John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Jinsi alivyoweka hzo goli kirahisi na ukimtizama komredi kipepe anavyocheza kwa nguvu zote aiseeeHevertz kaweka 3 huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Jinsi alivyoweka hzo goli kirahisi na ukimtizama komredi kipepe anavyocheza kwa nguvu zote aiseeeHevertz kaweka 3 huko
Ww kweli ambarutimmesema Chelsea alinunua shati.
Kafunga goli 3 eti maraisi na timu rahisi.
Chelsea 2020/2021 full burudani

vs Barnsley unatembea kifua mbele .. Welcome to EPL or UEFA


Nafasi waliyomaliza msimu uliopita haina tofaut Yani nafasi zake humo humo tu hii hapa ni last season alivyomalizaMkuu sasa hapo kwenye mechi 2 za ligi yao wanashika hyo nafac ndo inamaanisha hyo ni nafac yao...? Au nyumbu kushika nafasi ya 16 huko ndo inamaanisha ni nafasi yao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi luton town fc msim uliopita walimaliza waangapi????Nafasi waliyomaliza msimu uliopita haina tofaut Yani nafasi zake humo humo tu hii hapa ni last season alivyomalizaView attachment 1578761
Barnsley au wauza koroshoAnacheza na nani?
, hakuwa mchoyo but alimtengea Kai Lukas Havertz mayai mawili huku akiwachakaza Barnsley kwa bao safi.VP hao Luton mbona umeshindwa kuwafunga goli 5 au ni wagumu ?Nafasi waliyomaliza msimu uliopita haina tofaut Yani nafasi zake humo humo tu hii hapa ni last season alivyomalizaView attachment 1578761
Ama kweli nyani haoni kunduleHahaha zamani mlikua mna defense takataka siku hizi defense na kipa wote takataka
Kwan Barnsley anacheza Golf au Formula 1? Si wote tunacheza mpira?Ni Leicester lakini, sio Barnsley!
Kabadili kikosi chote hadi kipaKwan Barnsley anacheza Golf au Formula 1? Si wote tunacheza mpira?
Leicester mwenyewe kakupangia kikosi nyoronyoro sana wakati nyie mmeweka karibia wachezaji 7 regular starter.
Hizo hattrick atafuta huko carabao siyo EPLmazee mmepigwa pale leo mnajifariji ila kwa magoli aliyofunga pia ni zawadi za wale Barnsley tu
Wanateseka kinoma kuliko hata Chelsea fans....Mkuu mbona mnateseka na ushindi wa Chelsea. Chelsea akishinda tatizo, akifungwa tatizo, Heverts akipiga hat trick nayo tatizo. Mbona ninyi mmecheza na timu ndogo lakini wachezaji wenu wameshindwa kufunga hata 3 goals
Wewe kuna watu siyo wa kubishana nao utapoteza muda tu.