Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pia mji waliopo ukiwatafuta kwenye Ramani yoyote ile utaambiwa wapo FULHAM

Yani jeuri yote waliyonayo kumbe Fulham babalao.

Liverpool Derby yake ni Everton (Mji mmoja)

Manure Derby yake ni Man City (Mji mmoja)

Sasa waambie Chelsea Derby yake ni Fulham (Chelsea ipo Sebuleni kwa Fulham) uone watakavotoa Povu hao
Arsenal ni jina la mji? Nafikiri usiwe mjnga kiasi hicho
 
Aaaaaaaaaahhhhhh... Ąiseeeeeeeeeehhhhhh, kwahiyo kiuhalisia chelsea ni kikundi cha raia wanaomiliki pitch ya stamford bridge hapa fulham! Then wakakod wachezaji wa ndondo wakaingiza timu ktk ligi? Sasa hawa wana tofauti gani na hii Misosi FC ya huku kwetu Tandale, au Mabibo market?
Mashabiki kumiliki sehemu ya timu yao ni kosa? Mbona sielewi msingi wa mnachoongea? Mashabiki kama wana stake katika timu hilo ni jambo zuri maana watakuwa na maamuzi na timu yao. Tofauti na timu ambayo inamiliwa na mwanaume mmoja na mali zake zote alafu wanaomshabikia huyo mwanaume wanajiona wa maana na kuwasimanga mashabiki wanaomiliki timu yao(jina, uwanja, na some assets)
 
Unajua ukweli upo hivi! Wale Raia wa pale Mjini Fulham ambao ni haters wa Fulham FC tokea kizazi na kizazi ndiyo wanaomiliki Jina la Chelsea na Uwanja tu.

Kuna Chelsea Kampuni hiyo inamiliki Wachezaji, Kocha na Staffs members wa Chelsea.

Sasa Abramovic yeye kauziwa Wachezaji tu na Chelsea Kampuni.

Raia wa Fulham wamegoma kuuza uwanja na Jina.

Hivyo Abramovic anamiliki Watu (Wachezaji) tu na si Timu kama wengi wanavyoamini.
Abramovic ni GSM anayeishi Ulaya tu kwani GSM anamiliki Wachezaji tu Yanga kina Sarpong lakini Timu inamilikiwa na Wanywa Viroba wa Dar.

Hivyo Abramovic alitaka kujifanya Mjanja kutaka kujenga Uwanja wake ili amiliki Timu kamili kwani Wachezaji na Uwanja ndiyo Timu kamili lakini Wahuni wa Fulham wakamwambia we Kenge ukitaka kujenga uwanja wako basi chukua Genge lako lote la kina Bakayoko na Tomori wako ukaanzisha Timu yako utuachie Jina na uwanja wetu tukodishe kwa Mtu mwengine
Mkuu hili ni jukwaa la Chelsea fans, not Abramovich fans. We care about Chelsea team regardless of who owns it
 
Kujitendanisha na Chelsea kwa sababu CPO ni independednt institution ndani ya compuni8 kubwa moja inayoitwa Chelsea PLC, Hata kama mmiliki ni mmoja mambo ya organization management kama umesoma vizuri we mkulima wa turiani, taasisi ikikomaa au kuwa kubwa ili kuondoa complexity kwenye management inafanywa kuwa independent kiutawala except kwenye ownership. Kisheria inashitakiwa kivywake na inashitaki kivyake. Kuwa part of Chelsea PLC ni evidence kuwa inamilikiwa na Chelsea FC
Katafuta mwanasheria akushauri maana hata mimi nikueleze kwa wino wa debe hutaelewa

To understand this unique company, you have to know a little history.​

In the 1980s Chelsea FC was under threat from property developers who wanted to change Stamford Bridge into a housing development, which would have meant that the club would have to find a new home, possibly sharing with another club.
This was strongly opposed by the then Chairman of the club, Ken Bates, who eventually obtained the freehold in the ground in the early 1990s.
In order to ensure that we never again had the threat of being evicted from our ground, the club decided to set up CPO to guard against it, by selling shares to ordinary fans. The club loaned CPO the money to pay for the freehold, and CPO is duty bound to repay this to the club. CPO lease the ground to the club for a period of 199 years starting in 1997.
The structure of CPO, is such that no one person can unduly influence the company, and in the event of the club wishing to move, they either have to surrender the name Chelsea FC to CPO, or to obtain the permission of CPO to do so.
WHAT EXACTLY DOES CHELSEA PITCH OWNERS OWN?
Through a wholly owned subsidiary (Chelsea Stadium Limited), CPO own the freehold of the footprint of the current stadium. The physical evidence of this is seen in the change in brick colour on the ground in places such as outside the megastore. This indicates the boundary. The stadium is leased back to Chelsea, who pay a nominal rent to CPO.
DOES CHELSEA PITCH OWNERS RUN THE STADIUM?
No. We lease the stadium to the club, who run the stadium, and everything to do with it.
HOW DOES CHELSEA PITCH OWNERS REPAY ITS LOAN TO CHELSEA?
CPO sells shares each year, and 85 per cent of the nominal value of each share is payed to the club as repayment on the loan.
HOW DOES CHELSEA PITCH OWNERS STAY IN BUSINESS?
Even though there is a clause in our lease to the club that ensures that its debts can be paid, CPO tries to break even each year through selling shares in special ways, such as signed by players, or presented on the pitch, and through events such as dinners and tournaments.

Point yako hasa ni nini labda mana hujuilikani unachopinga wala unachokubali.

  • Abramovic anamiliki Chelsea FC
  • Mashabiki (CPO) wanamiliki Uwanja na Jina
  • CPO wamewakodisha uwanja Chelsea FC kwa miaka 199
  • Abramovic hana haki kwenye uwanja na Jina la Chelsea

Sasa hapo unapinga lipi?

Maneno mengi lakini unashindwa kunyoosha maelezo! Au unadhani Mmiliki wa Chelsea Abramovic kauziwa Timu na uwanja wake? Si ndio?
 
Wewe endelea kugoogle na kuzunguka Mbuyu kujificha kwenye kichaka cha msamiati wa Sheria lakini Summary ya uliyoyaandika ni Hii.

• Chelsea Football Club - Mmiliki wake ni Abramovic.

• Stamford Bridge haimilikiwi na Roman Abramovich wala Chelsea Football Club. Instead, the freehold of the ground and the naming rights of the stadium vinamilikiwa na Chelsea Pitch Owners PLC (CPO).
- Je ni nani hao CPO (Chelsea Pitch Owners?)
Jibu fungua Link ya Official website yao hapa Chini uone kama tunawadanganya Watu au wewe ndiye unayetaka kuwaaminisha Watu usichokijua.


Kwenye hiyo Website yao kuna maneno haya "Chelsea Football Club is not responsible for the content on the Chelsea Pitch Owners website" Sasa jiulize kwanini wamejitenganisha na Chelsea FC kwenye maudhui yao wanayopost mtandaoni? Kwanini wawe na Website yao binafsi badala ya kutumia ile ya Timu? Huoni kuwa ni Organization inayojitegemea?

Kwa Taarifa yako Uwanja mumekodishwa kwa miaka 199.

Na hao CPO uliohadaika na neno "PART OF THE CHELSEA FOOTBALL CLUB" unajua maana ya maneno hayo?

Maana yake wao ni Washabiki/Member wa Chelsea! Lakini hawana ushirika wowote na Chelsea FC katika umiliki wala hawana hisia pamoja na Abramovic.

Wao CPO wana hisa zao mbali ambazo ni 21,000 ambazo si za kibiashara.
Jamaa sikujua kama we ni mweupe kiasi hiki! Hivi timu kumilikiwa na zaidi ya mtu/kampuni moja ni kosa? Mbona timu nyingi zina zaidi ya mmiliki mmoja? Mbona kuna timu zinamilikiwa na mashabiki? Mbona tuna timu mashabiki na mwekezaji/wawekezaji wanamiliki hisa za timu? Cha msingi ni kwamba timu iendeshwe kwa kufuata makubaliano ya kimkataba. Nimesema sisi humu ni Chelsea fans, siyo walamba matako ya Abramovch kama ilivyo Arsenal au Liverpool. Yaani mtu mmoja akiamua imekwisha hakuna wa kuhoji
 
Mtu akilelewa na Bibi yake lazima akose adabu ya kuongea na Watu Wazima kama sisi
 
Kujitendanisha na Chelsea kwa sababu CPO ni independednt institution ndani ya compuni8 kubwa moja inayoitwa Chelsea PLC, Hata kama mmiliki ni mmoja mambo ya organization management kama umesoma vizuri we mkulima wa turiani, taasisi ikikomaa au kuwa kubwa ili kuondoa complexity kwenye management inafanywa kuwa independent kiutawala except kwenye ownership. Kisheria inashitakiwa kivywake na inashitaki kivyake. Kuwa part of Chelsea PLC ni evidence kuwa inamilikiwa na Chelsea FC
Katafuta mwanasheria akushauri maana hata mimi nikueleze kwa wino wa debe hutaelewa

To understand this unique company, you have to know a little history.​

In the 1980s Chelsea FC was under threat from property developers who wanted to change Stamford Bridge into a housing development, which would have meant that the club would have to find a new home, possibly sharing with another club.
This was strongly opposed by the then Chairman of the club, Ken Bates, who eventually obtained the freehold in the ground in the early 1990s.
In order to ensure that we never again had the threat of being evicted from our ground, the club decided to set up CPO to guard against it, by selling shares to ordinary fans. The club loaned CPO the money to pay for the freehold, and CPO is duty bound to repay this to the club. CPO lease the ground to the club for a period of 199 years starting in 1997.
The structure of CPO, is such that no one person can unduly influence the company, and in the event of the club wishing to move, they either have to surrender the name Chelsea FC to CPO, or to obtain the permission of CPO to do so.
WHAT EXACTLY DOES CHELSEA PITCH OWNERS OWN?
Through a wholly owned subsidiary (Chelsea Stadium Limited), CPO own the freehold of the footprint of the current stadium. The physical evidence of this is seen in the change in brick colour on the ground in places such as outside the megastore. This indicates the boundary. The stadium is leased back to Chelsea, who pay a nominal rent to CPO.
DOES CHELSEA PITCH OWNERS RUN THE STADIUM?
No. We lease the stadium to the club, who run the stadium, and everything to do with it.
HOW DOES CHELSEA PITCH OWNERS REPAY ITS LOAN TO CHELSEA?
CPO sells shares each year, and 85 per cent of the nominal value of each share is payed to the club as repayment on the loan.
HOW DOES CHELSEA PITCH OWNERS STAY IN BUSINESS?
Even though there is a clause in our lease to the club that ensures that its debts can be paid, CPO tries to break even each year through selling shares in special ways, such as signed by players, or presented on the pitch, and through events such as dinners and tournaments.
Kama ana akili akisoma hapa ataelewa. Labda uwatafsirie akina Dully maana wao lugha inawapiga chenga
 
Point yako hasa ni nini labda mana hujuilikani unachopinga wala unachokubali.

  • Abramovic anamiliki Chelsea FC
  • Mashabiki (CPO) wanamiliki Uwanja na Jina
  • CPO wamewakodisha uwanja Chelsea FC kwa miaka 199
  • Abramovic hana haki kwenye uwanja na Jina la Chelsea

Sasa hapo unapinga lipi?

Maneno mengi lakini unashindwa kunyoosha maelezo! Au unadhani Mmiliki wa Chelsea Abramovic kauziwa Timu na uwanja wake? Si ndio?
Wewe hujafafanua vizuri kwa sababu za kishabiki na hutaki kwa makusudi kunyoosha maneno
  • Abramovic anamiliki Chelsea FC PLC - Yeye hamiliki Chelsea FC PLC bali anamiliki Fordstam Limited ambayo ndio mmiliki wa Chelsea FC PLC
  • Mashabiki (CPO) wanamiliki Uwanja na Jina - sawa ambayo CPO inamilikiwa na Chelsea FC PLC
  • CPO wamewakodisha uwanja Chelsea FC kwa miaka 199 - ni sawa kuwakodisha kwa sababu wao wana legitimacy kisheria waliopewa na Chelsea FC PLC kumiliki kiwanja kwa niaba ya Chelsea FC PLC, mwishoi wa siku mapato ghafi yanarudi Chelsea FC PLC
  • Abramovic hana haki kwenye uwanja na Jina la Chelsea - Mambo ya kisheria hutaweza kuelewa hasa ukiwa Bongo. Yeye yuko mbali sana kimprotokali na CPO na hataweza kufanya hivyo kwa sababu za kisheria.
Kwa ufupi structure ya Chelsea ni complex na Liverpool hamuwezi kuijua kwa sababu Liverpool is a very small entity na hizi complexity za Chelsea huko hakuna
Taasisi inavyozidi kuwa kubwa inapitia kwenye complexity kama hizi zinazoforce kugawanywa kisheria na ikisha kuwa hivyo haviingiliani isipokuwa kwa taratibu zilizowekwa kisheria
 
Wewe hujafafanua vizuri kwa sababu za kishabiki na hutaki kwa makusudi kunyoosha maneno
  • Abramovic anamiliki Chelsea FC PLC - Yeye hamiliki Chelsea FC PLC bali anamiliki Fordstam Limited ambayo ndio mmiliki wa Chelsea FC PLC
  • Mashabiki (CPO) wanamiliki Uwanja na Jina - sawa ambayo CPO inamilikiwa na Chelsea FC PLC
  • CPO wamewakodisha uwanja Chelsea FC kwa miaka 199 - ni sawa kuwakodisha kwa sababu wao wana legitimacy kisheria waliopewa na Chelsea FC PLC kumiliki kiwanja kwa niaba ya Chelsea FC PLC, mwishoi wa siku mapato ghafi yanarudi Chelsea FC PLC
  • Abramovic hana haki kwenye uwanja na Jina la Chelsea - Mambo ya kisheria hutaweza kuelewa hasa ukiwa Bongo. Yeye yuko mbali sana kimprotokali na CPO na hataweza kufanya hivyo kwa sababu za kisheria.
Kwa ufupi structure ya Chelsea ni complex na Liverpool hamuwezi kuijua kwa sababu Liverpool is a very small entity na hizi complexity za Chelsea huko hakuna
Taasisi inavyozidi kuwa kubwa inapitia kwenye complexity kama hizi zinazoforce kugawanywa kisheria na ikisha kuwa hivyo haviingiliani isipokuwa kwa taratibu zilizowekwa kisheria

"Liverpool is a very small entity" 😅😅
Na juzi tumehamia kwenye Viwanja vipya vya mazoezi Nyinyi endeleeni kukodi.
 
Liverpool wanaanza kuwa kama Arsenali kazi kupiga umbeya kwenye mambo ya wengine sasa kwao kunaungua. Mtakuwa mkipewa vipigo hadi mrudi kuwa ile Liverpool ya kichwa cha wendawazimu

Lakini Tukija Darajani si tunashinda! Shida ipo wapi?
 
Kuonesha kuwa Kigenge chenu ni cha kuungauunga haimiliki Jina la Mji (Ipo ndani ya Fulham) tofauti na Newcastle, Manchester, Liverpool, Sunderland, Leeds n.k.

Haina Uwanja, imekodi.

Haimiliki Jina, imekodi.

Haiwezi kufanya maamuzi ya uboreshaji miundombinu, Mpaka watake waliokodisha uwanja na Jina.

Halafu munataka kushindana na Arsenal Timu iliyokamilika?

CC: DullyJr
Kwani asenal inamiliki jina la mji? Ucha uboya wewe
 
"Liverpool is a very small entity" 😅😅
Na juzi tumehamia kwenye Viwanja vipya vya mazoezi Nyinyi endeleeni kukodi.
Nyie hamna ubavu wowote kwa Chelsea, mna umri mkubwa bila mshiko na mnajua hilo ndio maana mnapiga nduru sana
 
"Liverpool is a very small entity" 😅😅
Na juzi tumehamia kwenye Viwanja vipya vya mazoezi Nyinyi endeleeni kukodi.
1606376736277.png
 
Liverpool wanaanza kuwa kama Arsenali kazi kupiga umbeya kwenye mambo ya wengine sasa kwao kunaungua. Mtakuwa mkipewa vipigo hadi mrudi kuwa ile Liverpool ya kichwa cha wendawazimu
Mkodisho fc,




Dah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom