Wewe endelea kugoogle na kuzunguka Mbuyu kujificha kwenye kichaka cha msamiati wa Sheria lakini Summary ya uliyoyaandika ni Hii.
• Chelsea Football Club - Mmiliki wake ni Abramovic.
• Stamford Bridge haimilikiwi na Roman Abramovich wala Chelsea Football Club. Instead, the freehold of the ground and the naming rights of the stadium vinamilikiwa na Chelsea Pitch Owners PLC (CPO).
- Je ni nani hao CPO (Chelsea Pitch Owners?)
Jibu fungua Link ya Official website yao hapa Chini 👇uone kama tunawadanganya Watu au wewe ndiye unayetaka kuwaaminisha Watu usichokijua.
www.chelseafc.com
Kwenye hiyo Website yao kuna maneno haya 👉
"Chelsea Football Club is not responsible for the content on the Chelsea Pitch Owners website" Sasa jiulize kwanini wamejitenganisha na Chelsea FC kwenye maudhui yao wanayopost mtandaoni? Kwanini wawe na Website yao binafsi badala ya kutumia ile ya Timu? Huoni kuwa ni Organization inayojitegemea?
Kwa Taarifa yako Uwanja mumekodishwa kwa miaka 199.
Na hao CPO uliohadaika na neno "PART OF THE CHELSEA FOOTBALL CLUB" unajua maana ya maneno hayo?
Maana yake wao ni Washabiki/Member wa Chelsea! Lakini hawana ushirika wowote na Chelsea FC katika umiliki wala hawana hisia pamoja na Abramovic.
Wao CPO wana hisa zao mbali ambazo ni 21,000 ambazo si za kibiashara.
Kujitendanisha na Chelsea kwa sababu CPO ni independednt institution ndani ya compuni8 kubwa moja inayoitwa Chelsea PLC, Hata kama mmiliki ni mmoja mambo ya organization management kama umesoma vizuri we mkulima wa turiani, taasisi ikikomaa au kuwa kubwa ili kuondoa complexity kwenye management inafanywa kuwa independent kiutawala except kwenye ownership. Kisheria inashitakiwa kivywake na inashitaki kivyake. Kuwa part of Chelsea PLC ni evidence kuwa inamilikiwa na Chelsea FC
Katafuta mwanasheria akushauri maana hata mimi nikueleze kwa wino wa debe hutaelewa
To understand this unique company, you have to know a little history.
In the 1980s Chelsea FC was under threat from property developers who wanted to change Stamford Bridge into a housing development, which would have meant that the club would have to find a new home, possibly sharing with another club.
This was strongly opposed by the then Chairman of the club, Ken Bates, who eventually obtained the freehold in the ground in the early 1990s.
In order to ensure that we never again had the threat of being evicted from our ground, the club decided to set up CPO to guard against it, by selling shares to ordinary fans. The club loaned CPO the money to pay for the freehold, and CPO is duty bound to repay this to the club. CPO lease the ground to the club for a period of 199 years starting in 1997.
The structure of CPO, is such that no one person can unduly influence the company, and in the event of the club wishing to move, they either have to surrender the name Chelsea FC to CPO, or to obtain the permission of CPO to do so.
WHAT EXACTLY DOES CHELSEA PITCH OWNERS OWN?
Through a wholly owned subsidiary (Chelsea Stadium Limited), CPO own the freehold of the footprint of the current stadium. The physical evidence of this is seen in the change in brick colour on the ground in places such as outside the megastore. This indicates the boundary. The stadium is leased back to Chelsea, who pay a nominal rent to CPO.
DOES CHELSEA PITCH OWNERS RUN THE STADIUM?
No. We lease the stadium to the club, who run the stadium, and everything to do with it.
HOW DOES CHELSEA PITCH OWNERS REPAY ITS LOAN TO CHELSEA?
CPO sells shares each year, and 85 per cent of the nominal value of each share is payed to the club as repayment on the loan.
HOW DOES CHELSEA PITCH OWNERS STAY IN BUSINESS?
Even though there is a clause in our lease to the club that ensures that its debts can be paid, CPO tries to break even each year through selling shares in special ways, such as signed by players, or presented on the pitch, and through events such as dinners and tournaments.