DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Huyo mende ni mavi tuMendy hata penalty moja hajadaka
New Kepa in town



Huyo mende ni mavi tuMendy hata penalty moja hajadaka
New Kepa in town



Mtu kila penat ikipigwa anageuka tu, aaaaahh kuweni serious, hapo mmepigwaHii game haikupaswa kufika kwenye pk
Tulishindwa kuimaliza game katika wakati spurs washakubal kufungwa
Ila huyu mendy tumepata kipa hapa mech yake ya 1 kafanya save za muhim kwa kepa pale tulikuwa tunahesab magoal
SawasawaKwa mpira huu tunaowachezea spurs. Ni sawa na kuwabaka mchana kweupe![]()
Weka na 2nd goal, nasubiri1st goal.WernerView attachment 1585021
Weka na 2nd goal, nasubiri
Miss muache huyo asikupelekeshe anashabikia Arse8 ndio maana. Kwanza hajui kama uko nominated kwa Miss JFUnaweza kuweka na wewe mkuu. GIF zipo application ya all football
Miss muache huyo asikupelekeshe anashabikia Arse8 ndio maana. Kwanza hajui kama uko nominated kwa Miss JF
Sijaona sehemu huyo miss JF mtarajiwa kauliza mm ni shabiki wa timu gani
JF siku hizi kuna Ma miss uchwara kumbe.![]()
Sijaona sehemu huyo miss JF mtarajiwa kauliza mm ni shabiki wa timu gani
![]()
Ngoja nikawapendekeze nyie basi maana kama vile mnamuonea wivuJF siku hizi kuna Ma miss uchwara kumbe.
Nimemwambia ivyo ili asihangaike kukujibu akapoteza time yake![]()
Sijaona sehemu huyo miss JF mtarajiwa kauliza mm ni shabiki wa timu gani
![]()