Happycuit
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 646
- 542
hii timu yangu ya chelsea nilivyoona wanasajili nikajua kuwa tutakuja kuwashika sana ila kwa nilichokiona jana itabidi tuandae marundo ya diclopa na panadol kila mechi,kwanza ukiona mchezaji wa kijerumani Bayern Munchen hawamtaki na wala hawana shobo nae inabidi ujifikirie kwa makini kabla ya kumnunua,nina imani na ziyech ila hawa wajerumani wawili tumepigwa kweupeeeeeeeeeeeeeee maana hata huyu werner klopp alimtaka ili awe backup ya filmino na sio chaguo la kwanza kwasababu aliona kuwa hana sifa ya kuanza katika kikosi chochote cha epl ila sis tunampanga aanze,kocha wetu nae ndio haeleweki kabisa

