Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wale mashabiki fuata mkumbo hivi munajua timu munayoishabikia kweli?
 
Sasa najiuliza swali hao watu walioshikilia jina la timu hawapendi kuona timu inapiga hatua kimafanikio? Wanafaidika nini kukwamisha maendeleo ya club?

Oky kama Roman atanunua eneo lingine akajenga uwanja wa kisasa hawa watu wakaendelea kupewa hati miliki ya jina kwenye uwanja mpya kuna shida gani?
Wao hawataki timu iondoke Stamford inatakiwa timu ibaki palepale , so wao ndo wanamiliki jina pia ukisikilza wachambuz pia wansem kuna business reasons pia zinazofany jamaa wakatae timu kuondok Fulham
 
Dah nimesikitika sana kusikia kwamba kuna wazee aina mzee kilomoni wanashikilia hati miliki ya jina na pitch.

Nilikuwa nafahamu kwamba uwanja ulishindikana kupanuliwa kuwa kuna jirani aliweka pingamizi kwamba uwanja ukipanuliwa utamkinga kupata jua.

Akaambiwa auze nyumba akakataa. Hili la kina mzee kilomoni nilikuwa silijui aisee.
Yule jirani alikubali kulipwa fidia so ishu ilibki kwa hao jamaa wao hawataki timu ihame kama uwanja utanuliwe palepale Stamford

Na waliombwa kuuza umiliki wa jina walikatas
 
Kama wanataka timu ibaki wamshauri mwenzao auze nyumba yake jirani na uwanja ivunjwe kupisha ujenzi wa upanuzi wa uwanja. Sasa wanagoma timu kuhama huku wanazuia maendeleo ndio nini sasa?
Mwaka huu ndo walikubali challenge ikaja kuwa ni pembeni mwa uwanja kun sehm kwa ajili ya rail way so utnuz wa uwanja inabidi usilete chngamoto mweny rail way hasa mitikisiko coz utanuz wa uwanja ulihusisha pia njia ya kutanua kwa kuchimba
 
Kuonesha kuwa Kigenge chenu ni cha kuungauunga haimiliki Jina la Mji (Ipo ndani ya Fulham) tofauti na Newcastle, Manchester, Liverpool, Sunderland, Leeds n.k.

Haina Uwanja, imekodi.

Haimiliki Jina, imekodi.

Haiwezi kufanya maamuzi ya uboreshaji miundombinu, Mpaka watake waliokodisha uwanja na Jina.

Halafu munataka kushindana na Arsenal Timu iliyokamilika?

CC: DullyJr
Imekamilika ha ha haaaaa hata cku mkipata UEFA mtaajitaje???

Ligi mna mwaka wa 18 sasa

Hamna hata direction
 
Kwahiyo kiufupi ni kwamba upanuzi wowote wa uwanja hauwezekani?
Inawezkn kuongeza siti elfu kum na nane ,so apo ni maamuz ya tajiri mwenyewe

Pia ujue mmiliki wa timu sahizi akai tena uingereza na miaka minne hajaenda Stamford kuanglia game za Chelsea kutokana na issue za kidiplomasia
Kiufupi sababu za kisiasa pia zinachangia
 
STADIUM CAPACITY


Manchester fc 74,879

Tottenham Hotspur fc 62,062

Arsenal fc 60,704

West Ham United fc 60,000

Manchester City fc 55,017

Liverpool fc 53,394

Newcastle United fc 52,305

Aston Villa fc 42,095

Chelsea fc 40,834


Dah hii sio pouwa
Bado na lampard ni kocha wa chelsaa
 
Dah kupanua uwanja imeshindikana, kuhama na kubadilisha jina la timu imeshindikana.

zipi ni hasara za kubadilisha jina la timu kwa ajili ya kujenga uwanja wa kisasa?

Google usome Historia ya Timu inaitwa MK Dons utajua hasara ya kuhama uwanja na kubadili Jina.

Kumbuka Makombe, Legends na Fanbase ni Mali ya Chelsea.

Ukihama Darajani na kubadilisha Jina itabidi uanze Upya kama walivyofanya MK Dons pale walipohama Wimbledon na kuhamia Milton Keynes City iliwabidi waachane na Jina la Wimbledon FC hatimae Fanbase yao ya Wimbledon ikajawa na hasira ikaizuia Timu kutumia jina la Wimbledon FC ndiyo wakajiita MK Dons then Fan Base ya Wimbledon ikaanzisha Timu mpya wakaiita AFC Wimbledon.

Hivyo kumbuka kuwa wanaomiliki Uwanja na Jina la Timu ndiyo Fanbase yenu na inaongozwa na mwenyekiti wake Jon Terry.

Mukisema tu Muhame na kubadili jina basi Makombe yote yanakuwa mali ya Chelsea hivyo Nyinyi munaanza upya na Fanbase itagawika wengine watawasapoti Nyinyi na wengine watabaki na Chelsea na kuanzisha Timu yao nyingine ya Chelsea hapo Darajani.
 
Shida ni kwamba hamna uwanja hamna jina

Pia mji waliopo ukiwatafuta kwenye Ramani yoyote ile utaambiwa wapo FULHAM 😂😂

Yani jeuri yote waliyonayo kumbe Fulham babalao.

Liverpool Derby yake ni Everton (Mji mmoja)

Manure Derby yake ni Man City (Mji mmoja)

Sasa waambie Chelsea Derby yake ni Fulham (Chelsea ipo Sebuleni kwa Fulham) uone watakavotoa Povu hao 😂😂
 
Khaaaa sasa si angeiboresha kidogo tu hilo jina, baada ya chelsea iwe cheltako ili ajenge uwanja wake,

Chelsea inaendeshwa kiswahiliswahili kama Simba na Yanga.

Kiufupi kuna Kilomoni na Akilimali wanaimiliki Chelsea Kampuni! Na kuna Dewji (Abramovic) anamiliki 49% za Chelsea.
 
Kuonesha kuwa Kigenge chenu ni cha kuungauunga haimiliki Jina la Mji (Ipo ndani ya Fulham) tofauti na Newcastle, Manchester, Liverpool, Sunderland, Leeds n.k.

Haina Uwanja, imekodi.

Haimiliki Jina, imekodi.

Haiwezi kufanya maamuzi ya uboreshaji miundombinu, Mpaka watake waliokodisha uwanja na Jina.

Halafu munataka kushindana na Arsenal Timu iliyokamilika?

CC: DullyJr
Dully Jr ndio anaekupa raha hongera
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom