Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hawa vijana wa Brighton wametawala mchezo katika kila idara.

Hawako serious tu kwenye kumalizia.

Nimeona kuna moja ni free header kabisa amekosa Lewis Dunk.

Acha tuone itaishaje ila bado naona ni sare!
 
Hawazi ni kiazi cha kuoza kabisa![emoji23][emoji23][emoji23]

Sijui kabemendwa?! Maana nguvu za miguu hana kabisa!

Majinga yameibiwa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Paundi milioni 72 inapigwa vichenga kila wakati[emoji23][emoji23]

Anakabia macho tu!
 
Send Kai harvertz game by numbers [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu ubao unasomaje hapo?
Najua Roho inawauma sana Chelsea kuwa mbele kwa goli 3
Mmebaki kuficha aibu yenu kupitia Kai🤪🤪🤪.

Je Kai ndiyo anacheza uwanjani mwenyewe? Au ubora wa mchezaji upimwa kwa kufunga magoli?

Je, ninyi wachezaji wenu wanafunga magoli wote wanapocheza?

Acheni shobo kila mmoja apambane na timu yake[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii timu yetu pamoja na usajili mkubwa tulioufanya tutamaliza nafasi ya tano, hata Europa siyo mbaya kwetu. 💪
 
1st goal. Jorginho
1600118336523.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom