Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea mmefanya vizuri kusajili kipa mwingine. Kepa inabidi afocus na majukumu ya ukocha. Akishika jukumu la ukocha na kudaka mnamchanganya.
 
Mashabiki wa team nyingine ndio wanamlalamikia Kai havertz kuwa mzigo wakati mashabiki wa Chelsea tumetulia hii inakupa picha jinsi jamaa zetu wanavyoteseka na Kai.Kai Ni bonge la mchezaji na game ya Liverpool alionesha improvement from game dhidi ya Brighton kacreate 2 open chances to Timo Werner naamini atazidi kuimarika game dhidi game kutokana hakucheza game yoyote kwa miezi 2 alikuwa likizo na ameshiriki mazoezi ya Chelsea wiki moja tu.
Ok.

Kai kaimprove ukilinganisha game ya Brighton. Je Werner naye kaimprove?
 
Ok.

Kai kaimprove ukilinganisha game ya Brighton. Je Werner naye kaimprove?
Mkuu hakuna aliyeimprove.. Sisi ze blauzi tunajua kabisa pale tumepigwa!
£72m imeenda bure kabisa!

Yani timu yetu ni mbovu, na Lamps kocha wa ovyo kabisa!
 
Hivi una mashaka na Werner ?..huyo ni suala LA muda tu...sisi fans wa Chelsea hauoni tukimuongelea sana lkn wewe shabiki wa nyumbumilia unaumia nini shida!!?
Mimi sishabikii pundamilia.

Swali langu sijauliza kama dhihaka ni bahati mbaya tu upo kwenye maumivu kwahiyo kila utakachoambiwa utahisi ni tusi.

Ila ndo ukweli kwamba Werner na Havertz hawamfikii Kepa kwenye kua involved na magoli na assisst.
 
Mkuu hakuna aliyeimprove.. Sisi ze blauzi tunajua kabisa pale tumepigwa!
£72m imeenda bure kabisa!

Yani timu yetu ni mbovu, na Lamps kocha wa ovyo kabisa!
Sisi Chelsea tushazoea kupigwa. Kuna dogo anaitwa Saka anachezea Arsenal yaani kila position anacheza mi naamini yule akiambiwa akae kipa atapata clean sheets nyingi kuliko kipa wetu Kepa.
 
Hawa jirani zetu wa Arse huwa hawana kazi na inaonyesha kule kwenye mitaa yao wako kila saa kwenye vijiwe vya majungu tu wala hamna lolote ni weupe kama timu yao, Mid table team. walitakiwa waende kwenye majukwaa ya Westham wakabishane na akina David Moyes saizi yao
 
Hawa jirani zetu wa Arse huwa whawana kazi na inaonyesha kule kwenye mitaa yao wako kila saa kwenye vijiwe vya majungu tu wala hamna lolote ni weupe kama timu yao, Mid table team. walitakiwa waende kwenye majukwaa ya Westham wakabishane na akina David Moyes saizi yao
Lampard The GOAT
 

Attachments

  • IMG_20200923_162124.jpg
    IMG_20200923_162124.jpg
    68.8 KB · Views: 7
Kilichotucost ni red ya christensen

Halaf bado player wengi wako njee due to injury ujaona muunganiko watakaoleta

Ukimtoa werner na kai wachezaj waliosalia wote ni wale wale wamsim uliopita
Hatujawa tim nzuri ambayk utasema 2 player wanaweza badilisha team completely
Subir new signing zote zikiwepo hapo ndio uanze kumuhukumu lampard ila kama ndio vile kwa kutegemeea eti werner na kai peke yao wakupe matokeo against liverpool na the likes sahau
New Chelsea
Screenshot_20200923-152054.jpeg
 
Mimi ningependa Giroud ndio achgeze striker na Pulisic acheze nafasi yake, Werner acheze kiungo mshambuliaji akisaidiana na Havertz kwenye formation ya 4-3-3, kuwe na DM mmoja ambaye ni Kante na mabeki wanne. Kwa formation hii itabidi Kovacic aanzie benchi
Halafu kipa nani?
 
Mimi sishabikii pundamilia.

Swali langu sijauliza kama dhihaka ni bahati mbaya tu upo kwenye maumivu kwahiyo kila utakachoambiwa utahisi ni tusi.

Ila ndo ukweli kwamba Werner na Havertz hawamfikii Kepa kwenye kua involved na magoli na assisst.
Sasa wewe shabiki wa Timu gani ? Tuanzie hapo kwanza na kwanini unaumia sana kuliko hata wenye Uzi wao hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom