Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu naona sasa tumeacha kuongelea mpira. Naomba tumpe muda dogo ndio kwamza kacheza mechi 3 napo hamalizi dakika zote 90.

Hata Pulisic alianza hivi hivi.
Siku ya kwanza namuona Pulisic nikauliza uraia nikajibiwa mmarekani nikashangaa. Pulisic anajua hakuhitaji hizo za subiri kidogo.

Jamhuri Kihwelo alisema 'Mchezaji mzuri hata anavyopokea mpira akipigiwa pasi utamjua tu'

Game za ucl nilizocheki ambazo Kai alikuwemo nilishangaa price tag ambayo Chelsea walikua willing kuilipa.

Hope ataevolve
 
Siku ya kwanza namuona Pulisic nikauliza uraia nikajibiwa mmarekani nikashangaa. Pulisic anajua hakuhitaji hizo za subiri kidogo.

Jamhuri Kihwelo alisema 'Mchezaji mzuri hata anavyopokea mpira akipigiwa pasi utamjua tu'

Game za ucl nilizocheki ambazo Kai alikuwemo nilishangaa price tag ambayo Chelsea walikua willing kuilipa.

Hope ataevolve
Mkuu kwa hiyo kwa kumaliza unasema Kai ni mchezaji wa kawaida kabisa kama kina Nelson na Saka au hata humo haingii?
 
Majibu mnayapata sasa mnaanza kuongea wenyewe na mtajijibu wenyewe. Havertz mumponde wenyewe leo mnaanza kusema sisi ndio wapondaji. Tumecheza mechi mnaanza kuita timu ndogo nikauliza hata kama ni timu ndogo si wote wanacheza mpira maana mlivyoongea ni kama wale Barnsley hawakua kwenye field yao labda wao ni wacheza golf ndio maana tumewafunga 6
Haya matakataka utayaweza mkuu ..yameamia kwenye jukwaa la wanaume
 
Suala la muda Mendy au mende mmepigwa Kama kwa Kai karavati ..na Kwapa arizibuliwaga
 
Uchambuzi wa Mendy

Edouard Mendy Ni kipa mwenye umri wa miaka 28 ubora wake wa kudaka ameiwezesha team yake ya Rennes kwakwanza kwenye historia ya kuwa timu mpya kuingia uefa champions league baada ya kushika nafasi ya 3 kwenye msimamo wa League 1 ya ufaransa.Mendy amecheza games 24 na ameruhusu goals 19 na kupata clean sheets 9.


Strength

1.Ni hodari wa long shots

Mendy amepata umaarufu mkubwa kwenye league hiyo baada ya kuwa hatari Sana kwenye kusave mipira hatari ya long distance shots kitu ambacho Ni udhaifu mkubwa wa Kepa.Moja Kati ya save hatari aliyowahi kufanya ya kombala ya masafa marefu Ni ile ya marquinhos aliyopiga kwenye nyuzi 90 na Mendy kuisave wakati ilitegemewa ingekuwa goal.


2.Ni mzuri kwenye set pieces

Kwenye magoals 19 aliyoruhusu katika mechi 24 amefungwa goal 4 tu ya corner kwenye mipira ya corner 39 zilizopigwa kwenye goal lake.Kitu ambacho Ni moja ya weakness kubwa Sana kwa Kepa.


3.Ni leadership kwenye lango

Mendy anasifika kwa kuwa na vocal kwenye kupanga beki zake au mabeki wake kufanya makosa amekuwa akiwakemea Mara nyingi.

4. Percentage ya saves Ni nzuri

Mendy ana average ya 78.4% ya saves wakati Kepa ana average percentage ya 54.5%.



Weakness

1. Sio mzuri akiwa na mpira

Mendy Ni hodari Sana kwenye kudaka lakini sio kwenye kumiliki mpira mguuni sio passer mzuri Sana akiwa na mpira.


NB: Faida ambayo Edouard Mendy ataileta Chelsea kwanza amecheza ligi moja na Thiago Silva anaongea vizuri kifaransa sambamba na Thiago Silva Hilo itasaidia kutengeneza good partnership na Thiago Silva kwenye lugha mpaka kwenye mchezo.
ryana fan
shimba96
MsemajiUkweli
Depal
Cash Money Forever
lembu
Southern Highland
Hazard CFC
Sina shaka na mendy kabisa
 
Jiheshimu wewe, usifananishe Saka na takataka
Natamani kukaa kimya tatizo mnajisahaugi kama mpo jukwaa la The Pride Of London mnataka muanze kulishana ujinga hapa hapa.
Anafananisha Saka Na huyo Muhind Kai?

Kule Europa ,Saka kamkalisha Huyo kai , Kwenye tuzo ya Europa young player

Kai alivyo laini vile asubiri carabao tu
 
Wana chelsea wenzangu mambo huku yanaendeleaje?
Nilipigwa natumikia ban ya siku 7, ndo nimetoka gerezani sasa
Ninaahidi sitamtukana mtu tena ila nitakuwa nikibonyeza kitufe cha Report chenye icon ya kengele kushoto kwako chini ya post yenye matusi. Kwa kufanya hivi ninawasaidia Mods wang'amue posts zenye matusi na hivyo kuweza kuwaadhibu wanaotukana
Naombeni kwa umoja wetu tufanye hivyo hivyo, sio tu matusi hata kwa hao wanaotuma spam kwenye uzi
NAWASILISHA
 
Wana chelsea wenzangu mambo huku yanaendeleaje?
Nilipigwa natumikia ban ya siku 7, ndo nimetoka gerezani sasa
Ninaahidi sitamtukana mtu tena ila nitakuwa nikibonyeza kitufe cha Report chenye icon ya kengele kushoto kwako chini ya post yenye matusi. Kwa kufanya hivi ninawasaidia Mods wang'amue posts zenye matusi na hivyo kuweza kuwaadhibu wanaotukana
Naombeni kwa umoja wetu tufanye hivyo hivyo, sio tu matusi hata kwa hao wanaotuma spam kwenye uzi
NAWASILISHA
Daah ndugu pole sana kuna watu huwa wanatia hasira sana kiasi kupelekea kufanya vitu ambavyo hata hukuwa na lengo kuvifanya.

Karibu tena darajani hawa viburushuti uendelee kuwazoea.
 
Wana chelsea wenzangu mambo huku yanaendeleaje?
Nilipigwa natumikia ban ya siku 7, ndo nimetoka gerezani sasa
Ninaahidi sitamtukana mtu tena ila nitakuwa nikibonyeza kitufe cha Report chenye icon ya kengele kushoto kwako chini ya post yenye matusi. Kwa kufanya hivi ninawasaidia Mods wang'amue posts zenye matusi na hivyo kuweza kuwaadhibu wanaotukana
Naombeni kwa umoja wetu tufanye hivyo hivyo, sio tu matusi hata kwa hao wanaotuma spam kwenye uzi
NAWASILISHA
Tumekumisi Sana mzee welcome
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom