Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

IMG_9534.jpg

IMG_9533.jpg
 
Waliipiga Barnsley nikawaambia Barnsley siyo kipimo wakabisha.

Leo katika hii gemu wamechezesha wachezaji 9 regulars katika ligi.

Na bado ikabidi waingie penati.

Mi naona hii timu ina wachezaji wazuri ila kuelewana na kuzoeana ni shida pia haina mchezaji anayeweza kuamua kupush wengine kutafuta matokeo.

Lampard aliahidi kikombe msimu huu.

Hiki ni cha kwanza amekitema.

Kabakisha FA, Ligi na UEFA.

Kwa ukweli wangu wote naamini Ligi na UEFA hatoboi so kabakisha FA.

Tusubiri na kuona.
 
Waliipiga Barnsley nikawaambia Barnsley siyo kipimo wakabisha.

Leo katika hii gemu wamechezesha wachezaji 9 regulars katika ligi.

Na bado ikabidi waingie penati.

Mi naona hii timu ina wachezaji wazuri ila kuelewana na kuzoeana ni shida pia haina mchezaji anayeweza kuamua kupush wengine kutafuta matokeo.

Lampard aliahidi kikombe msimu huu.

Hiki ni cha kwanza amekitema.

Kabakisha FA, Ligi na UEFA.

Kwa ukweli wangu wote naamini Ligi na UEFA hatoboi so kabakisha FA.

Tusubiri na kuona.
Mkuu haya ni maoni yako ila kwasisi tulioangalia mpira wala hututishi. Kilichotokea ni tumegawana vipindi sisi kipindi cha kwanza wao kipindi cha pili. Halafu regular starter kwenye kikosi walikua 6 tu Zouma, Jorginho, Kovacic, Mount, Werner na Azpi. Napo jorg na Azpi siku izi wanaanzia bench ila nimeona nikuwekee maana utabisha. Haya na Tot naye ameanza na regular starter wangapi? Kaanza na regular starter 7.

Mkuu kwenye penalty yoyote anaweza toka.
 
Malafyale vipi wale waliokuwa wakisema Klopp Out! bado wana maoni hayo hayo kwa sasa kwa sababu nakumbuka wewe ulikuwa na maoni ya kumpa Klopp muda wa kuijenga timu mpaka mkaunda Liverpool asili bali wenzako akina King Ngwaba wao walitaka matokeo ya haraka wakaanzisha movement ya Klopp Out!
Huwezi amini Lembu kwa sasa hao jamaa ndiyo eti wanaipenda Liverpool kuliko mimi!
Daah leo naona tena mambo sio mazuri eehhhh
Nunua kipa Oblak uwe sawa golini
 
Huwezi amini Lembu kwa sasa hao jamaa ndiyo eti wanaipenda Liverpool kuliko mimi!
Daah leo naona tena mambo sio mazuri eehhhh
Nunua kipa Oblak uwe sawa golini
Kipa mzuri, tuna mabeki wasiojua kufanya marking, Emerson angemfanyia marking Lamela lile goli asingefunga. Emerson ni style ya akina Alonso, wale wale
 
Kwani Mendy Ni mbaya?
Emerson kafanya kosa kama lile lile la Alonso tulipofungwa goli la tatu na West Bro
Kamuacha Lamela na alikuwa naye karibu na alijua atatoka kwenda kuutime huo mpira. Tuna mabeki vilaza ukimuondoa Zouma tu anajitahidi
Kule mbele wamechangamka lakini hakuna creativity hata chembe, hakuna hata jitihada za kutengeneza nafasi, wanacheza kwa kukariri tu, Chelsea ina safari ndefu kuja kuwa timu yenye ku challenge EPL title
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom