DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Pole sana, naamini huko jela ulikokuwa kuna mengi uliyojifunza,Wana chelsea wenzangu mambo huku yanaendeleaje?
Nilipigwa natumikia ban ya siku 7, ndo nimetoka gerezani sasa
Ninaahidi sitamtukana mtu tena ila nitakuwa nikibonyeza kitufe cha Report chenye icon ya kengele kushoto kwako chini ya post yenye matusi. Kwa kufanya hivi ninawasaidia Mods wang'amue posts zenye matusi na hivyo kuweza kuwaadhibu wanaotukana
Naombeni kwa umoja wetu tufanye hivyo hivyo, sio tu matusi hata kwa hao wanaotuma spam kwenye uzi
NAWASILISHA
Utakuwa raia mwema sasa... 
Karibu tena
