Tumekupata na umeongea kwa heshima Sana lakini umetuuzi ulivyosema Giroud auzwe kwanini isiwe RLC? Subiri siku Lampard ajichanganye ampange Giroud mbele na Timo Werner uone namna tutavyotisha sema Lampard Ni kocha mmoja ovyo Sana kiasi fulani.Sasa ninaanza kuwaelewa vizuri akina Dully, kuna watu hapa ni screen tu zinawaficha lakini wangejitokeza ni hovyo sana, hawezi kuchangia bila kutukana, hawezi kumpinga shabiki mwingine bila tusi, Na hivi hivi kwenye majukwaa mengine mnaleta aibu
Mimi kusema tu Giroud atolewe kama swap deal ya kumpata Mendy basi wao mitusi utafikiri mimi nina mamlaka ya kumtoa Giroud na ni wazo tu. Wao wanaona Giroud ni wa muhimu sawa sikatai lakini mimi nimeona kipa wa muhimu zaidi,
Samahani kwa wana Chelsea wenzangu, Mimi mtu akinijia kichwa kichwa na mimi hivyo hivyo. Hakuna mtu mwenye hati miliki ya mawazo na jukwaa hili. Kama mtu anajua kuliko wengine humu na hataki mawazo mbadala asepe. Huu ni ujinga mtupu kuendekeza wala unga humu kwenye mwamvuli wa ushabiki