Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leo kumfunga Arsenal ni lazima hata kama form iko chini. Bunrley na Brighton wakishinda Arsenal itakuwa rasmi kwenye nafasi ya 17. Position moja tu kutoka Relagation zone
Acha hizo braza


Huna huruma kabisa


Arsenal unazidi kuonea tu

Anashuka chini

Haya sio Maisha

Mwachieni na yeye ashinde

Hapa duniani tunapita tu jamani, na Arsenal anataka kuishi jamni msiwe hivo
 
Huyu dogo anaitwa martinel
IMG_20201226_185442_099.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom