Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna jamaa hapo juu anasema wao mashabiki wanamiliki kiwanja na jina, alafu Roman anamiliki wachezaji, nimecheka sana dah,
Sasa tofauti yao na Njombe mji iko wapi?

Sasahivi wanaunga Bando kila wakati kwa ajili ya kuperuzi viblogi uchwara vya Shaffih Dauda kutafuta vijisababu vya kuonesha kuwa hawajakodi uwanja na jina lakini imebuma.

Wakiona msamiati unasema "Stanford Bridge owned by Chelsea Fans" basi wanageuka wanasheria na Wahasibu hapa kutaka kutufundisha masuala ya kukodisha.
 
Chelsea fc Halisi tunataka uwanja mpya. Tumechoka kuendelea kutumia uwanja kasha la kiberiti. Tote hawana mafanikio yoyote lakini wanalo bonge la uwanja. Katika timu zote za top 6 zina viwanja vikubwa sasa ukubwa wetu ni upi ndani ya top 6 kama tunashindwa kujenga uwanja mkubwa wa kisasa?
Unasema Chelsea halisi alafu unataka uende uwanja mpya ,kasome Tena mkataba kwa nini Chelsea haiwez kujenga na kuhamia uwanja mpya usilalamika kujiuliza why iko ivo
 
Unasema Chelsea halisi alafu unataka uende uwanja mpya ,kasome Tena mkataba kwa nini Chelsea haiwez kujenga na kuhamia uwanja mpya usilalamika kujiuliza why iko ivo
Mwamba shida ipo kwenye elimu ya maswala ya kifedha na sheria Kinggwaba na dully nitaje wazi ni LAYMEN kwenye maswala haya kama wanahitaji ufafanuzi wa umiliki wa Chelsea waulize tu .watu hawajui maana ya Parent company ,controlling parties ,subsidiaries wanabwatabwata humu jukwaani ,kiufupi wapuuzeni shida ni elimu elimu mpaka umejua maana ya parent company ,controlling parties na subsdiaries hauwezi discuss Chelsea plc .Au Group of company yoyoye .itoshe kusema Blue is the colour
Nakuunga mkono mkuu hawa watu ni wa kuwapuuza tu ukujibu unawapa bichwa
 
Chelsea fc Halisi tunataka uwanja mpya. Tumechoka kuendelea kutumia uwanja kasha la kiberiti. Tote hawana mafanikio yoyote lakini wanalo bonge la uwanja. Katika timu zote za top 6 zina viwanja vikubwa sasa ukubwa wetu ni upi ndani ya top 6 kama tunashindwa kujenga uwanja mkubwa wa kisasa?
Pumba
 
Sasahivi wanaunga Bando kila wakati kwa ajili ya kuperuzi viblogi uchwara vya Shaffih Dauda kutafuta vijisababu vya kuonesha kuwa hawajakodi uwanja na jina lakini imebuma.

Wakikutia msamiati unasema "Stanford Bridge owned by Chelsea Fans" basi w7 Johnanageuka wanasheria na Wahasibu hapa kutaka kutufundisha masuala ya kukodisha.
Takataka
 
MKODISHO FC

  • NO Stadium
  • NO Name
  • NO History zaidi ya ile ya kushuka daraja mara 6 (1910, 1924, 1962, 1975, 1979 and 1988).

Hawa ndiyo Mkodisho wanaojiita Timu kubwa.
Sawa dada Halima apo umeandika huku umevaa kijora mkono mmoja kiunoni unajua kuchamba hatari
 
Chelsea itaruhusiwa kuwa na mashabiki wachache ndani ya uwanja game agaist Leeds, at stamford bridge.
 
MKODISHO FC

  • NO Stadium
  • NO Name
  • NO History zaidi ya ile ya kushuka daraja mara 6 (1910, 1924, 1962, 1975, 1979 and 1988).

Hawa ndiyo Mkodisho wanaojiita Timu kubwa.

Aaaah jamani kumbe mpak hapo juzi juzi tu 1988 hawa wajinga walishuka daraja
 
Chelsea fc Halisi tunataka uwanja mpya. Tumechoka kuendelea kutumia uwanja kasha la kiberiti. Tote hawana mafanikio yoyote lakini wanalo bonge la uwanja. Katika timu zote za top 6 zina viwanja vikubwa sasa ukubwa wetu ni upi ndani ya top 6 kama tunashindwa kujenga uwanja mkubwa wa kisasa?
Aaaah jamani kwamba chelsea wanauwanja mdogo kama kasha la kibiriti
 
Mnatakiwa mjue sisi ni mashabiki wa chelsea na sio wa abramovic ko kakodi yeye sio sisi.sisi tunashabikia chelsea fc
 
Hapo hapo kwnye kibiriti huwa ukija hutoki salama. ndogo yako inakua halali yetu.
Akili imelala eeh??

Mara ya mwisho kunifunga hapo kwenye hicho kiberit chenu unaikumbuka?? Au mpaka ukagoogle???
 
Chelsea fc Halisi tunataka uwanja mpya. Tumechoka kuendelea kutumia uwanja kasha la kiberiti. Tote hawana mafanikio yoyote lakini wanalo bonge la uwanja. Katika timu zote za top 6 zina viwanja vikubwa sasa ukubwa wetu ni upi ndani ya top 6 kama tunashindwa kujenga uwanja mkubwa wa kisasa?
Kashabikie hao wenye viwanja, tuache na mafanikio maana ndiyo yalitufanya tuipende Chelsea
 
Sasahivi wanaunga Bando kila wakati kwa ajili ya kuperuzi viblogi uchwara vya Shaffih Dauda kutafuta vijisababu vya kuonesha kuwa hawajakodi uwanja na jina lakini imebuma.

Wakiona msamiati unasema "Stanford Bridge owned by Chelsea Fans" basi wanageuka wanasheria na Wahasibu hapa kutaka kutufundisha masuala ya kukodisha.
Muuza duka la madawa unaweza kuelewa maswala ya corporate law kweli? Ndo maana mnapaswa kuuzwa
Screenshot_20201125-202800.jpg
JamiiForums807651692.jpg
 
Muuza duka la madawa unaweza kuelewa maswala ya corporate law kweli? Ndo maana mnapaswa kuuzwaView attachment 1636655View attachment 1636656
Niliposoma vituko alivyoandika humu sijamlaumu niliitimisha kwa kwa kusema Kinggwaba na baadhi ya wenzake ni laymen kwenye maswala ya corporate law,finance etc tatizo wanajikakamua kama wanajua,ni wakuhurumiwa kabisa
 
Muuza duka la madawa unaweza kuelewa maswala ya corporate law kweli? Ndo maana mnapaswa kuuzwaView attachment 1636655View attachment 1636656
Ongeza na hizi 👇 basi ingawa ninazo nyingi tu posts kama hizi 😂😂
Screenshot_20201128-131458.png


Screenshot_20201128-131720.png


Screenshot_20201128-131923.png


Dah! Hatari sana, Yani unaleta Posts zangu za kujifurahisha unazileta hapa kuonesha weakness kwangu?

Kwakifupi nimegraduate Bachelor degree mwaka 2009, hayo mengine ni mbwembwe za JF tu 😂😂😂
 
Niliposoma vituko alivyoandika humu sijamlaumu niliitimisha kwa kwa kusema Kinggwaba na baadhi ya wenzake ni laymen kwenye maswala ya corporate law,finance etc tatizo wanajikakamua kama wanajua,ni wakuhurumiwa kabisa
Huyo nilishamuelewa kuwa akili yake ndio level hiyo. Saa nyingine tunaumiza ubongo hapa kumbe wengine ni wauza madawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom