Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wachezaji hawa walikuwa hovyo kabisa jana. Ingekuwa sub ya 5 inakubalika hawa jana walitakiwa nje kabla ya HT
  1. Mateo Kovacic - alipooza kabisa
  2. Ngolo Kante - inefective labda kwa sababu ya kuwekwa pembeni
  3. Timo Werner - hakujua analolifanya
  4. Édouard Mendy - poor positioning kwa goli la pili na la tatu
  5. Reece James
  6. Jourginho - kachoka mbaya
Sifia na waliokukimbiza
 
Maiti kamung'ang'ania muoshaji. Daah. Ujinga wa lampard kuthamini machezaji yake ya Kiingereza ndo imetughalimu. Hata hivyo tunawapongeza mashabiki wa arsenal mno moyo wa chuma. Sio kwa maumivu haya.
Kweli kabisa maana kante,mendy,kovacic,timo,zuma delux,silva, wamechukua uraia wa uingereza juzi
 
Aiseeeeh
1609019884666.jpg
 
Nyie mnapataga matokeo wakipangwa wale wajumbe wenu,kudadadeki jana Arteta kawastukia hata sub hawajawekwa,

Mkajua mtakuta willian na luiz hahahahaaaa mkakutana na machalii gabi,smith na saka na muhuni pabro

Naangalia record hapaView attachment 1659981
1609020130011.jpg
 
Wachezaji hawa walikuwa hovyo kabisa jana. Ingekuwa sub ya 5 inakubalika hawa jana walitakiwa nje kabla ya HT
  1. Mateo Kovacic - alipooza kabisa
  2. Ngolo Kante - inefective labda kwa sababu ya kuwekwa pembeni
  3. Timo Werner - hakujua analolifanya
  4. Édouard Mendy - poor positioning kwa goli la pili na la tatu
  5. Reece James
  6. Jourginho - kachoka mbaya
Ulitaka Mendy atoke aingie nani? Petr Cech au?
 
Tukana unavyotaka ila mimi Castr ninasema Arsenal ana vibonde viwili man u na chelsea.

Hilo nimelisema hata kabla hatujacheza na everton. Usifikiri ni kwaajili ya ushindi
We jamaa kweli mpira umeanza kushabikia juzi yani kwa game za karibuni sawa mmewafunga united ila hawezi na hajawahi kuwa kibonde wako

Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
Sio kwamba Lampard kauza timu ila kakutana na timu bora uwanjani na kila siku tukiwaambia London is red mnabisha sasa Leo mmekubali matokeo kila la heri chama tutafungwa na timu ndogo ila sio Man U na Chelsea.!!!
Mwee ndio maana mnashinda mech moja mnapigwa 7
 
Next Five Games:

Wolves (A), Westham (H), Arsenal (A), Aston Villa (H) and Man City (A).

Hapo natabiri kwamba mtapoteza points walau 6. i.e 3 wins 2 losses, au 2 wins, 2 draws na 1 loss.

Hii post niliiweka baada ya kupoteza dhidi ya Everton.

Mpaka sasa tayari mmepoteza 6 points, mmepata 3.

Vs Astonvilla na City: the most you can get is 3 points (win one lose 1), the worst is 1 (1 draw 1 loss).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom