Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wacha maneno weka takwimu na vyanzo.
Hao ni Sky Sports
Screenshot_20200925-072400_1601008588536.jpg
 
Wewe wasema, na usinilishe maneno tafadhari! Sasa wanaoongoza kwa matusi na vifungo ni watu wenu wa jukwaa hili, na mara nýingi tu mnawashiana moto wenyewe kwa wenyewe,

Mimi natumi@ JF app vîa mobile phone kuingia humu, ambayo hakuna kitufe cha REPORT hadi katika computer ndio waweza kiona, sașa nakurepoti vp
Hata mmi natumia App kupitia mobile phone hiyo option ya REPORT ipo.

Hilo swala la kutukanana wenyewe ni kwa sababu ya mpuuzi mmoja ambaye naye nahisi keshakula ban. Otherwise chunguza utoaji comment wa wenzako na wewe pia mnatukana sana halafu mwisho wa siku mbasema ni sisi ndio watukanaji.
 
Naamini performance yake itategemea na Lampard anataka connection iweje kwenye timu.

Mabadiliko yoyote yatataka apate muda wa kuadapt na huo utakua muda wa sisi kurusha madongo.
Kwakweli hamta poa mpaka muone ile proce tag inakidhi vigezo.
 
Jaribu kuwa mpenda soka kuliko kuwa mpiga zumari. Tatizo lenu mpo kwenye betting, na mnaliwa mara kwa mara.
Basi itakua ndiyo mara yako ya kwanza kuona nikiandika kuhusu mpira. Ukijiridhisha kua sibet na hua natoa maoni objectively tunaweza kujadili.
 
Hata mmi natumia App kupitia mobile phone hiyo option ya REPORT ipo.

Hilo swala la kutukanana wenyewe ni kwa sababu ya mpuuzi mmoja ambaye naye nahisi keshakula ban. Otherwise chunguza utoaji comment wa wenzako na wewe pia mnatukana sana halafu mwisho wa siku mbasema ni sisi ndio watukanaji.
Kama mtu anatoa matusi na ni tabia yake kongwe kufanya hivyo ni sawa kuripotiwa
Dully anatukana tena sana, kuna post nyingi katukana labda kama kazifuta
 
Top Scorers from 5 top Europe leagues since 2014/15

2019/20: Ciro Immobile (Lazio, ITA) - 36
2018/19: Lionel Messi (Barcelona, ESP) – 36
2017/18: Lionel Messi (Barcelona, ESP) – 34
2016/17: Lionel Messi (Barcelona, ESP) – 37
2015/16: Luis Suárez (Barcelona, ESP) 40
2014/15: Cristiano Ronaldo (Real Madrid, ESP) 48
 
Rudiger Chelsea Exit
Chelsea receive loan offer from PSG for Antonio Rudiger... but are considering selling the out-of-favour defender amid interest from Barcelona FC and AS Roma
  • PSG have submitted a loan offer for Chelsea defender Antonio Rudiger
  • The French champions proposed a loan with option to buy the defender
  • Chelsea are considering trying to sell the German international permanently
View attachment 1581124
Auzwe tu siyo mbaya.
 
Chelsea wako tayari kusikiliza ofa kutoka Aston Villa kwa Ross Barkley. Villa pia wanamtaka RLC
 
Kama Rudiger akiuzwa kwa ajili ya Declan Rice SAWA. Ila kama ni mauzo tu yasiyo na mpango bora abaki
1601132996538.png
 
Kepa anauzwa paundi Mil 40, Majirani changamkieni dili hilo jamani
Bora Morata alitupatia hasara ya Mil 26 huyu atatupa zaidi ya mil 40 hasara kwa sababu sidhani kama iko timu itakayotoa zaidi ya mil 30
1601133230908.png
 
Petr Cech aingia kambini na KEPA mpaka kieleweke

1601133887117.png

“Petr has his job but he’s also at times helping with the goalkeepers. Why would you not tap into having the best goalkeeper in the world, which he was for a long time, to pass on that knowledge?

“Having Petr train with the goalkeepers and bring his experience is a great thing. He still has great quality as he retired pretty young. He’s training and keeping fit, which I think is healthy for him and the goalkeepers in the squad.”
 
Kepa anauzwa paundi Mil 40, Majirani changamkieni dili hilo jamani
Bora Morata alitupatia hasara ya Mil 26 huyu atatupa zaidi ya mil 40 hasara kwa sababu sidhani kama iko timu itakayotoa zaidi ya mil 30
View attachment 1581663
Hakuna wakutoa hata £10m kwa kepa , labda mumtoe mkopo

Same to bakayoko , hamtapata mteja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom