Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wakuu hivi kwa kiwango cha sasa cha Kante mnahisi anaweza aka maintain kwa misimu mingapi mbele? Naona kadri anavyozidi kwenda kiwango kinazidi kushuka tu. Kwa nini Marina asimuuze then tuka raise funds kwa ajili ya Declan Rice.

Kante huyu wa sasa siyo yule wa msimu wa 15/16-17/18 wapo PSG, Inter wanahitaji sana huduma yake. Sisi tunaenda kuchukua damu yetu ya blue halisi kabisa Declan Rice katika ubora wake.
Sasa ushauri wako unadhani nani anauskia huko london, upo bize unajiongelesha tu mwenyewe
 
Aisee huu mpira anaochezewa morinyo sio poa
20200929_100836.jpeg
 
Bado naona mistakes kwenye defense yetu. Tomori hajatulia anabutua butua tu mpaka mpira unaenda kwa adui. Jorginho ndio basi tena naona shughuli yake imeisha.

So far tunacheza vizuri sana nimefurahishwa na uchangamfu wa Odoi sema naye ni mgumu kufanya maamuzi ya haraka. Azpilicueta naona hapoi wala haboi kama mvinyo tu. Good first half.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom