Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mechi ni arsenal na Leicester nyie mnacheza na Barnsley pia mnajimwambafai
 
Nitoe tamko kidogo..

Ushindi wetu leo sisi ze blauzi haumaanishi kwamba tayari tumeshakaa sawa, timu bado ni mbovu.

Ukiangalia timu tunayocheza nayo leo ni la ligi daraja la kwanza na inashika nafasi ya 20 kwenye msimamo wa ligi yao. Hivyo hii mechi ni kama mazoezi tu, Karavati ni yule yule, hata ashinde goli 10.. Hawezi kubadilika!
_20200923_232435.JPG
 
Nitoe tamko kidogo..

Ushindi wetu leo sisi ze blauzi haumaanishi kwamba tayari tumeshakaa sawa, timu bado ni mbovu.

Ukiangalia timu tunayocheza nayo leo ni la ligi daraja la kwanza na inashika nafasi ya 20 kwenye msimamo wa ligi yao. Hivyo hii mechi ni kama mazoezi tu, Karavati ni yule yule, hata ashinde goli 10.. Hawezi kubadilika!
View attachment 1578755
Makalio yako hayana adabu
 
Nitoe tamko kidogo..

Ushindi wetu leo sisi ze blauzi haumaanishi kwamba tayari tumeshakaa sawa, timu bado ni mbovu.

Ukiangalia timu tunayocheza nayo leo ni la ligi daraja la kwanza na inashika nafasi ya 20 kwenye msimamo wa ligi yao. Hivyo hii mechi ni kama mazoezi tu, Karavati ni yule yule, hata ashinde goli 10.. Hawezi kubadilika!
View attachment 1578755
Mkuu sasa hapo kwenye mechi 2 za ligi yao wanashika hyo nafac ndo inamaanisha hyo ni nafac yao...? Au nyumbu kushika nafasi ya 16 huko ndo inamaanisha ni nafasi yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitoe tamko kidogo..

Ushindi wetu leo sisi ze blauzi haumaanishi kwamba tayari tumeshakaa sawa, timu bado ni mbovu.

Ukiangalia timu tunayocheza nayo leo ni la ligi daraja la kwanza na inashika nafasi ya 20 kwenye msimamo wa ligi yao. Hivyo hii mechi ni kama mazoezi tu, Karavati ni yule yule, hata ashinde goli 10.. Hawezi kubadilika!
View attachment 1578755

Mkuu mbona povu linakutoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom