Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Christensen ana spidi kuliko Rudiger, wote kwa nyakati tofauti wanakosa concertation uwanjani, Beki pekee aliyejitahidi japo bado hajafikia viwango no Zouma, Tomori ndio kwanza very risky, saa nyingine anasahau kama yuko uwanjani. Na ndio maana Lampard anapigania Declan Rice aje kuwa CB
Ubora wa Rudiger unaweza kumfananisha na huyo takataka Rudiger akiuzwa tutakuja kujuta
 
Ubora wa Rudiger unaweza kumfananisha na huyo takataka Rudiger akiuzwa tutakuja kujuta
Katika mechi za hivi karibuni na katika mazoezi Rudiger hafanyi vizuri tofauti na Christensen na Zouma

"On Rudiger, I’ve got five centre-backs at the club. I can’t pick a squad that has three of them on the bench,’ said Lampard. ‘That’s the way it is,
I have to pick the squad via training and situations and the opponents and that was a selection one today.’"


Ubora wa jana na juzi kwenye ligi yenye ushindani kama EPL haimati sana
FL anasema hao wanaopangwa ndio wanaofanya vizuri kwenye mazoezi na hawezi kuwaweka benchi CB watatu
Kumbuka sasa kuna CB literally wako sita pamoja na Azpi
  1. Silva
  2. Zouma
  3. Christensen
  4. Tomori
  5. Rudiger
  6. Azpi
Wanaotakiwa kucheza ni wawili na ikizidi sana benchi wanatakiwa wawili kwa sababu jumla ya benchi wanaotakiwa ni 7
  1. Striker 1
  2. Winga 1
  3. Viungo 2
  4. Mabeki 2 (CB na LB/RB)
  5. Kipa moja
Azpi huwezi kumuacha kama yuko fiti kwa sababu anaweza cheza CB, LB na RB
Kama Zouma na Christasen wakicheza lazima wawili watokomee nje ya benchi kabisa kati ya Rudiger, Silva na Tomori
Kama Zouma na Silva wakicheza lazima aidha Christesen, Tomori au Rudi akae benchi na wawili wasepe
Anayekaa benchi au kucheza ni yule aliyefanya vizuri kwenye mazoezi

Wakirudi akina Pulisic, Ziyech, Ben Chiwell, wachezaji wetu pendwa wengi hata hatutawaona kwenye benchi, ndio shida ya ushindani kwenye timu kubwa
Hao wachezaji pendwa tutakuwa tukiwaona tu kwenye FA na Carabao mechi za Mwanzoni

Wote wakiwa wazima tutegemee wachezaji watakaokuwepo regularl kwenye mechi za EPL ni hawa
  1. E. Mendy
  2. B. Chilwell
  3. T. Silva
  4. K. Zouma
  5. C. Azpilicueta
  6. N. Kante
  7. Kovacic
  8. K. Havertz
  9. H. Ziyech
  10. C. Pulisic
  11. T. Werner
Sub
  1. Kepa
  2. R. James
  3. A. Christensen
  4. B. Gilmour
  5. Mason Mount
  6. H. Odoi
  7. Tammy Abraham
Hali ya hewa inaelekea kuwa hivyo ndio maana kuna wachezaji wengi wataforce kuondoka kabla dirisha halijafungwa aidha kwa mkopo au kuuzwa one of them ni akina
  1. Tomori
  2. Rudiger
  3. Alonso
  4. Jorginho
  5. RLC
  6. Ross Barkley
 
VAR ilifanya yake mkuu, hatuna upepo nayo sisi..

Jota handball
Mane redcard

Na wakala wao Lacazette

Ila bado tuna game nao nyingine mbili,

Huyu Mane alivutwa bega tu na Christsen refa akatoa umeme via VAR, jana yeye kampiga mtu kipepsi VAR imekausha

TUONANE BADAE HAPA
VAR ni mahususi kwa liverkuku na manure
 
Katika mechi za hivi karibuni na katika mazoezi Rudiger hafanyi vizuri tofauti na Christensen na Zouma

"On Rudiger, I’ve got five centre-backs at the club. I can’t pick a squad that has three of them on the bench,’ said Lampard. ‘That’s the way it is,
I have to pick the squad via training and situations and the opponents and that was a selection one today.’"


Ubora wa jana na juzi kwenye ligi yenye ushindani kama EPL haimati sana
FL anasema hao wanaopangwa ndio wanaofanya vizuri kwenye mazoezi na hawezi kuwaweka benchi CB watatu
Kumbuka sasa kuna CB literally wako sita pamoja na Azpi
  1. Silva
  2. Zouma
  3. Christensen
  4. Tomori
  5. Rudiger
  6. Azpi
Wanaotakiwa kucheza ni wawili na ikizidi sana benchi wanatakiwa wawili kwa sababu jumla ya benchi wanaotakiwa ni 7
  1. Striker 1
  2. Winga 1
  3. Viungo 2
  4. Mabeki 2 (CB na LB/RB)
  5. Kipa moja
Azpi huwezi kumuacha kama yuko fiti kwa sababu anaweza cheza CB, LB na RB
Kama Zouma na Christasen wakicheza lazima wawili watokomee nje ya benchi kabisa kati ya Rudiger, Silva na Tomori
Kama Zouma na Silva wakicheza lazima aidha Christesen, Tomori au Rudi akae benchi na wawili wasepe
Anayekaa benchi au kucheza ni yule aliyefanya vizuri kwenye mazoezi

Wakirudi akina Pulisic, Ziyech, Ben Chiwell, wachezaji wetu pendwa wengi hata hatutawaona kwenye benchi, ndio shida ya ushindani kwenye timu kubwa
Hao wachezaji pendwa tutakuwa tukiwaona tu kwenye FA na Carabao mechi za Mwanzoni

Wote wakiwa wazima tutegemee wachezaji watakaokuwepo regularl kwenye mechi za EPL ni hawa
  1. E. Mendy
  2. B. Chilwell
  3. T. Silva
  4. K. Zouma
  5. C. Azpilicueta
  6. N. Kante
  7. Kovacic
  8. K. Havertz
  9. H. Ziyech
  10. C. Pulisic
  11. T. Werner
Sub
  1. Kepa
  2. R. James
  3. A. Christensen
  4. B. Gilmour
  5. Mason Mount
  6. H. Odoi
  7. Tammy Abraham
Hali ya hewa inaelekea kuwa hivyo ndio maana kuna wachezaji wengi wataforce kuondoka kabla dirisha halijafungwa aidha kwa mkopo au kuuzwa one of them ni akina
  1. Tomori
  2. Rudiger
  3. Alonso
  4. Jorginho
  5. RLC
  6. Ross Barkley
Lampard huyo huyo alituaminisha Giroud kaisha hakumpa nafasi kabisa mpaka alivyoumia Abraham ndio akampa Giroud kilichotokea umekiona.Msimu Huu tokea uanze alzipicueta hakupewa nafasi kabisa je Ni kweli alzipicueta kaisha uwezo?
 
Zych na pulisc wasicheze mpka mwakan mwez wa 9 ndio watakuwa fit nimechoka n ngolongolo za lampard
Sasa mkuu unataka wawahishwe halafu wapate majeraha tena? Mna shida gani nyie

Unakumbuka issue ya Kante? Alilazimishwa kucheza mechi ya super cup na Liver lakini baada ya hapo kilitokea nini?
 
Wakuu hivi kwa kiwango cha sasa cha Kante mnahisi anaweza aka maintain kwa misimu mingapi mbele? Naona kadri anavyozidi kwenda kiwango kinazidi kushuka tu. Kwa nini Marina asimuuze then tuka raise funds kwa ajili ya Declan Rice.

Kante huyu wa sasa siyo yule wa msimu wa 15/16-17/18 wapo PSG, Inter wanahitaji sana huduma yake. Sisi tunaenda kuchukua damu yetu ya blue halisi kabisa Declan Rice katika ubora wake.
 
Leo nyuma AZIZA aka KAPU mjomba KOBELO kapumzika,bila kumsahau bonge la beki ZOUMA lazima atupie golini mwake.
 
Lampard huyo huyo alituaminisha Giroud kaisha hakumpa nafasi kabisa mpaka alivyoumia Abraham ndio akampa Giroud kilichotokea umekiona.Msimu Huu tokea uanze alzipicueta hakupewa nafasi kabisa je Ni kweli alzipicueta kaisha uwezo?
hapo hukuchambua umeongea kwa hisia zaidi
 
Wote ni ndugu zangu, leo mpo ground.... Londoneeeé..
Bro wenu nipo nawacheki hapa
 
One chance one goal.

Tayari Werner kashamaliza ukame
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom