Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,083
- 12,326
Likizo imekwisha?Kuna taarifa kuwa Sliva ataendelea kutokuwa fiti mpaka ajue lugha ya Kiingereza. Kweli Lampard ni kiazi sana
Likizo imekwisha?Kuna taarifa kuwa Sliva ataendelea kutokuwa fiti mpaka ajue lugha ya Kiingereza. Kweli Lampard ni kiazi sana
Usijali,Mkuu hata mimi nashangaa sana naona ID nyingi mpya mpaka nashindwa kuelewa hawa ni kutoka wapi sijui.
Dah, huyu je?Edouard Mendy anafanya checkup ya afya yake na atatangazwa ndani ya saa 24 ijayo
SkySports
Tuliza kipele nyumbuMkuu hao mwisho wao ni December, wala hawatushtui.
GGMU
Achana na huyo punda mkuuNenda ukaniFollow na Twita nikupe michingo uhamie na Arsenal chama la wana.... Huko unyumbuni utakufa kwa presha
#COYGView attachment 1576622
Na mashabiki wake ni mbatataKuna taarifa kuwa Sliva ataendelea kutokuwa fiti mpaka ajue lugha ya Kiingereza. Kweli Lampard ni kiazi sana
Sio regular starterWork rate ya mount ni kubwa
Kwa kuwa ni muingereza watu ndio maana mnadis
Vipi mbona Nketia na arteta huzungumzii
HahaaaaaaaaaKuna taarifa kuwa Sliva ataendelea kutokuwa fiti mpaka ajue lugha ya Kiingereza. Kweli Lampard ni kiazi sana
Unaandika pumba mno leo ngoja nikurekebishe wewe mzee wa Arse8. Timu iliyopanda daraja imepata goli 3 kwa Liver na timu iliyokuwepo ligi kuu imeshindwa kupata kwa maelezo yako Leeds ni bora kuliko Chelsea? Nawewe unasimama mbele ya wanaume unakaza msuli wa matako unaongea huu utumbo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Dogo kila game approach zinatofautiana. Mimi nikicheza na wewe sivyo nitakavyo cheza na nyumbu au Man city. Liver wamekuja kupata goli baada sisi kupunguzwa, pia kipa wetu ni moja kati ya watumishi hewa EPL ndipo Liver walipofanikiwa hapo.
Mkuu hata kama una chuki na Lampard usifikie kutoa habari za uongo. Toa maoni yako kwa hoja na sio uzushi wa kinyangema.Kuna taarifa kuwa Sliva ataendelea kutokuwa fiti mpaka ajue lugha ya Kiingereza. Kweli Lampard ni kiazi sana
Watu wengine lugha hawajuiMkuu hata kama una chuki na Lampard usifikie kutoa habari za uongo. Toa maoni yako kwa hoja na sio uzushi wa kinyangema.
[emoji838] There is hope that Thiago Silva and Ben Chilwell will be ready for West Brom, with the potential of them getting some game time in the Carabao Cup against Barnsley.
[emoji838] Chelsea are hopeful that Christian Pulisic will be available for West Brom match.
[emoji838] Hakim Ziyech may not be ready for the match at the Hawthorns against West Brom.
Olivier Harbord - Football London
Naona umemuumbuaMkuu hata kama una chuki na Lampard usifikie kutoa habari za uongo. Toa maoni yako kwa hoja na sio uzushi wa kinyangema.
[emoji838] There is hope that Thiago Silva and Ben Chilwell will be ready for West Brom, with the potential of them getting some game time in the Carabao Cup against Barnsley.
[emoji838] Chelsea are hopeful that Christian Pulisic will be available for West Brom match.
[emoji838] Hakim Ziyech may not be ready for the match at the Hawthorns against West Brom.
Olivier Harbord - Football London
Sio kweliKuna taarifa kuwa Sliva ataendelea kutokuwa fiti mpaka ajue lugha ya Kiingereza. Kweli Lampard ni kiazi sana
Uko sawa, hakuna sehemu imeelezwa kuwa mpaka ajifunze kiingereza ndio awe fitMkuu hata kama una chuki na Lampard usifikie kutoa habari za uongo. Toa maoni yako kwa hoja na sio uzushi wa kinyangema.
[emoji838] There is hope that Thiago Silva and Ben Chilwell will be ready for West Brom, with the potential of them getting some game time in the Carabao Cup against Barnsley.
[emoji838] Chelsea are hopeful that Christian Pulisic will be available for West Brom match.
[emoji838] Hakim Ziyech may not be ready for the match at the Hawthorns against West Brom.
Olivier Harbord - Football London
Kutoka kwenye press conference ya lampsKuna taarifa kuwa Sliva ataendelea kutokuwa fiti mpaka ajue lugha ya Kiingereza. Kweli Lampard ni kiazi sana
Afadhali umefafanua maaana watu lugha haipandi ndio maaana wanaandika taka takaKutoka kwenye press conference ya lamps
Silva na chilwel kesho watakuwemo kwenye kikosi kitakachocheza mechi dhidi ya barnsley
Pulisic na ziyech wako karibun kurudi
Eduoard mendy yupo anafanyiwa vipimo vya afya na akifudhu kipimo cha covid hapo alhamis huenda akajumuishwa kwenye kikos cha wikiend hii dhid ya wba
Mechi ya kesho ni kwaajili ya first team waendelee kupata match fitness na si kwaajili ya academy.
Next time acha kutoa habari ambazo hazipo