Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuonesha kuwa Kigenge chenu ni cha kuungauunga haimiliki Jina la Mji (Ipo ndani ya Fulham) tofauti na Newcastle, Manchester, Liverpool, Sunderland, Leeds n.k.

Haina Uwanja, imekodi.

Haimiliki Jina, imekodi.

Haiwezi kufanya maamuzi ya uboreshaji miundombinu, Mpaka watake waliokodisha uwanja na Jina.

Halafu munataka kushindana na Arsenal Timu iliyokamilika?

CC: DullyJr
Sawa Yahe, inabidi upewe uprofesa kwa kuandika andiko zuri sana
 
Kuonesha kuwa Kigenge chenu ni cha kuungauunga haimiliki Jina la Mji (Ipo ndani ya Fulham) tofauti na Newcastle, Manchester, Liverpool, Sunderland, Leeds n.k.

Haina Uwanja, imekodi.

Haimiliki Jina, imekodi.

Haiwezi kufanya maamuzi ya uboreshaji miundombinu, Mpaka watake waliokodisha uwanja na Jina.

Halafu munataka kushindana na Arsenal Timu iliyokamilika?

CC: DullyJr
Hata bila ya kukufahamu nahisi wewe hutumiaa ubongo kwenye kufikiri na kupambanua mambo. Unaleta ushabiki hadi kwenye vitu vya kisheria na kiprotokali as if wewe ni much know
I CANNOT TOLORATE ARGUING WITH THIS NONSENSE OF YOURS
 
Google usome Historia ya Timu inaitwa MK Dons utajua hasara ya kuhama uwanja na kubadili Jina.

Kumbuka Makombe, Legends na Fanbase ni Mali ya Chelsea.

Ukihama Darajani na kubadilisha Jina itabidi uanze Upya kama walivyofanya MK Dons pale walipohama Wimbledon na kuhamia Milton Keynes City iliwabidi waachane na Jina la Wimbledon FC hatimae Fanbase yao ya Wimbledon ikajawa na hasira ikaizuia Timu kutumia jina la Wimbledon FC ndiyo wakajiita MK Dons then Fan Base ya Wimbledon ikaanzisha Timu mpya wakaiita AFC Wimbledon.

Hivyo kumbuka kuwa wanaomiliki Uwanja na Jina la Timu ndiyo Fanbase yenu na inaongozwa na mwenyekiti wake Jon Terry.

Mukisema tu Muhame na kubadili jina basi Makombe yote yanakuwa mali ya Chelsea hivyo Nyinyi munaanza upya na Fanbase itagawika wengine watawasapoti Nyinyi na wengine watabaki na Chelsea na kuanzisha Timu yao nyingine ya Chelsea hapo Darajani.
Naona leo umeamua kufungua darasa humu, ila wanaoonesha kukuelewa ni wachache wakiongozwa na Cash Money Forever ila kuna wale kina fulani wametoa mimacho tu wakiongozwa na lembu na Ollachuga Oc hii mada imekuwa ngumu sana kwao, ikiwezekana badili mbinu na zana za ufundishaji
 
Mi mbinu za mpira za kupeleka wapi? Huyo kocha ndio anatakiwa awe nazo mana ndio kazi yake, nawaangalia Leeds hapa wanavyoupiga mwingi, hakuna side ways pass za beki na beki,wanapita humo humo katikati. Unaona kabisa kocha anawafundisha kitu. Inasikitisha sisi tunae Lampard wakat Leeds wana Bielsa.
Unasubiri nini kujiunga kwa Bielsa.?
 
Hata bila ya kukufahamu nahisi wewe hutumiaa ubongo kwenye kufikiri na kupambanua mambo. Unaleta ushabiki hadi kwenye vitu vya kisheria na kiprotokali as if wewe ni much know
I CANNOT TOLORATE ARGUING WITH THIS NONSENSE OF YOURS
Umebambanywa na kubananishwa katika angle ambayo ukiinama nchale
Ukiinuka nchale
Ukikaa nchale
Ukisimama nchale

Kudadadek, umekuwa mdogooooooooo
 
Reuben Loftas Cheek naona form yake imeanza kupanda kule Fulam, kaingia muda mfupi akaleta imapct kubwa na kufunga bao zuri iliyoiwezesha Fulam kufungwa 3-2 na Everton
😂😂😂 Eti kafunga bao zuri lililoiwesha timu yake kufungwa 2-3
 
Google usome Historia ya Timu inaitwa MK Dons utajua hasara ya kuhama uwanja na kubadili Jina.

Kumbuka Makombe, Legends na Fanbase ni Mali ya Chelsea.

Ukihama Darajani na kubadilisha Jina itabidi uanze Upya kama walivyofanya MK Dons pale walipohama Wimbledon na kuhamia Milton Keynes City iliwabidi waachane na Jina la Wimbledon FC hatimae Fanbase yao ya Wimbledon ikajawa na hasira ikaizuia Timu kutumia jina la Wimbledon FC ndiyo wakajiita MK Dons then Fan Base ya Wimbledon ikaanzisha Timu mpya wakaiita AFC Wimbledon.

Hivyo kumbuka kuwa wanaomiliki Uwanja na Jina la Timu ndiyo Fanbase yenu na inaongozwa na mwenyekiti wake Jon Terry.

Mukisema tu Muhame na kubadili jina basi Makombe yote yanakuwa mali ya Chelsea hivyo Nyinyi munaanza upya na Fanbase itagawika wengine watawasapoti Nyinyi na wengine watabaki na Chelsea na kuanzisha Timu yao nyingine ya Chelsea hapo Darajani.
Aaaaaaaaaahhhhhh... Ąiseeeeeeeeeehhhhhh, kwahiyo kiuhalisia chelsea ni kikundi cha raia wanaomiliki pitch ya stamford bridge hapa fulham! Then wakakod wachezaji wa ndondo wakaingiza timu ktk ligi? Sasa hawa wana tofauti gani na hii Misosi FC ya huku kwetu Tandale, au Mabibo market?
 
Hata bila ya kukufahamu nahisi wewe hutumiaa ubongo kwenye kufikiri na kupambanua mambo. Unaleta ushabiki hadi kwenye vitu vya kisheria na kiprotokali as if wewe ni much know
I CANNOT TOLORATE ARGUING WITH THIS NONSENSE OF YOURS

Unadhani bila ya Ushabiki kungekuwa na hicho kinachoitwa Mpira wa miguu?
 
Aaaaaaaaaahhhhhh... Ąiseeeeeeeeeehhhhhh, kwahiyo kiuhalisia chelsea ni kikundi cha raia wanaomiliki pitch ya stamford bridge hapa fulham! Then wakakod wachezaji wa ndondo wakaingiza timu ktk ligi? Sasa hawa wana tofauti gani na hii Misosi FC ya huku kwetu Tandale, au Mabibo market?


Unajua ukweli upo hivi! Wale Raia wa pale Mjini Fulham ambao ni haters wa Fulham FC tokea kizazi na kizazi ndiyo wanaomiliki Jina la Chelsea na Uwanja tu.

Kuna Chelsea Kampuni hiyo inamiliki Wachezaji, Kocha na Staffs members wa Chelsea.

Sasa Abramovic yeye kauziwa Wachezaji tu na Chelsea Kampuni.

Raia wa Fulham wamegoma kuuza uwanja na Jina.

Hivyo Abramovic anamiliki Watu (Wachezaji) tu na si Timu kama wengi wanavyoamini.
Abramovic ni GSM anayeishi Ulaya tu kwani GSM anamiliki Wachezaji tu Yanga kina Sarpong lakini Timu inamilikiwa na Wanywa Viroba wa Dar.

Hivyo Abramovic alitaka kujifanya Mjanja kutaka kujenga Uwanja wake ili amiliki Timu kamili kwani Wachezaji na Uwanja ndiyo Timu kamili lakini Wahuni wa Fulham wakamwambia we Kenge ukitaka kujenga uwanja wako basi chukua Genge lako lote la kina Bakayoko na Tomori wako ukaanzisha Timu yako utuachie Jina na uwanja wetu tukodishe kwa Mtu mwengine 😂😂😂
 
Pia mji waliopo ukiwatafuta kwenye Ramani yoyote ile utaambiwa wapo FULHAM

Yani jeuri yote waliyonayo kumbe Fulham babalao.

Liverpool Derby yake ni Everton (Mji mmoja)

Manure Derby yake ni Man City (Mji mmoja)

Sasa waambie Chelsea Derby yake ni Fulham (Chelsea ipo Sebuleni kwa Fulham) uone watakavotoa Povu hao
Kwan ni lazima timu ziitwe majina ya miji

Je kuna mji unaoitwa arsenal uingereza
Au kuna mji unaoitwa juventus nchin italy??
 
Mnachobishana sijaona tija yake, wabongo bana, wenzenu wanapiga hela ndefu maisha yanasonga mbele wewe hata hela ya kula huna umekaa kutaja mara ooo fulham, mara oooo abramovic. Hizo historia waachie wenyewe, hiyo timu unayoishabikia ambayo inamiliki uwanja na wachezaji wewe unafaidikaje ? Cha msingi shabikia timu unayoipenda hayo mengine waachie wazungu ww hayakusaidii
 
Mnachobishana sijaona tija yake, wabongo bana, wenzenu wanapiga hela ndefu maisha yanasonga mbele wewe hata hela ya kula huna umekaa kutaja mara ooo fulham, mara oooo abramovic. Hizo historia waachie wenyewe, hiyo timu unayoishabikia ambayo inamiliki uwanja na wachezaji wewe unafaidikaje ? Cha msingi shabikia timu unayoipenda hayo mengine waachie wazungu ww hayakusaidii

Sasa wewe uliyekuwa si Mbongo hapa JF unafanya nini? Si uende tu ukatafute hiyo Mihela! Watu wengine bhana! Wanamsubiri Shemeji kaingia Bafuni ndiyo wanabeba Simu yake kuandika utopolo hapa.
 
Sasa wewe uliyekuwa si Mbogo hapa JF unafanya nini? Si uende tu ukatafute hiyo Mihela! Watu wengine bhana! Wanamsubiri Shemeji kaingia Bafuni ndiyo wanabeba Simu yake kuandika utopolo hapa
Mimi ninayeshabikia chelsea ambayo haina uwanja na wewe unaeshabikia man u/arsenal yenye uwanja ki maslahi, kuna chochote tunapata kutoka kwenye hizo timu?
 
Sasa wewe uliyekuwa si Mbogo hapa JF unafanya nini? Si uende tu ukatafute hiyo Mihela! Watu wengine bhana! Wanamsubiri Shemeji kaingia Bafuni ndiyo wanabeba Simu yake kuandika utopolo hapa.
Acha kupaniki, ni kweli ulichoambiwa unadiscuss upuuzi, sasa viwanja sijui umiliki sisi vinatuhusu nini? Sisi ilimradi tunashabikia tunafurahi baasiiiiiiii. hayo mambo ya viwanja tuwaachie wao.
 

Acha kupaniki, ni kweli ulichoambiwa unadiscuss upuuzi, sasa viwanja sijui umiliki sisi vinatuhusu nini? Sisi ilimradi tunashabikia tunafurahi baasiiiiiiii. hayo mambo ya viwanja tuwaachie wao.

Mnachobishana sijaona tija yake, wabongo bana, wenzenu wanapiga hela ndefu maisha yanasonga mbele wewe hata hela ya kula huna umekaa kutaja mara ooo fulham, mara oooo abramovic. Hizo historia waachie wenyewe, hiyo timu unayoishabikia ambayo inamiliki uwanja na wachezaji wewe unafaidikaje ? Cha msingi shabikia timu unayoipenda hayo mengine waachie wazungu ww hayakusaidii
Haahaaaa Mwingine anakwambia njooni tuwaazime uwanja wetu wa zamani wa Highbury.....sasa cjui wana hisa kwenye hyo uwanja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom