The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Na ww subiri kiama chako kesho kutwa co mbali.Klop aliwambia Chelsea wanasajiri sajiri ovyo tu
wakamwona mropokaji [emoji23][emoji23]
Na ww subiri kiama chako kesho kutwa co mbali.Klop aliwambia Chelsea wanasajiri sajiri ovyo tu
wakamwona mropokaji [emoji23][emoji23]
Anakwambia sio Kadi iyo.. Yan utafikir lbd tunacheza rugbyMAMAEEEEE MNAKABA KAMA VIBAKA View attachment 1575384
Ng'ombe kama ng'ombe [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Forget about competing for titles as long as Lampard is the coach.! Great player but clueless as a coach.
Wew jamaa unashabikia timu gani?[emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] harimagwayaMe pundamilia fc[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kilichotucost ni red ya christensenForget about competing for titles as long as Lampard is the coach.! Great player but clueless as a coach.
Kadi halali.Ile kadi ya nyekundu ni moja ya upuuzi mwingine wa marefa na VAR.
FUCKING EPL.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile kadi ya nyekundu ni moja ya upuuzi mwingine wa marefa na VAR.
FUCKING EPL.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapunda yalee hamna timu paleee....!! Nilitaka nihamiw chelsea kumbe nao wale waleee....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] harimagwaya
Ukimtoa werner na havertz waliosalia ni tim ile ile ya msim uliopitaChelsea mashabiki wake ni wale watoto walioikuta ikiwa ishaanza kula hela za Roman so wengi hata hawajui mpira wao wanajali matokeo tu.
Fainali ya FA chelsea alipewa kadi nyekundu iliyotokana na njano mbili. Kama kawaida wanalalamika eti haiwezi kua kadi.
Leo tena wamepewa red wanalalamika siyo kadi. Mtu anaeleweshwa ila hajielewi anazidi kuvimba.
Unajua mpira kweli?
Baada ya ile kadi kulikua na haja ya kumtoa Havertz? Wakati wa break alikua anaonyeshwa jinsi alivyokua na work rate kubwa kisha eti akatolewa wakati ilibidi abaki awapelekee mipira wale wa mbele.
Anyway kocha wao anajua zaidi.
Chelsea hawana ujanja wakicheza na red.
Pia Werner asipoangalia atakua anampokea kijiti Tammy au Giroud.
Leeds kaweza kupata goli 3 kwa Liva hii inamaanisha Leeds ana mipango mizuri na finishing nzuri inapokuja kucheza na Liva kuliko Chelsea. Hapo moja ni timu imepanda daraja nyingine ilikua ligi kuu na msimu uliopita ipo ndani ya top four.
Wewe Ollachuga Oc kama una moyo mdogo kiasi hichi acha kushobokea majukwaa ya watu.
Kwani ninyi ni wazee wa miaka mingapi vile???Chelsea mashabiki wake ni wale watoto walioikuta ikiwa ishaanza kula hela za Roman so wengi hata hawajui mpira wao wanajali matokeo tu.
Fainali ya FA chelsea alipewa kadi nyekundu iliyotokana na njano mbili. Kama kawaida wanalalamika eti haiwezi kua kadi.
Leo tena wamepewa red wanalalamika siyo kadi. Mtu anaeleweshwa ila hajielewi anazidi kuvimba.
Unajua mpira kweli?
Baada ya ile kadi kulikua na haja ya kumtoa Havertz? Wakati wa break alikua anaonyeshwa jinsi alivyokua na work rate kubwa kisha eti akatolewa wakati ilibidi abaki awapelekee mipira wale wa mbele.
Anyway kocha wao anajua zaidi.
Chelsea hawana ujanja wakicheza na red.
Pia Werner asipoangalia atakua anampokea kijiti Tammy au Giroud.
Leeds kaweza kupata goli 3 kwa Liva hii inamaanisha Leeds ana mipango mizuri na finishing nzuri inapokuja kucheza na Liva kuliko Chelsea. Hapo moja ni timu imepanda daraja nyingine ilikua ligi kuu na msimu uliopita ipo ndani ya top four.
Wewe Ollachuga Oc kama una moyo mdogo kiasi hichi acha kushobokea majukwaa ya watu.
Unaandika pumba mno leo ngoja nikurekebishe wewe mzee wa Arse8. Timu iliyopanda daraja imepata goli 3 kwa Liver na timu iliyokuwepo ligi kuu imeshindwa kupata kwa maelezo yako Leeds ni bora kuliko Chelsea? Nawewe unasimama mbele ya wanaume unakaza msuli wa matako unaongea huu utumbo? [emoji23][emoji23][emoji23]Chelsea mashabiki wake ni wale watoto walioikuta ikiwa ishaanza kula hela za Roman so wengi hata hawajui mpira wao wanajali matokeo tu.
Fainali ya FA chelsea alipewa kadi nyekundu iliyotokana na njano mbili. Kama kawaida wanalalamika eti haiwezi kua kadi.
Leo tena wamepewa red wanalalamika siyo kadi. Mtu anaeleweshwa ila hajielewi anazidi kuvimba.
Unajua mpira kweli?
Baada ya ile kadi kulikua na haja ya kumtoa Havertz? Wakati wa break alikua anaonyeshwa jinsi alivyokua na work rate kubwa kisha eti akatolewa wakati ilibidi abaki awapelekee mipira wale wa mbele.
Anyway kocha wao anajua zaidi.
Chelsea hawana ujanja wakicheza na red.
Pia Werner asipoangalia atakua anampokea kijiti Tammy au Giroud.
Leeds kaweza kupata goli 3 kwa Liva hii inamaanisha Leeds ana mipango mizuri na finishing nzuri inapokuja kucheza na Liva kuliko Chelsea. Hapo moja ni timu imepanda daraja nyingine ilikua ligi kuu na msimu uliopita ipo ndani ya top four.
Wewe Ollachuga Oc kama una moyo mdogo kiasi hichi acha kushobokea majukwaa ya watu.
Weka picha ambayo ina mpira na kipa alikua keshatokea.
Mbona kwenye maelezo yako hujamtaja kepa?Kilichotucost ni red ya christensen
Halaf bado player wengi wako njee due to injury ujaona muunganiko watakaoleta
Ukimtoa werner na kai wachezaj waliosalia wote ni wale wale wamsim uliopita
Hatujawa tim nzuri ambayk utasema 2 player wanaweza badilisha team completely
Subir new signing zote zikiwepo hapo ndio uanze kumuhukumu lampard ila kama ndio vile kwa kutegemeea eti werner na kai peke yao wakupe matokeo against liverpool na the likes sahau
Mzee kipa atoke au asitoke sheria inasema utakapokuwa mtu wa mwisho na ukamchezea faulo attacker unapata red kwahiyo huyo aliyekula red alikuwa ni mtu wa mwisho la sivyo mane alikuwa anaenda kukutana na mtumushi hewaWeka picha ambayo ina mpira na kipa alikua keshatokea.