Tuletee pia mrejesho.Asante sana mkuu, naingia fasta
Sawa mkuu. Nimepata Burma HD TV na Burma TV; natest zote mbili nione ni ipi inapiga kazi vzr.Tuletee pia mrejesho.
mnabebwa....Kalale
Alale vipi sasa kama ni mlinzi yupo lindo.Kalale
naona dua zetu za kuku hazijampata mwewe, japo refa kawabeba na hamjacheza mpira nzuri.Kambi Mahema yameungua... Poleni na usiku mwema!
Declan rice alikuwa offside na wala si faulonaona mnabebwa mmefungwa goli liko wazi kabisa jamaa hata hajaguswa refa kaweka faulu
Akili ndogo lakini imefanya kaziLeo ndio nimejua jinsi gani Lampard ana akili ndogo unamrudishaje Abraham first eleven wakati West ham Wana mabeki wenye nguvu
Me naomba aumie Kipa huyo, ndio mukome.
Halafu kaumia kizembe kweli, sijui hiyo injury itamchukua muda gani. Emerson kacheza vizuriChilwel out
Emerson in
Chilwel kaumia
Offside ya wazinaona mnabebwa mmefungwa goli liko wazi kabisa jamaa hata hajaguswa refa kaweka faulu