Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Havertz ni garasa mlivyokuwa mnampamba utasema ni Ronaldo sasa amekuja sioni kiwango Cha kumfikia hata xherdan shaqir
 
Here we go
IMG-20200915-WA0003.jpg
 
Ila nyie mashabiki wa Chelsea baadhi mnamatatizo sana, yaani unapoteza muda kujibu komenti za punda na takataka kweli.

Acheni waandike wenyewe, wakiandika bila kuona kujibiwa wataacha wenyewe.
Me binafsi nashangaa kwanini wanawajibu Hawa matakataka me mbona si reply comment zao kwani wasipowajibu wanapungukiwa Nini?badala ya kujadili team yetu tunapoteza muda wetu kuwajibu haya manyumbu.
 
Habari wana bluez wenzangu..

Nilioyaona jana.

Timu iko vizuri, sema tu fitness bado haijafikia ile inayotakiwa(siku zote gemu za mwanzo hua na shida sana)..

RLC jana alizingua sana inatakiwa akajipange hasa.

Havertz nae jana hakucheza vizuri , nadhani ugeni wa ligi na pia kuna kitu kitakua kinamtesa(matarajio.makubwa kwa epl kwake), price tag yake na sifa alizopewa ndio zitakazomtesa kwasasa.. Ila naamini ni mchezaji mzuri na atakua form muda sio mrefu.

All and all,, nimefurahi kitu kimoja tumeshinda japo hatukucheza vizuri (Na hivi ndo timu bingwa zinavocheza) hata kama hawajaji"commit 100% matokeo yanapatikana..
Sipati picha tukiwa on form nahisi vichapo vitakua vikali sana

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
Kai Havertz has been really outstanding tonight. Great signing! If he continues to work hard and up his game every week, then he might reach the level of Andreas Pereira and Lingard one day.
 
Habari wana bluez wenzangu..

Nilioyaona jana.

Timu iko vizuri, sema tu fitness bado haijafikia ile inayotakiwa(siku zote gemu za mwanzo hua na shida sana)..

RLC jana alizingua sana inatakiwa akajipange hasa.

Havertz nae jana hakucheza vizuri , nadhani ugeni wa ligi na pia kuna kitu kitakua kinamtesa(matarajio.makubwa kwa epl kwake), price tag yake na sifa alizopewa ndio zitakazomtesa kwasasa.. Ila naamini ni mchezaji mzuri na atakua form muda sio mrefu.

All and all,, nimefurahi kitu kimoja tumeshinda japo hatukucheza vizuri (Na hivi ndo timu bingwa zinavocheza) hata kama hawajaji"commit 100% matokeo yanapatikana..
Sipati picha tukiwa on form nahisi vichapo vitakua vikali sana

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
Sportsman
Bravo
 
Kuna uzi fulani ukiandika mambo ya kipuuzi kama huu wa kina PUNDA na MATAKATAKA walahi huto ona comment yako ikipata reply yoyote ile zaidi ya ww kupoteza muda tu.

Wao wako busy na mambo yao, ww utapost mpaka uchoke kisha uache. Sasa mm nashangaa kwann tusiwe hivyo mtu atipost ujinga etu ndio tunakuwa wa kwanza kumjibu
Kama.wewe ukipost ujinga tunavyokupita na kukuacha uneng'eneke
 
#bluesonly#issue ya Mendy imefikia wapi maana Kepa anaendeleza record ya kufungwa magoli yanayozuilika
 
Chelsea fans: ‘Havertz is so versatile- he can play 8,10,rw,ss.

Kai Havertz plays as a RW and drops a disasterclass...

Chelsea fans: ‘He’s being played in the wrong position’

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom