Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

All in all, kwa usajili uliofanywa na Chelsea wanapaswa kufanya vizuri zaidi katika mechi zijazo.
Mkuu haya ni maoni yako ila kwasisi tulioangalia mpira wala hututishi. Kilichotokea ni tumegawana vipindi sisi kipindi cha kwanza wao kipindi cha pili. Halafu regular starter kwenye kikosi walikua 6 tu Zouma, Jorginho, Kovacic, Mount, Werner na Azpi. Napo jorg na Azpi siku izi wanaanzia bench ila nimeona nikuwekee maana utabisha. Haya na Tot naye ameanza na regular starter wangapi? Kaanza na regular starter 7.

Mkuu kwenye penalty yoyote anaweza toka.
 
Mkuu haya ni maoni yako ila kwasisi tulioangalia mpira wala hututishi. Kilichotokea ni tumegawana vipindi sisi kipindi cha kwanza wao kipindi cha pili. Halafu regular starter kwenye kikosi walikua 6 tu Zouma, Jorginho, Kovacic, Mount, Werner na Azpi. Napo jorg na Azpi siku izi wanaanzia bench ila nimeona nikuwekee maana utabisha. Haya na Tot naye ameanza na regular starter wangapi? Kaanza na regular starter 7.

Mkuu kwenye penalty yoyote anaweza toka.
Ni kweli kwenye penati yeyote anaweza angukia pua.

Mbona hakuna sehemu niliyowatisha? Au kusema kua kikosi chenu hakijaelewana na hakina muamua matokeo ndiyo kuwatisha?

Na ni kweli Lampard aliahidi trophy, sijatunga hiko kitu.

Kusema kashatema carabao ni kuwatisha? Kwamba sioni akishinda kombe la ligi au uefa ni kuwatisha? Au kusema kabakisha fa ni kuwatisha?

Kwa performance ya msimu uliopita chelsea msimu huu ilitakiwa iwe beast. Mimi nimesema regulars wa kwenye ligi sijasema regular starters.
 
Emerson kafanya kosa kama lile lile la Alonso tulipofungwa goli la tatu na West Bro
Kamuacha Lamela na alikuwa naye karibu na alijua atatoka kwenda kuutime huo mpira. Tuna mabeki vilaza ukimuondoa Zouma tu anajitahidi
Kule mbele wamechangamka lakini hakuna creativity hata chembe, hakuna hata jitihada za kutengeneza nafasi, wanacheza kwa kukariri tu, Chelsea ina safari ndefu kuja kuwa timu yenye ku challenge EPL title
Wewe si Ndio unashadidia Rudiger auzwe kwa utopolo huu wa mabeki wetu seriously Rudiger wakuuzwa?
 
Kaka unahitaji well established golie kama Oblak au Donorumma
Huyu Mendy ni semi-trash
Wewe unaongea kishabiki na mpira ujui Angalia save alizofanya Mendy si za kawaida kabisa kiufupi Chelsea tumepata kipa.Uwezi ukasema kipa mbovu eti cos ajadaka penalty mbona huyo oblack mbona kafungwa penalty nyingi na still tunamcounting Ni kipa Bora
 
Wewe si Ndio unashadidia Rudiger auzwe kwa utopolo huu wa mabeki wetu seriously Rudiger wakuuzwa?
Kwanza sijashadidia nilitoa maoni kulingana na hali halisi, rudiger form yake kwa sasa sio nzuri hadi kwenye mazoezi, najua ni CB mzuri na form yake itarudi. Pili tatizo letu kubwa hasa kwa mechi ya jana, mbele hawana creativity kabisa, ndio maana baada ya bao lile la Werner mbinu zikaisha kabisa, pili alipoingia Emerson sio mzuri kwenye marking ni kama Alonso. Tungekuwa na CB mzuri wa kumark Lamela asingeweza kufunga bao lile na tungetoka na ushindi kiduchu jana ambao ungetusaidia tusonge mbele. Huo ndio mtizamo wangu wa mechi ya jana
Narudia kusema sijasema Rudiger auzwe nilicholeta hapa ni tetesi za media
Nilitoa pia maoni yangu kwamba endapo tutampata Declan Rice Rudiger auzwe kwa sababu tutakuwa na faida, ila kama Declan Rice hatutaweza kumpata Rudiger abaki.
 
Wewe unaongea kishabiki na mpira ujui Angalia save alizofanya Mendy si za kawaida kabisa kiufupi Chelsea tumepata kipa.Uwezi ukasema kipa mbovu eti cos ajadaka penalty mbona huyo oblack mbona kafungwa penalty nyingi na still tunamcounting Ni kipa Bora
Huyo huwa kakariri watu wake ukiwakataaa tu hao watu wake basi tayari huwez endana nae abadani atakuona hujui kitu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza sijashadidia nilitoa maoni kulingana na hali halisi, rudiger form yake kwa sasa sio nzuri hadi kwenye mazoezi, najua ni CB mzuri na form yake itarudi. Pili tatizo letu kubwa hasa kwa mechi ya jana, mbele hawana creativity kabisa, ndio maana baada ya bao lile la Werner mbinu zikaisha kabisa, pili alipoingia Emerson sio mzuri kwenye marking ni kama Alonso. Tungekuwa na CB mzuri wa kumark Lamela asingeweza kufunga bao lile na tungetoka na ushindi kiduchu jana ambao ungetusaidia tusonge mbele. Huo ndio mtizamo wangu wa mechi ya jana
Narudia kusema sijasema Rudiger auzwe nilicholeta hapa ni tetesi za media
Nilitoa pia maoni yangu kwamba endapo tutampata Declan Rice Rudiger auzwe kwa sababu tutakuwa na faida, ila kama Declan Rice hatutaweza kumpata Rudiger abaki.
Team kubwa Kama Chelsea inabidi iwe na depth squad yenye quality Kante Ni mtu wa injury so Declan Rice anaweza akazipa hiko kiraka au kante na Rice wakaanza wote kwa pamoja so Rice Ni Kama kiraka Hakuna ulazima wowote wa Rudiger kuuzwa wakati his class is permanent.Chelsea Ina takataka nyingi pale Kama RLC, Barkley, Emerson kwanini usiseme Hawa wasiuzwe?
 
Team kubwa Kama Chelsea inabidi iwe na depth squad yenye quality Kante Ni mtu wa injury so Declan Rice anaweza akazipa hiko kiraka au kante na Rice wakaanza wote kwa pamoja so Rice Ni Kama kiraka Hakuna ulazima wowote wa Rudiger kuuzwa wakati his class is permanent.Chelsea Ina takataka nyingi pale Kama RLC, Barkley, Emerson kwanini usiseme Hawa wasiuzwe?
FL anamtaka Rice aje kuwa CB na sio DM,
Hata hivyo kwa taarifa za hivi karibuni zinadai Rudiger alikataa kucheza jana na sasa analazimisha kutoka Chelsea akacheze kwingineko
 
Hiki hapa kituko kilichotokea kwenye game ya chelsea na Tottenham.

- Eric Dier alishikwa na haja akatoka kwenda chooni.
- Huku nyuma Mourinho akawa anamkimbilia Dier.
- Akiwa hayupo chelsea almost ipate goli.
- Akiwa anarudi Mourinho yupo nyuma anamhimiza arudi uwanjani.
- Akascore penati. chelsea wakatolewa kwenye shindano.
- Amepata tuzo ya MVP ya carabao.
- Hiyo tuzo ameipa kile choo alichoingia.
 
Malafyale vipi wale waliokuwa wakisema Klopp Out! bado wana maoni hayo hayo kwa sasa kwa sababu nakumbuka wewe ulikuwa na maoni ya kumpa Klopp muda wa kuijenga timu mpaka mkaunda Liverpool asili bali wenzako akina King Ngwaba wao walitaka matokeo ya haraka wakaanzisha movement ya Klopp Out!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wapi King Ngwaba
 
Jina: Edouard Mendy

Sifa: Oliver Khañ

Uwezo: Klaus Kindoki

[emoji2219][emoji2219]
IMG-20200930-WA0008.jpg
 
[emoji95] Barkley katua aston villa kwa mkopo.
[emoji736] Inaonyesha board ya chelsea wako shuta kwenye kufanya maamuzi, hamna tofauti na MATAGA.
[emoji736] Muda siyo mrefu mtamfukuza kocha ikiwa hamtapata matokeo mazuri.
[emoji95] Kama ambavyo wachezaji, wafanyakazi baadhi wa timu yenu wanavyofurumushwa wakifanya madudu, lampard ajiangalie.
 
[emoji95] Barkley katua aston villa kwa mkopo.
[emoji736] Inaonyesha board ya chelsea wako shuta kwenye kufanya maamuzi, hamna tofauti na MATAGA.
[emoji736] Muda siyo mrefu mtamfukuza kocha ikiwa hamtapata matokeo mazuri.
[emoji95] Kama ambavyo wachezaji, wafanyakazi baadhi wa timu yenu wanavyofurumushwa wakifanya madudu, lampard ajiangalie.
Barkley kwa timu kama Aston Villa ni mzuri na ataboresha uwezo wake huko akiacha ubitozi
Hao wengine wamekosa soko
 
FL anamtaka Rice aje kuwa CB na sio DM,
Hata hivyo kwa taarifa za hivi karibuni zinadai Rudiger alikataa kucheza jana na sasa analazimisha kutoka Chelsea akacheze kwingineko
Kwani akisema hivyo ndio inamaana kuwa hawezi kumtumia kuwa kiungo?
 
Mashabiki wa Chelsea kwenye mitandao wasema hawamtaki Jorginho


@Damilarey_4: WE REALLY NEED TO GO ALL OUT TO THE MARKET AND DECLAN RICE AND SELL JORGINHO ASAP!. WE WON'T GO ANYWHERE WITH JORGINHO STYLE OF BACK PASSES AND BACK PASSES STYLE OF PLAY THAT THE TEAM'S PHILOSOPHY IS NOW BUILT ON!

@ChelsForLife32: Jorginho under Tommy Tuchel with Mbappe, Neymar and Veratti.

@Franki86302019: Chelsea should swap Jorginho with Koulibaly and sign Rice that's what our board must do!


@IchigoRaphael: I don't get why so many fans want Jorginho out, he's a good player that'll be very (important) for us.

@RavenNole: Yeah he’s not capable of playing in the Premier League. Good in the right system in the right league.

@hustleprince: Our midfield is too saturated/he is not needed. I don’t think he should be sold to Arsenal def but he can’t do nada. He is too slow and not strong enough for the EPL. I love him but these are facts.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom