwenda kukutana na aliyewapiga sita.
Nasema hivi timu kubwa zinakuwa na memory ya kuchukua uefa champions league.Wewe unaongelea jambo la sasa. Kwani hiyo unbeaten yako ni ya sasa? Sasa wewe jivunie hiyo memory ya unbeaten ila timu kubwa zote zinajivunia memory ya usiku wa uefa wakinyanyua makwapa.
 
Nasema hivi timu kubwa zinakuwa na memory ya kuchukua uefa champions league.Wewe unaongelea jambo la sasa. Kwani hiyo unbeaten yako ni ya sasa? Sasa wewe jivunie hiyo memory ya unbeaten ila timu kubwa zote zinajivunia memory ya usiku wa uefa wakinyanyua makwapa.
Kwahiyo uefa umenyanyua sasa? Unakumbuka hata mara ya mwisho kuchukua uefa?
 
Kwahiyo uefa umenyanyua sasa? Unakumbuka hata mara ya mwisho kuchukua uefa?
Kumbe nabishana na mtu usie na record, kwa kifupi wewe ni shabiki uchwara(maandazi).

Man u kashinda uefa champions 2008. Arsenal unbeaten season ni 2003/2004. Sasa tukio lipi ni la zamani wewe shabiki uchwara(maandazi)?
 
Bob vibonde hubahatisha pia. Kwani umeona timu ndogo ngapi zinapata goli nyingi kwa timu kubwa? Dortmund katoka kufungwa tano na nani?
Acha kuvuta bangi mbichi, Red Devil hajawahi kuwa kibonde kwa Ars8, hata bikra ya unbeaten United ndio alikuvunja..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom