Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

.
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    30 KB · Views: 9
Manchester United have entered the race for N'Golo Kane and could pay Chelsea's £54m asking price for the midfielder.

Tuttosport claim the Red Devils are rivalling Inter Milan for France ace Kante, who struggled at times last season.

He could choose to leave Stamford Bridge if the Blues sign Declan Rice, and Man United have joined Inter in wanting Kante.

Inter are worried by United's interest as the Red Devils can easily pay Chelsea's asking price to sign him.
Ngolo hawezi ondoka
 
Ziyech na Chilwel hawatokuwepo kwenye kikosi kitakachocheza na Brighton hapo jumatatu
Silva na yeye hatokuwepo kutokana na kutoanza mazoezi anategemewa kuanza kufanya mazoezi wikiend hii

Pulisic na Azplicueta wote wako fit
 
Eti Kante aondoke kwa mil 54 si bora wangewauza hawa
  1. Barkley mil. 20
  2. Emerson mil. 25 Inter wametoa hii)
  3. Batshuayi mil 15
  4. Moses mil 5
  5. Drinkwater Mil 3
  6. Zapacosta Mil. 10
Jumla Mil 78
  1. Tunamnunua Declan Rice Mil 50
  2. Mendy Mil 25
  3. Tunabakiwa na chenchi ya Mil 3
lembu Chelsea itakuwa imefanya biashara kichaa kama watamuuza kante alafu watamnunua rice labda Kama watamuuza jorginho alafu watamnunua Rice hapo nitawaelewa.
 
Pulisic alikuwa akiwekwa benchi na Sancho huko Dortmund [emoji23][emoji23]
 
Hii team imeanzishwa kipind Cha awamu ya tatu ya serikali ya Tanzania [emoji23][emoji23]
 
Mkuu soko la wachezaji nowdays limebadilika. Club zinajiuliza maswali kwenye manunuzi kama kuna haja gani ya kumnunua mchezaji aliyebakiza mkataba wa mwaka mmoja wakati dirisha lijalo anapatikana bure?

Labda biashara itafanyika kwa mchezaji moto na ambaye amebakiza mwaka mmoja na amekataa kuongeza mkataba.

Namuona Batshuayi akiondoka bure baada ya kutumikia mkopo wake mwaka mmoja.
kashakubl kuongeza mkataba mwak mmoj
 
Mkuu soko la wachezaji nowdays limebadilika. Club zinajiuliza maswali kwenye manunuzi kama kuna haja gani ya kumnunua mchezaji aliyebakiza mkataba wa mwaka mmoja wakati dirisha lijalo anapatikana bure?

Labda biashara itafanyika kwa mchezaji moto na ambaye amebakiza mwaka mmoja na amekataa kuongeza mkataba.

Namuona Batshuayi akiondoka bure baada ya kutumikia mkopo wake mwaka mmoja.
Yawezekana kwenda kwake Crystal Palace ikahimarisha kiwango chake so club nyingine ikaonesha nia kumuhitaji na hapo ndipo biashara itakapofanyika.
 
Premier League
Brighton - Chelsea



Match will be on 14 September at:
🇮🇷Tehran: 23:45
🇪🇹Addis Ababa: 22:15
🇳🇬Abuja: 20:15
🇷🇺Moscow: 22:15
🇺🇿Tashkent: 00:15
🇮🇳New Delhi: 00:45
🇬🇧London: 20:15


Time left: 92 Hours, 10 Minutes
 
ile mitambara yenu muliyotoa juzi ya mistarimistari ipo kama midekio,ile mijezi ni mitakataka kabisa ptuuuuuuuuuuuuuuuuhhhh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom