Nakumbuka , alikuja Akatoa matusi makubwa kule jukwaan kwetuHuyu Ollachuga Oc ni mjanja sana alikuja kule jukwaani kwetu akatukana matusi makubwa makubwa mpaka nikashangaa, tulivyokaa katika kikao cha mamods tukataka tumpige ban, lakini mimi nikasema hapana tusijisumbue kwasababu baadae wana game na liverpool atajipiga ban mwenyewe na ndivyo ilivyokuwa ,sasa hivi yupo machokoroni huko
Lingard si kikundi cha Ma dancer tu wa msondo ngoma.... Lingard, Pogba wao wamesajiliwa kushangilia magoli kwa staili mbalimbali . Kwaio tunasubiri wasajili watu wa kufunga hayo magoli ya kushangiliwa...... Vinginevyo LINGARD, POGBA ni kama na dancer wa Twanga Pepeta ya asha barakaKama anairudisha kwa kipa kumbe inaenda pembeni kwa salah yaani ukimuangalia Thiago unaweza ukadhani mpira sio kazi ngumu .
Lakini ukimuangalia Lingard jinsi anavotumia nguvu Ndio utajua kwamba mpira ni kati ya kazi ngumu sanaView attachment 1576340
Mkuu hata mimi nashangaa sana naona ID nyingi mpya mpaka nashindwa kuelewa hawa ni kutoka wapi sijui.Arsenal mwaka huu tutawajua wote hata wale waliohamia Aston Villa na Norwich city, mwaka huu mechi mbili tu wamefufuka. Ngoja vipigo vianze kutembea watarudi kwa Sammata na kujifanya wazalendo wa kweli
Lampard ni version mpya ya Unai emeryLampard anachowaza kichwan mwakeView attachment 1576465
Arsenal mwaka huu tutawajua wote hata wale waliohamia Aston Villa na Norwich city, mwaka huu mechi mbili tu wamefufuka. Ngoja vipigo vianze kutembea watarudi kwa Sammata na kujifanya wazalendo wa kweli
Kama anairudisha kwa kipa kumbe inaenda pembeni kwa salah yaani ukimuangalia Thiago unaweza ukadhani mpira sio kazi ngumu .
Lakini ukimuangalia Lingard jinsi anavotumia nguvu Ndio utajua kwamba mpira ni kati ya kazi ngumu sanaView attachment 1576340
Lingard si kikundi cha Ma dancer tu wa msondo ngoma.... Lingard, Pogba wao wamesajiliwa kushangilia magoli kwa staili mbalimbali . Kwaio tunasubiri wasajili watu wa kufunga hayo magoli ya kushangiliwa...... Vinginevyo LINGARD, POGBA ni kama na dancer wa Twanga Pepeta ya asha baraka
#COYG
Mkuu hata mimi nashangaa sana naona ID nyingi mpya mpaka nashindwa kuelewa hawa ni kutoka wapi sijui.
Work rate ya mount ni kubwaLampard anachowaza kichwan mwakeView attachment 1576465
#COYGMkuu, hao jamaa pumbavu sana.
Kazi yao ni kubadili ID tu.
Kuna taka taka inaitwa Pweza sijui imetokea wapi, inazingua kinoma.
GGMU
Usajili wa Kai Havertz ni sawa na usajili wa Sadney Urkhob au Issa Bigirimana pale YangaNiliwahi kusema harvetz ni garasa jipya
Ninyi mmezoea kupigwa kwenye usajili. Mlishapigwa kwa Kepa £72 bado mnaendelea kupigwa tuEdouard Mendy anafanya checkup ya afya yake na atatangazwa ndani ya saa 24 ijayo
SkySports
Nenda ukaniFollow na Twita nikupe michingo uhamie na Arsenal chama la wana.... Huko unyumbuni utakufa kwa preshaMkuu rudisha id yako ya zamani tukutambue.
GGMU