Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mnakaa kimya kwa sababu mnajua mmekosea ila hamtaki kusema kama mmekosea, ndio inavyokuwa..

Yani hapo mnatamani huyo Kai hata afunge goli game ijayo ili mhisi kama mmetu-prove wrong!

Lakini ukweli utabakia pale pale.. Falcao wenyewe alipoenda Man Utd, katika zile game za mwanzo tu walishajua kama pale wamepigwa.
Aliposhinda goli lake la kwanza wakapata la kusema.
Mpaka anaondoka, ukimuuliza leo shabiki wa Manyumbu kuhusu Falcao atakuambia tumepigwa!

Ndio inavyokuwa, na ndo inatokea kwenu pia!
Kafunga sasa unatakaje?
 
Unatumia Pauni Milioni 135 kwa ajili ya Werner na Kai halafu assisst anatoa Kepa.

Kwa mechi za juzi Kane ana assisst nyingi kuliko pasi zilizofika za Kai.
Tulia wewe Kai ana hat trick, Auba anarukaruka bado.
#CFC💙💙💙
 
Ameanza
IMG_20200924_080720.jpg
 
Kwan Barnsley anacheza Golf au Formula 1? Si wote tunacheza mpira?

Leicester mwenyewe kakupangia kikosi nyoronyoro sana wakati nyie mmeweka karibia wachezaji 7 regular starter.
Wacha uwongo ww,


The Gunners made seven changes at the King Power Stadium
 
Kai havertz ameshaanza kazi alikuwa anafanya Bayer Leverkusen, ben chillwel alikuwa kuwa Bora kwa dakika chache alizocheza kuliko dakika zote alizocheza Emerson
 
Nenda sofascore kaangalie, yaani katimu kamtaani mnakafunga 6 mnakuja kupiga kelele humu, hamna aibu
Tatizo lenu nyie mkijibiwa mnasema tunapiga kelele. Kwa hiyo nyie muongee sisi tukae kimya?

Tunajitathmini baada ya timu yetu kucheza jana nyie mnakuja mnaponda, mmemsema Havertz tumepigwa jana kapiga Hat trick mnasema magoli mepesi mara mmecheza na timu mbovu. Sasa mnataka afanye nini? Hamjui kwamba kila kitu ni hatua kwa kucheza mechi ya jana kunazidi kumuongezea confidence.

Sasa mnachotaka ni sisi tukae kimya tusiwajibu siyo?
 
Wengine walijifungia ndani.

Wengine walikua wanatukana kocha.

Wengine wakasema Havertz anarukaruka.

Sasa wameshinda.

Wote wameibuka.

Kuna mmoja anauliza kama Barnsley wanacheza golf... Hahaha sasa Simba ikicheza na KwaKopa FC ikawafunga halafu wakishangilia utawachukuliaje Simba?
 
Arteta alisema ataichukulia hii game serious hatodharau hiki kikombe maajabu yake katika kikosi akamuanzisha Luiz aliyetoka majeruhi, akarisk kwa kumuweka kipa pekee stable tuliyenaye Arsenal.

Willock akapata namba. Nketiah akaanza.

Kwenye benchi la sub Aubameyang hakuepo, Gabriel hakuepo, Tierney hakuepo, Ozil hakuepo, Guendouz hakuepo.

Halafu anaenda kucheza na Leicester.

Hahaha Chelsea anacheza na Barnsley akapanga kikosi hichi.

1: Caballero
2: Azpilicueta
3: Tomori
4: Thiago Silva
5: Emerson
6: Kovacic
7: Barkley
8: Mount
9: Havertz
10: Hudson Odoi
11: Tammy

Subs;
Baxter, Zouma, Chillwell, James, Jorginho, Giroud.

Naomba mumuulize Arteta yeye na Lampard nani yupo Serious.
 
Mchezaji ambaye amenunuliwa kwa pesa kubwa akifika na kutoiishi gharama aliyonunuliwa katika ligi hua anawekwa kwenye games za makombe kama Carabao hivi ili kujaribu kurudisha confidence yake.

Mchezaji wa gharama ya juu kabisa katika new signings zako ana succesful passes chache kuliko assissts za Harry Kane huyo anastahili kuwemo kwenye kikosi kinachocheza Carabao.💭

Swali ni je? Akishapiga hat trick anastahili hype ya kiwango hichi? Tena against Burnsley?😂😂😂

Na ukumbuke kwamba Harry Kane ni ST. So hii new signing kulingana na position yake alitakiwa awe anamzidi ST kwa assisst.
 
Mchezaji ambaye amenunuliwa kwa pesa kubwa akifika na kutoiishi gharama aliyonunuliwa katika ligi hua anawekwa kwenye games za makombe kama Carabao hivi ili kujaribu kurudisha confidence yake.

Mchezaji wa gharama ya juu kabisa katika new signings zako ana succesful passes chache kuliko assissts za Harry Kane huyo anastahili kuwemo kwenye kikosi kinachocheza Carabao.

Swali ni je? Akishapiga hat trick anastahili hype ya kiwango hichi? Tena against Burnsley?

Na ukumbuke kwamba Harry Kane ni ST. So hii new signing kulingana na position yake alitakiwa awe anamzidi ST kwa assisst.
Mkuu mbona comrade kipepe mchezaji tuliepigwa anatumia nguvu nyingi kufunga km mtoto anayetambaa anayetaka kutembea... C ajifunze kwa kai anafunga kirahisi....
IMG-20200921-WA0103.jpg
 
Mkuu mbona comrade kipepe mchezaji tuliepigwa anatumia nguvu nyingi kufunga km mtoto anayetambaa anayetaka kutembea... C ajifunze kwa kai anafunga kirahisi....View attachment 1579100
Nicolas Pepe.

Huu ni msimu wake wa Pili.

Msimu wake wa kwanza amekua involved katika magoli 18.

Anamzidi Torres.

Hayo magoli ni ya Europa na kwenye ligi.

Kai kaifunga kirahisi Barnsley 😀😀😀 kwa Brighton alitia aibu na kwa Liva akatia aibu akatolewa. Kepa roho ikamuuma akacompensate kwa kutoa assisst.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom