Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Odoi anaweza kuaminika kwa sababu bado ni dogo mdogo akipata mtu mzuri wa kumfanyia cancelling atakaa vizuri tu. Hebu jiulize mwenyewe mchezaji mdogo anapata mshahara mkubwa, bado kuna offer kutika Bayern na PSG zinamfuata unategemea huyo kiakili atakua sawa?

Odoi bado hajatulia tu anaweza kuwa kama kina Sterling, Sancho na wengine wengi.
Nakubaliana nawe asilimia mia, Odoi asiachiwe tutakuja juta sana
 
Wewe jamaa hebu uwe unasoma hata mara mbili halafu tumia walau nusu dakika utafakari unachoelekea kuandika.

Amesema Chelsea ya msimu uliopita ilikua haiwezi kufanya comeback kama itakuwa nyuma kwa tofauti ya hata goli 2. Tulifungwa na Sheffield 3 tukashindwa kupata hata goli moja, tulifungwa na Newcastle, Westham lakini mpira tuliocheza haukua na matumaini yoyote. Amekwambia atleast anaona improvement tuko nyuma lakini unaona kuna kitu kinafanyika mpaka kufanikiwa kupata sare, tumefungwa na Liver lakini unaona kabisa kuna kitu kinafanyika japokuwa uwanjani kulikua na mtumishi hewa Keppa,

Wewe unakimbilia kusema tunafurahia draw.. SMH!!
Tunatumia nguvu nyingi kuwajibu watu ambao hata backgraound zao hatuzijui, kama wako sawa, wewe uanenda kisomi sana wao hata ngumbaru haipo. Puuzia ndio jibu rahisi
 
Angekuwa Alonso bado anacheza goli la kwanza lisingepatikana
 
Crystal Palace nilikua nacheki game yao na Everton jana asee jamaa wanatumia nguvu sana kutafuta magoli. Sasa timu kama hizo zikikutana na high pressing ni rahisi kula magoli mengi sana. Sijui kama tutaweza kufanya pressing kwa kutokua na midfield inayoeleweka.
Tuanze n mid ya mount,kai na kante
Au tuanze na mid ya kova,kante

Game za cp inamuhitaj mtu anayeweza kupunguza wachezaj huku anaingia ndani like pulisic
 
Kuhusu goli la tatu na kwa nini VAR na refa walipuuzia handball ya Kai Havertz
Kabla ya msimu kuanza IFAB walirekebisha baadhi ya vipengele na mojawapo ni handball handling
Ikiwa mchezaji amegusa mpira kwa bahati mbaya halafu mpira huo ukaenda moja kwa moja kwa mfungaji basi hiyo itakuwa ni faul
Lakini endapo mchezaji atagusa mpira kwa bahati mbaya na mpira ukaendelea kuchezwa mara kadhaa kabla haijamfikia mfungaji basi hiyo sio faul na ndio maana refa na VAR walipuuzia hiyo handball ya jana ya Kai Havertz
 
Tuanze n mid ya mount,kai na kante
Au tuanze na mid ya kova,kante

Game za cp inamuhitaj mtu anayeweza kupunguza wachezaj huku anaingia ndani like pulisic
Tarehe 3 October Ziyech na Pulisic watakuwa wamerudi ila sijui kama watakuwa fit
 
Hii Timu ni TAKATAKA kabisa! Game tatu tu imesharuhusu GOLI6????



#coyg
 
Tuanze n mid ya mount,kai na kante
Au tuanze na mid ya kova,kante

Game za cp inamuhitaj mtu anayeweza kupunguza wachezaj huku anaingia ndani like pulisic
Kama hatutakua na Pulisic unadhani itakuaje hapo? Lazima atacheza Kovacic kukata atleast asaidie kuua mawasiliano yao katikati.
 
Kama hatutakua na Pulisic unadhani itakuaje hapo? Lazima atacheza Kovacic kukata atleast asaidie kuua mawasiliano yao katikati.
CHO aanzie RW halaf Werner aanzie LW,
Mbele pale akikaa giroud or tammy yyt sawa
Kumi acheze kai
middle iwe ya kante na mount
 
Timo ni suala la Muda. Kwani mlivyopigwa na Leeds mlihaha vip kurudisha? Bila penati mbili zile mngeshinda?
Eti tulivyopigwa! kumbe hata mechi hujatazama. Walikuwa wanachomekwa kisha wao ndo wanachomoa. Sio nyie lengo linahama toka kwenye ushindi mpaka draw.

Huo muda mbona wengine wamepewa na washaonyesha. Unataka apewe msimu mzima ndo apate hata assist?
 
Tunatumia nguvu nyingi kuwajibu watu ambao hata backgraound zao hatuzijui, kama wako sawa, wewe uanenda kisomi sana wao hata ngumbaru haipo. Puuzia ndio jibu rahisi
Wewe bado hujajifunza huko korokoroni ulikoswekwå,.
Tutakurudisha ukikotoka,
.
Nani anayejua background yako? JF imekuwa mpaka hapa ilipofikia kwasababu hatujűani mzee, tungejuana humu ingekuwa hatari sna
Maana unaeza kuta uliyemjibu hivyo ni baba yako mzazi/kambo
Ukitoka hapa unasogea mezani kugönga msosi wa kengere uliönunuliwa na huyo unayemjibu kunya, .

Picha haihusiani na hayo maneno hapo juu,
Screenshot_20200916-105116.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom