Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC imecheza michezo miwili ya kufungua ligi siku ya jumatatu tofauti na jana,


mara zote hizo mbili wamefanikiwa kunyanyua titles, 2014-2015 na 2016-2017.

Here we go blues.!
 
Virgil an Dijk, Alisson, Fabinho, Naby Keita, Sadio Mane and Mohamed Salah = £297m
Sisi tumetumia tu Paundi mil 224 uchawi umeanza, Liverpool wako kama Arsenal, wana wivu ya kufa mtu
 
kuna lijimbo la taifa huko wasafi wamelitoa linaitwa chelwowowo

kinaimbwa hivi

Azipulikueta wowowoooooooo
kante kijeba wowowoooooo
vipi ka - Kai weeh kinabamba Ngongingoooooooo


jina lenu jipya ni Chelngongingo
Hahaaa

 
1600169634623.png

1600169645728.png

1600169663648.png

Washabiki bana, si waende Youtube wakaangalie nani kamuiga mwenzake, Bruno wa juzi tu ndio kaigwa au hawa mashabiki ni wa 2020 nini
 
Kilichomshangaza Werner kati ya Bundesliga na EPL ni hii
Playing against 3 giant defenders
1600169908126.png
 
Wewe bado siku chache utakuwa kichaa, hauko sawa kwenye akili yako. Wasipokupeleka milembe ndugu zako watakupoteza
turudi kwenye uhalisia wa soka sasa,
Tunapowaambiaga kuwa usajili wa wachezaji wapya hasa wale wanaotoka ligi za nchi nyingine unahitaji uvumilivu ndio tunakuwa na maana hii sasa,wachezaji mliosajili sio kwamba ni wabaya kwa huko walipotoka ni wazuri tena sana tu,ila wanapoelekea katika ligi mpya ni KAMALI,na hatutaangalia RB alifanya nini?au Liverkusen alifanya nini bali tunaangalia Chelsea kakifanya nini?mpira ni mchezo wa hadharani na jana kila mtu kaona kuwa yule Havert ni bora ya Guendouz na yule Werner ni Batshuay mzungu,
tunawananga kwasababu nyie ndio mlikuwa mnampiga mawe NICOLAS PEPE kuwa ni flop

hamkujua kuwa alikuja katika ligi ngeni?
mazingira mageni?
tamaduni ngeni?
team mates wageni?
kocha/mwalimu mgeni?
mashabiki wageni?
hakuwa pre-season na timu?

muwe wavumilivu kwa performance ya wachezaji wenu uwanjani,pia muwe wavumilivu kwa kelele zetu, ila hawa wajerumani hawatoboi kudadadeki

NB:ukikereka ndio raha yangu mkuu,
 
na lile goli la penati ndio lililowavunja nguvu wanangu wa brighton ila sio kesi wanangu sheffield watafanya yao hahahhahhahaha maana cheltyako wana mzio na timu zote zenye united mbele

NB:hata LEEDS nayo ni UNITED
 
turudi kwenye uhalisia wa soka sasa,
Tunapowaambiaga kuwa usajili wa wachezaji wapya hasa wale wanaotoka ligi za nchi nyingine unahitaji uvumilivu ndio tunakuwa na maana hii sasa,wachezaji mliosajili sio kwamba ni wabaya kwa huko walipotoka ni wazuri tena sana tu,ila wanapoelekea katika ligi mpya ni KAMALI,na hatutaangalia RB alifanya nini?au Liverkusen alifanya nini bali tunaangalia Chelsea kakifanya nini?mpira ni mchezo wa hadharani na jana kila mtu kaona kuwa yule Havert ni bora ya Guendouz na yule Werner ni Batshuay mzungu,
tunawananga kwasababu nyie ndio mlikuwa mnampiga mawe NICOLAS PEPE kuwa ni flop

hamkujua kuwa alikuja katika ligi ngeni?
mazingira mageni?
tamaduni ngeni?
team mates wageni?
kocha/mwalimu mgeni?
mashabiki wageni?
hakuwa pre-season na timu?

muwe wavumilivu kwa performance ya wachezaji wenu uwanjani,pia muwe wavumilivu kwa kelele zetu, ila hawa wajerumani hawatoboi kudadadeki

NB:ukikereka ndio raha yangu mkuu,
Werner eti anasema mabeki wa Brighton ni Magiant


Hajawahi kuwaona kabisa

Hahaaaaa

Hii ndio EPL ,halafu yule Kai ni kama Ozil tu, sasa wasije kushangaa anafiti mfumo mmoja tu kwenye hii EPL ,

Lasivyo akikutana na pressing za hatari , atakuwa kama Lingard tu.


Walimponda sana Pepe hawa , lkn jamaa alipambana hivo hivo kwenye mazingira magumu,
 
Werner eti anasema mabeki wa Brighton ni Magiant


Hajawahi kuwaona kabisa

Hahaaaaa

Hii ndio EPL ,halafu yule Kai ni kama Ozil tu, sasa wasije kushangaa anafiti mfumo mmoja tu kwenye hii EPL ,

Lasivyo akikutana na pressing za hatari , atakuwa kama Lingard tu.


Walimponda sana Pepe hawa , lkn jamaa alipambana hivo hivo kwenye mazingira magumu,
akikutana na Wes Morgan na kina Vestergaard atagoma kuingia uwanjani huyu Batshuay mweupe
 
We jamaa ni Bomu la mbagala. Utamjudge vipi mchezaji kwa mechi ya kwanza? Tena amechezeshwa nafasi sio yake?

Wachezaji hawako fit wamekosa pre- season, wanaendelea kupata momentum ya kurudi kwenye utimamu wao na kuzoeana uwanjani (wenyeji na wageni).

Sawa najua muda mwingine akili yako inacheza kama kifaa cha voltmeter embu muda mwingine ijaribu kuituliza kidogo ureason mambo.
Akili huna wewe nyie sindo mlisemaga jamaa anacheza nafasi zote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom