Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Captain ni kiongozi, lazima uwe na ushawishi na kuwaweka wenzako pamoja, kuwawekewa mentality ya kushinda. Ndio maana Silva kwa mechi yake ya kwanza akapewa ukapteni ndugu kwa sababu hizo sifa anazo
Nilimjibu aliyehoji Silva kupewa u captain
 
Lampard ni Sarri Masigara aliyechangamka tu, naona hata top 4 tuliingia sababu ya juhudi za wachezaji wenyewe na hat timu zilizokuwa nyuma yake hazikuwa na ushindani mkubwa sana.

Kijumla Lampard hajui kabisa ni kipi anachokitaka katika ukocha wake kwa Chelsea FC, mashabiki tujiandae kisaikolojia kuvumilia maumivu maali sana mwaka huu.
Lampard amefanya nini?
 
CHO jana ndio mkombozi, kaingia kafanya mpira uchangamke, kuanzia sasa CHO namkubali kwenye first team, Lampard aangalie tu namna ya kuchanga hizo karata zake
Kwa jinsi ninavyoona CHO anaendana kiuchezaji na Havertz maana zile gonga mbili tatu kati yao zinaashiria wanaweza kufanya kazi vizuri. Ubaya wa CHO naye kuna muda huwa anakua kama Barkley yan unahisi huyu mtu siku moja kabla ya mechi lazima atakua alilala Casino.

CHO huwa anakosa consistency kabisa. Kipaji anacho lakini nahisi ni mvivu wa mazoezi binafsi ndio maana anakosa consistency.
 
Kama unamuelewa Lampard ebu niambieni ni formation ipi iliyotumika katika mechi na West Brom
Tatizo sio formation Ni namna ambavyo anaifanya Chelsea isiwe disorganized sisi tunapokuwa hatuna mipira balaa linaanzia hapo tunaacha game kubwa kwa opponent kutushambulia na kufika goal letu kirahisi sana
 
Kwa jinsi ninavyoona CHO anaendana kiuchezaji na Havertz maana zile gonga mbili tatu kati yao zinaashiria wanaweza kufanya kazi vizuri. Ubaya wa CHO naye kuna muda huwa anakua kama Barkley yan unahisi huyu mtu siku moja kabla ya mechi lazima atakua alilala Casino.

CHO huwa anakosa consistency kabisa. Kipaji anacho lakini nahisi ni mvivu wa mazoezi binafsi ndio maana anakosa consistency.
Umeongea point kabisa Hilo ndilo linanifanya nisimuamini odoi.
 
Kwa jinsi ninavyoona CHO anaendana kiuchezaji na Havertz maana zile gonga mbili tatu kati yao zinaashiria wanaweza kufanya kazi vizuri. Ubaya wa CHO naye kuna muda huwa anakua kama Barkley yan unahisi huyu mtu siku moja kabla ya mechi lazima atakua alilala Casino.

CHO huwa anakosa consistency kabisa. Kipaji anacho lakini nahisi ni mvivu wa mazoezi binafsi ndio maana anakosa consistency.
Naomba Mungu hiyo consistency ikae kuanzia jana. Akiwa Consistent, Odoi ni zinga la wide winger, itaifanya Chelsea kuwa na wachezaji wa kutumainiwa hata kwenye benchi
 
Mi siwaelewi kabisa hao mashabiki ywa Arsenal, cha ajabu mwaka huu wamejazana sana kwenye uzi wa Chelsea kuliko hata mashabiki wa timu zingine.

Si vibaya ikiwa watakuja humu kwa nidhamu kujadili mapungufu yetu lakini waige mfano wa kuwa na heshima kama Mr Don Clleruzio.
Tulia wewe pale kwa THIAGO tutaona mengi msimu huu, akili inataka mwili hautaki. .


Kazi na umri
 
LAMPARD
"...I think they had three shots on target and got three goals. There were genuine mistakes. There was nothing tactically you can analyse again and again - there were just pure mistakes."
 
29/9/2020 Spurs - Carabao Cup fourth round
03/10/2020 Crystal Palace EPL
 
Note;
Chelsea ya msimu jana ilikuwa haina uwezo wa kusawazisha Goli 3.
Nakukumbusha this is New Chelsea
chelsea msimu huu ni full burdani.
Mmewasawazishia West Brom?

Mnachekesha kweli nyie ze blauzi!

Kwahiyo sasa hivi mnafurahia sare na West Brom.
 
Umeongea point kabisa Hilo ndilo linanifanya nisimuamini odoi.
Odoi anaweza kuaminika kwa sababu bado ni dogo mdogo akipata mtu mzuri wa kumfanyia cancelling atakaa vizuri tu. Hebu jiulize mwenyewe mchezaji mdogo anapata mshahara mkubwa, bado kuna offer kutika Bayern na PSG zinamfuata unategemea huyo kiakili atakua sawa?

Odoi bado hajatulia tu anaweza kuwa kama kina Sterling, Sancho na wengine wengi.
 
Naomba Mungu hiyo consistency ikae kuanzia jana. Akiwa Consistent, Odoi ni zinga la wide winger, itaifanya Chelsea kuwa na wachezaji wa kutumainiwa hata kwenye benchi
Odoi bado tu akili yake haijatulia kusubiri wakati wake. Anataka afanye mambo makubwa kwa haraka sana, kuna force ya kuwaprove wrong hater inamuendesha na ndicho kinawaharibu teenagers wengi.
 
Mmewasawazishia West Brom?

Mnachekesha kweli nyie ze blauzi!

Kwahiyo sasa hivi mnafurahia sare na West Brom.
Kufungwa, kufunga, kudraw ni matokeo ya mpira.
Chelsea hatukuwa na uwezo wa kusawazisha goli 3 kwa timu yeyote.
Muda utazungumza mkuu.
 
29/9/2020 Spurs - Carabao Cup fourth round
03/10/2020 Crystal Palace EPL
Crystal Palace nilikua nacheki game yao na Everton jana asee jamaa wanatumia nguvu sana kutafuta magoli. Sasa timu kama hizo zikikutana na high pressing ni rahisi kula magoli mengi sana. Sijui kama tutaweza kufanya pressing kwa kutokua na midfield inayoeleweka.
 
Mmewasawazishia West Brom?

Mnachekesha kweli nyie ze blauzi!

Kwahiyo sasa hivi mnafurahia sare na West Brom.
Wewe jamaa hebu uwe unasoma hata mara mbili halafu tumia walau nusu dakika utafakari unachoelekea kuandika.

Amesema Chelsea ya msimu uliopita ilikua haiwezi kufanya comeback kama itakuwa nyuma kwa tofauti ya hata goli 2. Tulifungwa na Sheffield 3 tukashindwa kupata hata goli moja, tulifungwa na Newcastle, Westham lakini mpira tuliocheza haukua na matumaini yoyote. Amekwambia atleast anaona improvement tuko nyuma lakini unaona kuna kitu kinafanyika mpaka kufanikiwa kupata sare, tumefungwa na Liver lakini unaona kabisa kuna kitu kinafanyika japokuwa uwanjani kulikua na mtumishi hewa Keppa,

Wewe unakimbilia kusema tunafurahia draw.. SMH!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom